Choice variable ni mnafiki sana. Mazuri yote ya awamu ya 5 utakuta Rais Samia anaingizwa na kusifiwa lkn mabaya eti hakushiriki

Acha ujinga MABOTO imefata nini hapo 😂😂😂😂😂😂.KWENYE UWANJA UMEDANGANYA BI MKUBWA AJAKAMILISHA LOLOTE PALE ZAIDI YA SIASA.

Hio project ya maktaba mbona imekua ya kisiasa kama hizo barabara.

Niko sumbawanga mnachoizid kahama ni barabara 😂😂

NAOMBA KUWASILISHA
 
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete

 
Aliyemwelewa huyu mtu anitag maana anaandika kama Vidole vimemwagiwa maji ya Moto,ubongo hauna ushirikiano na Vidole.
 
Kwamba samia ni jembe kisa bwawa na magufuri ni mbaya kisa kakata miti kwenye pori la akiba.


Muelewe mleta mada mbona teuzi zipo tu 😂
 
Naona chawa wanapigana hapa, chawa yupi ana facts na yupi hana, kumbe kuna timu mbili za machawa humu ndani zote zipo CCM.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ni kweli kuna timu mbili, lakini siyo zote za chawa. Moja ni ya wazalendo, na ile ya pili ndiyo ya chawa. Kwenye post mzalendo anawatolea uvivu chawa.
 
Choice variable Ni komandoo wa data na facts tu.ngoja aje hapa akushushie NONDO zenye ushahidi.maana inaonekana wewe kuna kitu au jambo limekuvuruga akili yako . Huwezi vita unayotaka kuipigana maana wewe bado mchanga sana kupigana vita yoyote ile.
Chawa wa taifa katoa tamko
 
Naona waumini wa dhalimu mnapata tabu sana chawa wa mama wanapoiponda legacy ya yule kiongozi muovu.
 
Choice variable Ni komandoo wa data na facts tu.ngoja aje hapa akushushie NONDO zenye ushahidi.maana inaonekana wewe kuna kitu au jambo limekuvuruga akili yako . Huwezi vita unayotaka kuipigana maana wewe bado mchanga sana kupigana vita yoyote ile.
Chawa pro.
 
🍿🥤🤗 jamani uaneni kwa hoja huu mtanange hauhitaji hasira.
 
Tazama jibu la ajabu hili
Huyu ni chawa wa kutupwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…