Aladeen04
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 3,524
- 5,731
Tupo anaotushangaza badala ya kutuchekesha.Hivi kuna watu huwa anawachekesha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo anaotushangaza badala ya kutuchekesha.Hivi kuna watu huwa anawachekesha?
😅😅😅piere kafia wapiwabongo wakiamua kukunyanyua
Yule anawachelesha watotoYule wa irudiwe irudiwe bado yupo?
Kocha mi napenda akivyo na lafudhi yake.Kocha tupo naye mtaa mmoja Nungwi lakini hachekeshi labda yale matusi yake na umbile lake
Yeah lafudhi yake ya kizenji iko poa ,ila kwa maisha ya kawaida mtaani ana matusi sanaKocha mi napenda akivyo na lafudhi yake.
Hana ndugu wanamsimamia matusi yake noumaaYeah lafudhi yake ya kizenji iko poa ,ila kwa maisha ya kawaida mtaani ana matusi sana
Kina namna ni kama hazimo ,hawezi kubadilishwa na nduguHana ndugu wanamsimamia matusi yake noumaa
Ashakuwa dalali sa hvYule wa irudiwe irudiwe bado yupo?
Ni dalali wa furniture kule keko😅😅😅piere kafia wapi
Anakuzidi pesa saivi... Bakini hivyohivyo .Yule wa irudiwe irudiwe bado yupo?
Jambo la maana kama sanaa ishaanza kumlipa. Na ndio inachotakiwa umaarufu uendane na kipatoAnakuzidi pesa saivi... Bakini hivyohivyo .
Anaitwa chikumbalagaKuna yule mwengine sijui anaitwa chipe mweusi hivi alikuwa anapigapiga picha naona amepotelea wapi
Kuwa wewe ambaye c wa honyoNdo Comedy wa hovyo Zaid kuwah kutokea , tena hyo Kula Kula ndo uharo kabisa , Wasafi wanatoa hipe Kwa vilaza sana
Yupo, kidogo sio mbaya pesa anapata...Yule wa irudiwe irudiwe bado yupo?
Mungu aendelee kumbarikiYupo, kidogo sio mbaya pesa anapata...