Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Wewe nae ndio wale wale

Ofisi gani hiyo wanaruhusu bleach?

Labda barmaid sawa
Hahaha niko ubalozini kaka. Huku hakuna kuangalia unavaa nini au muonekano wako sijui. Ni kupiga kazi tu. Halafu tunakuwa kwenye high level meeting na vigogo na bleach zetu bila shida
 
Ni kweli, ila tunakatisha tu huko ofisi za wamatumbi na bleach zetu tena unakaribishwa vizuri sana kisa tuko na mabeberu. Ila wabongo wanafiki kwa double standards aisee, katisha hivyo na bleach na kimini chako uwe umetokea mtaani unahitaji huduma walah utarudishwa espeally ofisi za serikali
Na wiki hii naenda kukutana na vigogo wa wizara fulani Dodoma na bleach yangu kichwani
 
Wewe nae ndio wale wale

Ofisi gani hiyo wanaruhusu bleach?

Labda barmaid sawa

Bank kama NMB, CRDB wanaruhusu staff wao kuweka bleach.

Makampuni ya simu kama vodacom, tigo, airtel ukifika head office zao utaona baadhi ya staff wa kike wameweka bleach
 
Endelea na umalaya hivyohivyo
Najua kolomije hivyo ni vitu adimu kidogo,Kaa hapo mjini kama wiki mbili hivi utaanza kuzoea..sio kosa lako jamaa mkitoka usukumani ndivyo mnavyokuwaga,ni hali ya kawaida,utazoea
 
Kuna viuno vya kuvaa shanga, kiuno nyigu yani kiuno chembamba tumbo flat..... mwanamke mwenye tumbo kubwa lijlkiuno likubwa hawapendezi kabisa kuvaa shanga
Kweny swala la vikuku... Vinapendeza sana kwa wanawake weupe na wenye miguu minene
Kuvaa vikuku na shanga ukiwa na mpenzi wako sio uhuni wala umalayer lkn kuvionyesha hivo vitu hadharani ni uhuni
Mwanamke kutoboa pua, kutoboa kitovu, kutoboa ulimi, kutoboa kitovu, kutoboa masikion matobo manne, kutoboa nyusi, huyo ni muhuni ni muhuni ni weka mbali na watoto.... Huyo dawa yake ni kumchapa na kumuacha
 
20221101_034911.jpg
 
Zilimkatikia dada mmoja posta mpya, wakati tukigombania dalala, watoto wa kihuni acha waanze, dada amwemwaga lazi, chachandu inamwagika. Mdada hakuinua uso.
Yupo dada zilimkatikia Kanisani wakati wa kutoa sadaka ile analifikia kapu la sadaka na kuinama kiheshima kuweka sadaka zikaanza kububujika kama vile mbuzi anavyomwaga zile karanga zake nyeusi.
 
Yupo dada zilimkatikia Kanisani wakati wa kutoa sadaka ile analifikia kapu la sadaka na kuinama kiheshima kuweka sadaka zikaanza kububujika kama vile mbuzi anavyomwaga zile karanga zake nyeusi.
Ha ha ha[emoji23]
 
Back
Top Bottom