SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
"Wanabubujikwa" na vilio duh. na Lucas nae?
Huyu Ndio choice variable
Ndiyo. Amekiri mwenyewe. No doubt. Anatafutwa kwa upotoshaji na uwasilishaji wa taarifa za taasisi za serikali bila ya kutumia weledi.(Inasadikika)Huyu Ndio choice variable
Hana UCCM wa aina yeyote ile na ashakiri hivyo. Yeye ni mtetezi wa mabeberu. Ama kama ilivyoandikwa huko juu, ni Mercenary. Itoshe genge lake lipo kwa sasa kukusanya views. Analipwa huko nchi za nje kwa kuleta nyuzi zake.Makerubi Ya CCM
Huyo kachoka hadi mkia.Hivi,alitoroka JF au ametingwa anapalilia shamba la mihogo kijijini kwao?Kamanda Asiyechoka πππ
Ndio huyu anayejadiliwa ππHuyo kachoka hadi mkia.Hivi,alitoroka JF au ametingwa anapalilia shamba la mihogo kijijini kwao?
Anabadilsha ids kama standard seven aliyefeli na kutafuta shule arudie?π€£π€£Ndio huyu anayejadiliwa ππ
Anazo 6 huyu Sunk fallacy dadeki ππAnabadilsha ids kama standard seven aliyefeli na kutafuta shule arudie?π€£π€£
Kuna chawa , kuna kada,kuna mwanaharakati ila politics ni kifo cha mende, au popo kanyea sinia la wali, politics upside down ,mjinga anajiita mwerevu,mwerevu anaitwa mjinga π€£π€£π€£π€£, choicevariable wewe ni nani ??au upside down
Akifa atazikwa Omanmamilioni ya watanzania wabubujikwa na machozi baada ya mama Samia kufanya ziara ufaransa.
cc: Lucas Mwashambwa
Choive varible,tuanze na jinsia yake