Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Kijana usipate shida weka hizo Assumptions nikuonyeshe kwa namna gani hazifanyi kazi.

Kisha mada hii naimaliza kwa kitu hiki "Contigent Factors/Factor"
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu wewe ni Muislamu??
Tena Muislamu hasa.
 
Waafrika huwa ni rahisi sana kuamini kitu hususani kwa wazungu...unaamini kweli hicho kifaa kimefika sayari ya MARS!!!!! Mkisikia tu "mzungu kafanya kitu flani" mnapigwa butwaa [emoji3]
Wewe mmatumbi wa buza umefanya nini zaidi ya kujamba tu na kuchafua mazingira?

Hao wazungu ndio wanaokufanya unaandika ushuzi wako hapa jamiiforums kwa kujimwambafai.

Usisahau hilo.
 
binadamu tumewekwa duniani Kwa mpango wa MUNGU.sio planted
Tunatakiwa kusoma vitabu vyote vya kale pia vya kiimani vikiwamo so sorry ni ngumu sana kunielewa hasa kuhusu suala hili its above human knowledge
 
Wewe mmatumbi wa buza umefanya nini zaidi ya kujamba tu na kuchafua mazingira?

Hao wazungu ndio wanaokufanya unaandika ushuzi wako hapa jamiiforums kwa kujimwambafai.

Usisahau hilo.


Mtu mweusi ataendelea kuwa mtumwa wa mzungu isipokuwa wenye kujitambua ...refer ulichokiandika hata mtoto wako I don't know what he will learn from you boy!!!! Kuwa na hekma/busara na maneno yako kijana.
 
Hivi unadhani safari za anga ni kama Mbagala kariakoo !

Kila mission INA objective yake Na hizo pesa za walipa kodi wa marekanj lazima ziwe accounted for.

It is practically impossible to to establish han settlement on the moon. Hakuna atmosphere, inadequate gravity how do we live there.
Au unadhani kupeleka kifaa au MTU kwenye moon ni kwaajiri ya show off
 
Unao ushahidi wa haya unayo yaandika au huwa unayasoma kama habari tu za kwa kwenye magazeti.
Andaa dollar 400k uje uende mwenyewe space x wakishafanikiwa Na project yao. Maana hata akienda baba ako utamwambia anakudanganya kalipwa Na NASA aje apoteshe umma [emoji23][emoji23]
 
kumbuka kwenye mwezi hakuna oxygen
Hyo ndo kanuni ambayo naizungumzia
Unadhani watu waliopo kwenye international space station wanapumuaje.


Kuna Na namna nyingi za kutengeneza oxygen

Kama kuvunja maji Na kupata hydrogen Na oxygen
 
Una hoji vitu kama layman sheikh, wewe umekazana Na kurudi mwezini tuu waende kufanya nini. Mwezini hakuna uwezekano wa maisha wachome pesa zanini unadhani ni show off zile ndugu. Zile ni tafiti Na tafiti zinagharama kubwa sana huwezi Fanya mambo kwa show off tu.


Mwaka 2021 unauliza umbali wa mwezi kutoka duniani kweli??

Maswali kàribu yote unayo hoji ni ya kitoto.

Ukiona engineering ya hicho kifaa Na gadgets zote zilizomo ungekaa kimya.
 
ila oxygen ya duniani ni ya asili.
Unazaliwa unaikuta.si ndio?
Unadhani watu waliopo kwenye international space station wanapumuaje.


Kuna Na namna nyingi za kutengeneza oxygen

Kama kuvunja maji Na kupata hydrogen Na oxygen
 
Adam na hawa waliishi duniani.sio mars wala Jupiter n.k
Nandio sayari ambayo mungu ameweka UHAI.
Tunatakiwa kusoma vitabu vyote vya kale pia vya kiimani vikiwamo so sorry ni ngumu sana kunielewa hasa kuhusu suala hili its above human knowledge
 
kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
[emoji23][emoji23][emoji23] hafu wana mock NASA , hawa watu aisee sio poa.
 
Nitajie sayari nyingine.ambayo wanaishi watu
The absence of evidence is not the evidence of absence.

Hatujui kama ulimwenguni Kuna intelligent beings wengine kama sisi. Yawezekana hawapo au wapo
 
Wewe ndo unajibana.
Katika hizo sayari Tisa na dunia ikiwemo.ni moja Tu inayosapoti maisha.
Na hata ukiangalia mizunguko ya hizo sayari kulizunguka JUA.ni wazi dunia ndo ina afaa kuishi
Mkuu Kuna kitu kinaitwa terraforming .

Kufanya mazingira ya mars kuweza support wanadamu. Haijawahi fanyika bado but wameshawaza hayo maswali yako kabla hawajachoma pesa zao
 
Nini faida ya watu ya kwenda kuishi mars.?
Mkuu Kuna kitu kinaitwa terraforming .

Kufanya mazingira ya mars kuweza support wanadamu. Haijawahi fanyika bado but wameshawaza hayo maswali yako kabla hawajachoma pesa zao
 
sayari ambayo inasapoti Maisha NI moja tu
The absence of evidence is not the evidence of absence.

Hatujui kama ulimwenguni Kuna intelligent beings wengine kama sisi. Yawezekana hawapo au wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…