Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Unaongelea movie sjuiBinafs navutiwa sana na cheni ya gold mguuni, au kiunoni, hasa mwanamke awe mweupe, tumbona kitovu kizuri na awe na ngozi ya kung'aa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu wewe huwajui yaani ukionyeshwa unaemzungumzia ni huyu unaweza ukapigwa na butwaa, anapenda dini mcha Mungu, mcheshi, mtulivu, akili smart ila dah kuna wakati shetani anachukua nafasi yake hapo ndio unaposhangaa hivi huyu ndio yule niliemuona au niliona vibayaWakuu
Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?
Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa
Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa
Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio
Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.
Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Pole sana mkuuAcha hizo, Mimi mke wangu nilimnunulia shanga na cheni anavaa kiunoni,
Nainjoi naye Sana,
Peleka ujinga wako huko.
Waende wakavae hukohuko kwenye nchi za watuMsipende kukariri mambo. Mtaenda nchi za watu muishie kuchekwa au kipigwa kwa kuita/kuona wasichana wa watu malaya kwa kigezo cha kukariri.
By the way hata unaowaona na ushungi au wanashinda nyumba za ibada wanaweza kuwa malaya pia. Umalaya ni tabia na si aina ya mitindo wa mavazi. Dunia imeendelea sana kuishi kwa kukariri.
Mkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwaNdugu yangu wewe huwajui yaani ukionyeshwa unaemzungumzia ni huyu unaweza ukapigwa na butwaa, anapenda dini mcha Mungu, mcheshi, mtulivu, akili smart ila dah kuna wakati shetani anachukua nafasi yake hapo ndio unaposhangaa hivi huyu ndio yule niliemuona au niliona vibaya
Kuna dada nilikua nafanya nae kazi somewhere nikawa naambiwa maneno chini kwa chini kwamba huyu sister anafanya kazi mbili moja ni hii na nyingine ni usiku ukimtaka unampata ila unampoza nikawa sikubariani nao sikuwaamini wanachoniambia aisee hio siku nikaambiwa ngoja tukuonyeshe nikaonyeshwa live mubashara nilibakiwa nmebakia mdomo wazi yaan ukimuona ni very smart girl na pale asubuhi panapokucha mnapokutana kazini mnapiga story na lile tabasamu lake huwezi amini km usiku hua anafanya kazi nyingine na ni mrembo kiufupi hajajiweka hayo madude uliyoyaandika na sikuwahi kumuona hata akiwa amevaa shanga, kacha, kikuku na hizo habari zingine ila ndio hivyo amekua km chakula cha wengi kilichowekwa kwenye sinia la duara kila mtu anatia mkono wake
Tuombe radhi Waswahili.Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa
Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa
Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa
Kwa hio unataka tuingie kwenye kamusi ya koswahili sanifu?Mkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwa
Kahaba na malaya
Makahaba wote ni malaya lakini sio kila malaya ni kahaba
Huyo unayemsemea hapo ofisini kwenu ni kahaba
Nitajie tofauti tano zinazomtofautisha kahaba na malayaMkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwa
Kahaba na malaya
Makahaba wote ni malaya lakini sio kila malaya ni kahaba
Huyo unayemsemea hapo ofisini kwenu ni kahaba