Chombezo mkeo ndio alitaka

Chombezo mkeo ndio alitaka

Kwani gari sh ngap😀 ngoja nitumbe maombi ya kazi ya ualimu. Nikipata kazi napata mkopo nakununulia gari mamsap😀
eti kazi ya ualimu, si bora ukaombe ata kufanya usafi benki maeneo yenye hela😅😎
 
si utakua unaiba kidogo kidogo halafu tunanunua gari
Nilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapo🤣
 
Nilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapo🤣
ndo umwambie tena sasa akufanyie connection
 
Nilivyomaliza chuo miaka 8 iliyopita basi kuna baba yangu mdogo alikuja home akaniuliza ulisomea nini? nikamjib banking and finance. Akasema unataka kufanya kaz bank wanaume wenzako wakuletee hela uwahesabie. Yale maeno yaliniingia vibaya huwezi amini kazi ya bank ikaishia hapo[emoji1787]
kwahiyo sasa hivi umeamua ujiajiri kwa kupika mbege
 
Back
Top Bottom