Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Akili unayoizungumzia hapa siyo ile yenyewe, akili iliyo salama inahoji na kutafakari kwa kina, na ibapotfakari inakuja na maswali yasiyo jibika.
Hapana, naizungumzia akili iliyo salama isiyo na shaka
 
Hapana, naizungumzia akili iliyo salama isiyo na shaka
Unapotoka kuchezea michanga chezea vizuri usije ukachafuka kwani mama atakuchapa.

Nazungumza na wewe, utoto uache.
 
Wewe hapo umeona nini ? Mpaka unaniuliza kama nimeona?

Kwani hapo bibie kitu kimekufanya mpaka ukasidikisha hiyo habari? Je, hukuona haja ya kuhoji au hupaswi kuhoji?

Mimi mpaka hapo nina maswali zaidi ya matatu ya kuhoji juu ya habari hiyo. Huku ushahidi wa picha nikiudhohofisha sababu hata mimi naweza kubuni picha kama hiyo.

Tukirudi katika swali lako, hapo nimeona picha tu sijaona kipya. Ili niweze kuwaamini tu ni kuwa watuambie kwanini walituambia kuna mtu alienda mwezini na kwanini hawaendi tena?
Duh huyu jamaa ni mbishi kweli.Angalia usije bisha kuwa haujazaliwa.
 
Wazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.

Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao.
Mzungu angewaza kama wewe wasingefika afrika wala amerika kusini.
 
Nitajie sayari nyingine.ambayo wanaishi watu
Mjinga wewe, thibitisha hilo.

Unadhani Mungu alipokuwa akiagiza watu wake watoke nchi moja kwenda nchi nyingine alimaanisha Sudan na Rwanda?

Hizi unazoita nchi leo ziliwekwa mipaka na wakoloni na kupewa majina, rejea neno NCHI kwa lugha ya Mungu wa enzi.
 
Duh huyu jamaa ni mbishi kweli.Angalia usije bisha kuwa haujazaliwa.
Huyo jamaa anaweza kubisha wewe umekufa na akakushinda alafu anaweza akaanza kubisha wewe ujafa na akashinda jamaa Bishi linamaelezo mengi bila hoja za maana.
 
Wenzako wanajifungia ndani wanafanya tafiti za mabilion ya pesa wewe from no where.. i mean not from no where like no where yani kwenye sofa la shemeji yako hapo unaita "UONGO".
Ndio wenye akili za KI MEKO, watu wanaumiza vichwa, na pesa nyingi, jitu linakuja tu ohhh, hizo chanjo wanataka kupunguza waafrika?!!tuzikataee, si utengeneze za kwako?!!
 
Wenzako wanajifungia ndani wanafanya tafiti za mabilion ya pesa wewe from no where.. i mean not from no where like no where yani kwenye sofa la shemeji yako hapo unaita "UONGO".
Yes this guys are working very hard... Gharama za hii mission ni TZS Trilioni 7..... Yaani karibia robo ya bajeti yetu ya mwaka mzima.
 
Wewe hapo umeona nini ? Mpaka unaniuliza kama nimeona?

Kwani hapo bibie kitu kimekufanya mpaka ukasidikisha hiyo habari? Je, hukuona haja ya kuhoji au hupaswi kuhoji?

Mimi mpaka hapo nina maswali zaidi ya matatu ya kuhoji juu ya habari hiyo. Huku ushahidi wa picha nikiudhohofisha sababu hata mimi naweza kubuni picha kama hiyo.

Tukirudi katika swali lako, hapo nimeona picha tu sijaona kipya. Ili niweze kuwaamini tu ni kuwa watuambie kwanini walituambia kuna mtu alienda mwezini na kwanini hawaendi tena?
Punguza upimbi basi CNN wameonyesha moving pictures kabisa... Ingia You tube utaona, hakuna habari za kuficha ficha mambo kwa wenzetu....
 
Nilitaka kusema hivyo hivyo. hawa jamaa tangu waje na ile movie ya kumuua osama huku obama anaangalia live ndio mimechoka. wana msemo wao if you cannot make it fake it.
Wewe endelea kuamini kikombe cha babu, na kwamba uchaguzi ulikuwa huru na wa haki, haya mengine they are far beyond your understanding....
 
Huyo jamaa anaweza kubisha wewe umekufa na akakushinda alafu anaweza akaanza kubisha wewe ujafa na akashinda jamaa Bishi linamaelezo mengi bila hoja za maana.
Alafu maelezo na hoja zake zote ni nonsense yaani hazina mashiko na ni za kipuuzi na kitoto kweli.Mtu mwenye busara hata akipinga hoja anapinga kwa utayari wa kufundishwa na kukubali kuelewa jambo fulani na kukubali mawazo mapya asiyofahamu na sio kujifanya mjuaji wa kila jambo hali ya kuwa hakuna anachokifahamu.
 
Unapotoka kuchezea michanga chezea vizuri usije ukachafuka kwani mama atakuchapa.

Nazungumza na wewe, utoto uache.
Unamaanisha matumizi ya neno "akili iliyo salama" hutumiwa na watoto kuelezea utoto?
 
Ivi mnakumbuka NASA walivyo tuambiaga wameiona MJI WA AHADI YELUSALEM angani kwa kutumia Nasa Telescope. Tusubir Sampuli za mawe
 
Punguza upimbi basi CNN wameonyesha moving pictures kabisa... Ingia You tube utaona, hakuna habari za kuficha ficha mambo kwa wenzetu....
Tuliza akili na usome nachokiandika, utoto na ushabiki baki nao.

Swali umezihakiki hizo habari ?
 
Huyo jamaa anaweza kubisha wewe umekufa na akakushinda alafu anaweza akaanza kubisha wewe ujafa na akashinda jamaa Bishi linamaelezo mengi bila hoja za maana.
Sasa kama sina hoja maana yake ni rahisi kujibu ninachokiandika.

Mnapokimbia maswali marahisi inaonekana nyinyi hamna kitu.
 
Back
Top Bottom