Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Ukiangalia kwa macho Mwezi unaonekana upo karibu na mbingu aisee ushawai kuiona mbingu Mkuu.

Mbingu inaonekana kwa macho hii mpya aisee.
Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
 
Sijui a sana wanashindwa kuwekeE kwenye salaried hiidola 1bl tu tutorage miti kila tulip photo I na kuongeza matumizi ya green energy

Hdoenx iopdhw nljfo mogrola![emoji276]
 
Mbona kama Joyce wowowo? Vile vimdoli vya kike vinavyochezeshwa kwa kamba
 
Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
Mbingu is not something tangible, you can't see, you can't touch....Is more Spiritual thing sasa wewe unaposema unaiyona How.
 
Wewe nae unaamini huo uongo [emoji23][emoji23]
Inawezekana kwako ni jambo lisiloingia kabisa akilini, yaani hulifikiriikabisa hata kwa mawazo, wakati kwa mwezako lipo katika utekelezaji. Huenda ungekuwapo enzi ambazo kuna maandalizi ya mawasiliano ya internet, ungekataa pia kwa kusema ni uongo, ila sema tu umezaliwa ukaikuta iternet ipo, ndio maana haikufikirishi!
 
Mbingu is not something tangible, you can't see, you can't touch....Is more Spiritual thing sasa wewe unaposema unaiyona How.
Ngoja twende taratibu. Kwanza nipe marejeo yako juu ya hiki unachokiandika.

Pili, tunacho kiona angani ni mawingu au mbingu ? Maans mawingu huwa yanatembea, sasa jile kinachobaki huwa ni nini na je kinaonekana au kinyume chake ?

Ila watu mna vituko sana.
 
Hiyo kauli yako tu imejaa siasa,hivi unavyo ona hao wamefanya majaribio mangapi? Alafu piga mara tilion 7 ,hata utumie rasimali zako vipi ulizokuwa nazo sasa uwezo wa kupeleka chombo angani huna.
Nimesema kusogea mbele hatua kumi
 
Nimesema kusogea mbele hatua kumi
Hata moja hatuwezi kwa sasa huo ndio ukweli wenyewe,kwani hizi projects ni full kucheza kamari labda miaka 100 ijayo huko.

Tuna matatizo kibao bado hatujapatia ufumbuzi,miundo mbinu,elimu,afya,kilimo nk huko kote hali mbaya.
 
Ngoja twende taratibu. Kwanza nipe marejeo yako juu ya hiki unachokiandika.

Pili, tunacho kiona angani ni mawingu au mbingu ? Maans mawingu huwa yanatembea, sasa jile kinachobaki huwa ni nini na je kinaonekana au kinyume chake ?

Ila watu mna vituko sana.
kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] Hatari mkubwa
 
kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ndogo akili topee yani...!!
 
Yani watanzania primitive sana ndo maana hata Corona elimu yake ndogo lakini hamuamini kama ipo mnaishia kuamini uchawiii...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
Kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza ?

Unapoingia katika mijadala kama hii, hutakiwi kukimbia maswali.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ndogo akili topee yani...!!
Naona mmekutana pipa na mfuniko, sijui nani atamfunua mwenzie.

Ngoja niendelee kupigs al Qasus baada kukimbia maswali ninayo wauliza.
 
Hawa ndio mabeberu jiwe anataka kushindana nao!! Wa kwanza Mungu wa pili MZungu(BEBERU).
 
Naona mmekutana pipa na mfuniko, sijui nani atamfunua mwenzie.

Ngoja niendelee kupigs al Qasus baada kukimbia maswali ninayo wauliza.
Kwa hiyo wewe akili zako Mbinguni ukishapita mawingu umefikaa???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hiyo wewe akili zako Mbinguni ukishapita mawingu umefikaa???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Soma nilichokiandika, kisha kosoa siyo unaruka ruka kama bisi. Kisha uweke usahihi wa mambo na uweze kuutetea.

Mwenzako nimemuuliza maswali kwa ujinga wake anauliza kama nimemuuliza maswali wakati aliya nukuu ywle maswali.
 
Back
Top Bottom