Choice variable ni mnafiki sana. Mazuri yote ya awamu ya 5 utakuta Rais Samia anaingizwa na kusifiwa lkn mabaya eti hakushiriki

Choice variable ni mnafiki sana. Mazuri yote ya awamu ya 5 utakuta Rais Samia anaingizwa na kusifiwa lkn mabaya eti hakushiriki

wewe ni mnafiki vilevile data gani za kukopi na kupaste wanafiki nyie maadui wa watanzania mnakifanyq hamnazo mnajifanya mnaishi Ulaya hamuoni shida taabu na mateso wanayopitia bibi na babu zenu mnaangalia matumbo yenu nyie ombaomba mliolaaniwa kwa kuandika uongo na kujipendekeza kwa uongo mtafufa vibaya sana nyie wanafiki
Mjane wa Marehemu Jiwe bado tu waomboleza kifo cha lile shetani lenu la Chato!?
 
Kushnei.
Achana na mawazo kuliwazia lile shetani lenu la Chattle.
Wenzio washamsahau umebaki ww tu
shetani ni nyie wasaliti wakubwa mmehongwa kusapoti Taifa kuingia gizani akili ni nywele wasio na nywele walipopewa kusimamia TANESCO Wameimaliza ni mashetani makubwa yanayopenda kula gizani
 
wewe ni juha mimi ndio nyumbani naelewa matatizo na hizo porojo za siasa yapo mambo chungu nzima serekali imeuweka pending huo mkoa sababu ya mihemko ya siasa sasa kibosho ni sehemu ya kuwa na shida ya maji kweli? hilo lipo na sasa linasumbua lina kama miezi mitano na upuuzi vyanzo vya maji vipo kuweka miundombinu mipya hawawezi wao wanachoweza ni kuweka meter na kupita kila mwezi kukusanya hela hopless kabisa.
Yaani unatokwa na mapovu sababu ya nini hasa? Hapo Mweka hakuna Upanuzi wa Chuo? Yale noliyotaja pale Mwanzo hayafanyiki?

Mama hana mda wa siasa uchwara kwanza kwao ni Zanzibar aanze kuhangaika na siasa zenu za kipumbavu Ili kitokee nini?

View: https://www.instagram.com/p/CzvCJYnKOQx/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Hao jamaa wanauzi kweli. Mpaka huwa nadhani ni mental case. Matatizo lukuki wao wapo tu kumpigia mama kampeni ya Urais 2025. Wanaboa Sana hao jamaa.
 
hivi wewe una akili kweli nyie watu wazima mnamsifia Rais kwa mradi wa mill200 au 400 tunapoongea mambo amefanya Rais tuambieni Mega projects zinazoivusha nchi kwenye matatizo sugu

..how about kuendeleza au kukamilisha mega projects?

..mega projects, jina linajieleza, hutumia fedha nyingi, na huchukua miaka mingi kukamilika.

..Sio ajabu mega projects kuhususisha Maraisi zaidi ya mmoja, na mawaziri kadhaa.

..Mimi simuungi mkono Samia lakini nadhani ni upumbavu kuanza kunyang'anyana naye miradi ya maendeleo.

..Kazi kubwa zaidi iko ktk uendeshaji wa miradi baada ya kukamilika.
 
..how about kuendeleza au kukamilisha mega projects?

..mega projects, jina linajieleza, hutumia fedha nyingi, na huchukua miaka mingi kukamilika.

..Sio ajabu mega projects kuhususisha Maraisi zaidi ya mmoja, na mawaziri kadhaa.

..Mimi simuungi mkono Samia lakini nadhani ni upumbavu kuanza kunyang'anyana naye miradi ya maendeleo.

..Kazi kubwa zaidi iko ktk uendeshaji wa miradi baada ya kukamilika.
point hujaielewa chawa wanataka kumuingiza Samia kwenye mazuri yote awamu ya 5 na kumtoa mabaya yote ya awamu ya 5 hoja zao zinakuwa invalid na hazina Tija yoyote na wanaonekana projects zao ni keyboard mercenaries
 
Watu wanafiki ndumilakuwili nyoka hatari ni wabaya Sana wachonganishi hawana constructive ideas mawazo yao ni mfu utakuta vinajipendekeza ety awamu ya 5 ilivuruga hivi hawa watu wa awamu ya tano walivuruga vile walivyo wa ajabu wanatengeneza hoja za kinafiki kumsifia Samia

Mfano eti unamsifia Samia kwenye miradi ya kimkakati bila kujua kuwa mwanzilishi wake ni Magufuli wakati huo unaleta hoja za serikali ya awamu ya tano ilisababisha hasara hawa watu wanaandika hizi hoja wakiongozwa na mnafiki choice variable lengo ni kugqnga njaa na hawa watu wanafadhiliwa na genge la wezi na majambazi ya nchi yanayojitutumua kuharibu legacy ya Magufuli na yakashindwa.
Samia sio blaa blaa Wala propaganda kama awamu ya 5,ni kazi tuu

View: https://www.instagram.com/reel/C1bwTo0sACD/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
point hujaielewa chawa wanataka kumuingiza Samia kwenye mazuri yote awamu ya 5 na kumtoa mabaya yote ya awamu ya 5 hoja zao zinakuwa invalid na hazina Tija yoyote na wanaonekana projects zao ni keyboard mercenaries

..mabaya ya awamu ya 5 yakiendelezwa yanapaswa kujulikana kama mabaya ya awamu ya 6.

..sasa ni mabaya yapi ya awamu ya 5 ambayo yameendelea ktk awamu ya 6 lakini wahusika wanajaribu kumkwepesha Rais Samia?

..vilevile tuna kawaida ya kumhusisha Rais na mabaya au mazuri yanayotokea ktk awamu yake. Yaani Rais ndio top, au kila kitu.
 
Watu wanafiki ndumilakuwili nyoka hatari ni wabaya Sana wachonganishi hawana constructive ideas mawazo yao ni mfu utakuta vinajipendekeza ety awamu ya 5 ilivuruga hivi hawa watu wa awamu ya tano walivuruga vile walivyo wa ajabu wanatengeneza hoja za kinafiki kumsifia Samia

Mfano eti unamsifia Samia kwenye miradi ya kimkakati bila kujua kuwa mwanzilishi wake ni Magufuli wakati huo unaleta hoja za serikali ya awamu ya tano ilisababisha hasara hawa watu wanaandika hizi hoja wakiongozwa na mnafiki choice variable lengo ni kugqnga njaa na hawa watu wanafadhiliwa na genge la wezi na majambazi ya nchi yanayojitutumua kuharibu legacy ya Magufuli na yakashindwa.
Acha kufikiri badala ya wengine! Kizuri kwako siyo lazima kiwe kwa wengine
 
Hapa ndo hua nashangaa..
Yaeza kua hawa watu wawili hawafahamiani kabisa, lakn wanaeza kugombana humu jukwaani na kuchukiana kabisa.
Lakn nyuma ya paziwa wote ni wachumia tumbo wa CCM.
ANYWAY, subiri tuone mtaishia wapi maana wote mnajuana
Mimi siwezi gombana na funza ,Ili kitokee nini?

Huyo ana mtindio wa ubongo nampuuza so Mimi Niko focused naendelea na kuelezea kazi nzuri za Mama .

Chato wenyewe wanamuelewa mama

View: https://www.instagram.com/p/C1T3P9IKupa/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Back
Top Bottom