Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Kati ya Hamas na wale mashoga nani kaomba mapumziko,vita vina mapumziko! eti ooh tunaomba vita visimame kwa miezi miwili!Naona mmeanza kutafuta kivuli mjiepushe na kipigo
Waambie mkuu maana hawa binadamu kwa kujifanya hamnazo hawajambo.Mmiliki wa hiyo chanel ya Middle east eye anaitwa Jamal Bessaso na haipo Israel bali Uingereza.
Propaganda za kiarabu hizo,hazitasaidia na kipigo wanachopata.baada ya tukio la october 7, zilikuwepo taarifa za kuonyesha kuwa kulikuwa na unyama mkubwa sana uliofanywa na HAMAS siku hiyo ikiwemo ubakaji na mauaji ya watoto. Uongo huo ulisambazwa dunia nzima na hivyo kuipa Israel cover ya kwenda kufanya mauaji ya kimbari gaza.
vyombo kadhaa vya habari vimeanza kujitokeza na kuusanua uongo huo.
Hapa ni chombo cha habari huko Israel kikionyesha wazi kuwa madai mengi ya yaliyotokea october 7 ni feki:
View: https://www.youtube.com/watch?v=jp4uLjCztfI&ab_channel=TheYoungTurks
Jamaa waongo sana hawa.Waambie mkuu maana hawa binadamu kwa kujifanya hamnazo hawajambo.
Mmiliki wa hiyo chanel ya Middle east eye anaitwa Jamal Bessaso na haipo Israel bali Uingereza.
asa anayepigwa nani!!!Naona mmeanza kutafuta kivuli mjiepushe na kipigo
Umekimbilia uku tena?,Sawa.Hiyo imechukua feed/content tu kutoka ktk Channel ya huko Israel na kuicheza ktk platform yao. Siyo yenyewe iliyoproduce hiyo content.
Shetani wao Al lah ameruhusu kudanganya kuwa sio dhambi kiimani yao..Jamaa waongo sana hawa.
Ukitaka cheka, nenda kuswali pretend kuwa ni muislam baada ya swala uwa kuna vistory vya hapa na pale vya waumini ndani ya misikiti.. Kila aina ya uwongo utasikia tena kutoka kwa watu wazima kabisa.