Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Msipende kukariri mambo. Mtaenda nchi za watu muishie kuchekwa au kipigwa kwa kuita/kuona wasichana wa watu malaya kwa kigezo cha kukariri.

By the way hata unaowaona na ushungi au wanashinda nyumba za ibada wanaweza kuwa malaya pia. Umalaya ni tabia na si aina ya mitindo wa mavazi. Dunia imeendelea sana kuishi kwa kukariri.
 
Tabia ya mwanamke hata akifanya maigizo ni rahisi kuijua kwa

♦️ Aina ya mavazi aliyonanyo.....

♦️ Vitu anavyobandika mwilini

♦️ Jinzi livyoharibu mwili wake wa asili, mfano unakutana na bonge la demu ila lina limechanjwa machale kifuani karibu na kwenye matiti hapo ukibaba pamoja na uzuri wake ujue umebeba mganga wa kienyeji, na uzuri chale hazifikiwi hata kwa make up na hazipatikani hospitali tofauti na kwa waganga wa kienyeji

♦️ Ongea yake dakika moja utaujua ubongo wake

♦️Tembea yake sekunde tu utamjua

♦️ Ulaji wake unatosha kukupa jibu ni mtu wa aina gani

♦️ Hobbies na marafiki zake tayari umemojua

Sasa chekecha umchukue at your own risk
 
Ndugu yangu wewe huwajui yaani ukionyeshwa unaemzungumzia ni huyu unaweza ukapigwa na butwaa, anapenda dini mcha Mungu, mcheshi, mtulivu, akili smart ila dah kuna wakati shetani anachukua nafasi yake hapo ndio unaposhangaa hivi huyu ndio yule niliemuona au niliona vibaya

Kuna dada nilikua nafanya nae kazi somewhere nikawa naambiwa maneno chini kwa chini kwamba huyu sister anafanya kazi mbili moja ni hii na nyingine ni usiku ukimtaka unampata ila unampoza nikawa sikubariani nao sikuwaamini wanachoniambia aisee hio siku nikaambiwa ngoja tukuonyeshe nikaonyeshwa live mubashara nilibakiwa nmebakia mdomo wazi yaan ukimuona ni very smart girl na pale asubuhi panapokucha mnapokutana kazini mnapiga story na lile tabasamu lake huwezi amini km usiku hua anafanya kazi nyingine na ni mrembo kiufupi hajajiweka hayo madude uliyoyaandika na sikuwahi kumuona hata akiwa amevaa shanga, kacha, kikuku na hizo habari zingine ila ndio hivyo amekua km chakula cha wengi kilichowekwa kwenye sinia la duara kila mtu anatia mkono wake
 
akivaa kikuku, jua fika anagawa 'tarCall' hilo halina ubisha kama una mechi naye vaa ndom 3 au zaidi nishukuru baadaye

Akiweka 'blichi' kichwani huyo kugongwa kwa 'diwali/DP' kawaida sana
 
Waende wakavae hukohuko kwenye nchi za watu

Wavaa vikukuu, shanga nk ni malaya
 
Mkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwa

Kahaba na malaya

Makahaba wote ni malaya lakini sio kila malaya ni kahaba
Huyo unayemsemea hapo ofisini kwenu ni kahaba
 
Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa
Tuombe radhi Waswahili.
 
Mkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwa

Kahaba na malaya

Makahaba wote ni malaya lakini sio kila malaya ni kahaba
Huyo unayemsemea hapo ofisini kwenu ni kahaba
Kwa hio unataka tuingie kwenye kamusi ya koswahili sanifu?
 
Hakuna mwanamke malaya. Maana tunamtomb* ni sisi wanaume malaya tusioridhika na kum* moja.

Kifupi kila kiumbe ana nyege. Vikuku na kipini ni urembo wala havina uhusiano na maelezo tajwa. Vipi wamasai mbona wanavaa hivyo vitu tangu na tangu kwa iyo nao ni malaya
 
Mkuu hapo umechanganya mambo though yanaweza kuingiliana kwa kiwango kikubwa

Kahaba na malaya

Makahaba wote ni malaya lakini sio kila malaya ni kahaba
Huyo unayemsemea hapo ofisini kwenu ni kahaba
Nitajie tofauti tano zinazomtofautisha kahaba na malaya

Ninavyoelewa kiufupi tu bila kujaza umati kahaba hana tofauti yoyote na Malaya sababu wote wanauza uchi
 
Nafikiri tusigeneralize sana vitu, inawezekana walio wengi wana sifa hizo lakini ninakuhakikishia sio wote. Wengine huvaa kama sehemu ya urembo na wanapenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…