Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
- Thread starter
-
- #121
hayo majengo yote unatuletea ya Enz za mwendazake hafu mnatuletea uongo uongo tu
Mimi siwezi gombana na funza ,Ili kitokee nini?
Huyo ana mtindio wa ubongo nampuuza so Mimi Niko focused naendelea na kuelezea kazi nzuri za Mama .
Chato wenyewe wanamuelewa mama
View: https://www.instagram.com/p/C1T3P9IKupa/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hivi wewe ni mzima kichwani? Nakuwekea link kutoka vyanzo rasmi vya Serikali unasema najipigia picha,nawezaje Sasa Kuzunguka Kila pande ya Tzn kupiga picha?kwa sababu unajipigia tu picha za kutosha hafu unqanza kudanganya watu wewe ndio unajifanya afisa usalama feki
πππ¨ Au siyo? Endelea kupimia ππππhayo majengo yote unatuletea ya Enz za mwendazake hafu mnatuletea uongo uongo tu
chato Gani unayoongelea wewe kiufupi hakuna linaloendelea zaidi ya kumalizia miradi ya MAGUFULI uMimi siwezi gombana na funza ,Ili kitokee nini?
Huyo ana mtindio wa ubongo nampuuza so Mimi Niko focused naendelea na kuelezea kazi nzuri za Mama .
Chato wenyewe wanamuelewa mama
View: https://www.instagram.com/p/C1T3P9IKupa/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Kuna Chato ngapi unazijua wewe?chato Gani unayoongelea wewe kiufupi hakuna linaloendelea zaidi ya kumalizia miradi ya MAGUFULI u
hata bibi yako na mama yako ni marehemu kutuletea mapicha ya Facebook ya ukurasa wa mama yuko kazini mengine ya uongo ndo unajiita mtu wa dawa kichwa kimehjaa gunia la chawaπππ¨ Au siyo? Endelea kupimia ππππ
Huyo ni marehemu hawezi fufuka tena ππ
Hafu hujui hata kukopi na kupaste vizuri na hiyo shahada naona nayo ukotaka kuileta una matatizo sanaKuna Chato ngapi unazijua wewe?
Kiufupi hakuna kinachoendelea,miradi ya Mwendazake ππππ
View: https://www.instagram.com/reel/C1b9UkDiRPn/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Taarifa iliyosemwa na kipara nayo taarifa hiyo majitu maongo SanaNiletee taarifa sitaki porojo
Leta taarifa Yako sitaki hadithiTaarifa iliyosemwa na kipara nayo taarifa hiyo majitu maongo Sana
Soma hiyooo kutoka Kwa Mama wa TaifaTaarifa iliyosemwa na kipara nayo taarifa hiyo majitu maongo Sana
mimi siwezi kujaza takataka kwenye simu za watu kwa kuleta uchafu kama wako jionee mwenyewe ulivyo huna haya unaenda ukurasa wa Facebook wa mama yuko kazini unakopy na kupaste jiridhishe na kila taarifa unayopost zingine ni feki unaonekana kitukoLeta taarifa Yako sitaki hadithi
Leta taarifa sitaki pambiomimi siwezi kujaza takataka kwenye simu za watu kwa kuleta uchafu kama wako jionee mwenyewe ulivyo huna haya unaenda ukurasa wa Facebook wa mama yuko kazini unakopy na kupaste jiridhishe na kila taarifa unayopost zingine ni feki unaonekana kituko
wewe ni mjinga kweli degree ya kupewa bila kuihangaikia unapostia watu inakusaidia niniSoma hiyooo kutoka Kwa Mama wa Taifa
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1740766295090741628?t=max3tZMgNQQ__wTikUko2A&s=19
taarifa gani unatuletea takataka tu mshamba limbukeni weweLeta taarifa sitaki pambio
Leta taarifa inayosema Mwendazake aliacja bwawa liko 65% kama ulivyosema wewetaarifa gani unatuletea takataka tu mshamba limbukeni wewe
"If one day you hear whites speak well of me, know that I have betrayed you" - Comrade Samora MachelSoma hiyooo kutoka Kwa Mama wa Taifa
View: https://twitter.com/BusInsiderSSA/status/1740766295090741628?t=max3tZMgNQQ__wTikUko2A&s=19
wewe ni mjinga kweli degree ya kupewa bila kuihangaikia unapostia watu inakusaidia nini
una upungufu wa endorphinLeta taarifa inayosema Mwendazake aliacja bwawa liko 65% kama ulivyosema wewe
Achana na hiyo kengeWatu wanafiki ndumilakuwili nyoka hatari ni wabaya Sana wachonganishi hawana constructive ideas mawazo yao ni mfu utakuta vinajipendekeza ety awamu ya 5 ilivuruga hivi hawa watu wa awamu ya tano walivuruga vile walivyo wa ajabu wanatengeneza hoja za kinafiki kumsifia Samia
Mfano eti unamsifia Samia kwenye miradi ya kimkakati bila kujua kuwa mwanzilishi wake ni Magufuli wakati huo unaleta hoja za serikali ya awamu ya tano ilisababisha hasara hawa watu wanaandika hizi hoja wakiongozwa na mnafiki choice variable lengo ni kugqnga njaa na hawa watu wanafadhiliwa na genge la wezi na majambazi ya nchi yanayojitutumua kuharibu legacy ya Magufuli na yakashindwa.