Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

akivaa kikuku, jua fika anagawa 'tarCall' hilo halina ubisha
kama una mechi naye vaa ndom 3 au zaidi
nishukuru baadaye

akiweka 'blichi' kichwani huyo kugongwa kwa 'diwali/DP' kawaida sana
Diwali/DP ndio nini wengine sio waswahili fafanua vizuri.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Acha kukalili zama zimebadirika hata mkeo anaweza kuwa malaya wa mtaa na hivo vikuku havai
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
Peleka ushamba wako huko
Kwanza unamfikiriaje mtu hyo pambana nayo
Fikiria maisha yako yalokushinda huko
 
Msipende kukariri mambo. Mtaenda nchi za watu muishie kuchekwa au kipigwa kwa kuita/kuona wasichana wa watu malaya kwa kigezo cha kukariri.

By the way hata unaowaona na ushungi au wanashinda nyumba za ibada wanaweza kuwa malaya pia. Umalaya ni tabia na si aina ya mitindo wa mavazi. Dunia imeendelea sana kuishi kwa kukariri.
Washamba plus hawa achana nao
Nani anajali sasa wanacjokifikiria?? Wajiwazie wenyewe na maisha yao
 
Kipini sio umalaya. Ni asili ya mtu anapotoka. Ni sawa na wamasai kuvaa shanga hizo

Wanawake wa kiislam wengi sana wana vipini.. na wana tabia nzuri
 
Msipende kukariri mambo. Mtaenda nchi za watu muishie kuchekwa au kipigwa kwa kuita/kuona wasichana wa watu malaya kwa kigezo cha kukariri.

By the way hata unaowaona na ushungi au wanashinda nyumba za ibada wanaweza kuwa malaya pia. Umalaya ni tabia na si aina ya mitindo wa mavazi. Dunia imeendelea sana kuishi kwa kukariri.
Tutaenda nchi za watu.kufanya nn wakati nyumbani kumenoga mzee
 
Tafuta Hela kijana acha makasiriko,
Hao uliowataja ni Wajanja wa Mjini najua kuwapata imekua shida aidha wajishtukia kwa hali yako ama wamekukataa,

#Kila Kiungo cha Mwanamke kinahitaji Urembo, kama ulisikia Mwanamke ni Pambo la Nyumba basi ndio hayooo
 
Mkuu hizo code za kijiweni na za kizamani, mwanamke anatakiwa ajipende na ajirembe kwa namna yoyote ile. Ndio raha ya mwanaume macho yake kuona mwanamke mrembo aliyejiremba.

Hivyo unavyotaja hapo vyote ni urembo. Binafsi napenda shanga au cheni kiunoni, kikuku ndio ugonjwa wangu kabisaaa, kipini puani sio kivile ila anaevaa simshangai. La msingi vinavawaliwa wapi, inapendeza mwanamke akipiga hizo code awe nyumbani na mumewe sio mabarabarani akaleta tafrani.

Mke wangu akiwa nyumbani anatupia code kama densa wa fally ipupa.
 
Back
Top Bottom