Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?Ukiangalia kwa macho Mwezi unaonekana upo karibu na mbingu aisee ushawai kuiona mbingu Mkuu.
Mbingu inaonekana kwa macho hii mpya aisee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?Ukiangalia kwa macho Mwezi unaonekana upo karibu na mbingu aisee ushawai kuiona mbingu Mkuu.
Mbingu inaonekana kwa macho hii mpya aisee.
Sijui a sana wanashindwa kuwekeE kwenye salaried hiidola 1bl tu tutorage miti kila tulip photo I na kuongeza matumizi ya green energy
Akili unayoizungumzia hapa siyo ile yenyewe, akili iliyo salama inahoji na kutafakari kwa kina, na ibapotfakari inakuja na maswali yasiyo jibika.Taarifa ni ya ukweli kwasababu haipingani na akili iliyo salama
Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
Mbingu is not something tangible, you can't see, you can't touch....Is more Spiritual thing sasa wewe unaposema unaiyona How.Nimecheka sana, wewe tueleze mbingu ni nini ? Kuna mawingu na mbingu, unayo iona huko juu ni nini ?
Inawezekana kwako ni jambo lisiloingia kabisa akilini, yaani hulifikiriikabisa hata kwa mawazo, wakati kwa mwezako lipo katika utekelezaji. Huenda ungekuwapo enzi ambazo kuna maandalizi ya mawasiliano ya internet, ungekataa pia kwa kusema ni uongo, ila sema tu umezaliwa ukaikuta iternet ipo, ndio maana haikufikirishi!Wewe nae unaamini huo uongo [emoji23][emoji23]
Ngoja twende taratibu. Kwanza nipe marejeo yako juu ya hiki unachokiandika.Mbingu is not something tangible, you can't see, you can't touch....Is more Spiritual thing sasa wewe unaposema unaiyona How.
Nimesema kusogea mbele hatua kumiHiyo kauli yako tu imejaa siasa,hivi unavyo ona hao wamefanya majaribio mangapi? Alafu piga mara tilion 7 ,hata utumie rasimali zako vipi ulizokuwa nazo sasa uwezo wa kupeleka chombo angani huna.
Hata moja hatuwezi kwa sasa huo ndio ukweli wenyewe,kwani hizi projects ni full kucheza kamari labda miaka 100 ijayo huko.Nimesema kusogea mbele hatua kumi
kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.Ngoja twende taratibu. Kwanza nipe marejeo yako juu ya hiki unachokiandika.
Pili, tunacho kiona angani ni mawingu au mbingu ? Maans mawingu huwa yanatembea, sasa jile kinachobaki huwa ni nini na je kinaonekana au kinyume chake ?
Ila watu mna vituko sana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ndogo akili topee yani...!!kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
Kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza ?kwamba rangi ya blue mbingu ukitoboa unaiona nyengine ukitoboa mpaka ya saba unamuona Mungu, Thinking ndogo sana hii.
Naona mmekutana pipa na mfuniko, sijui nani atamfunua mwenzie.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ndogo akili topee yani...!!
Umeuliza swali gani.Kwanini hujibu maswali niliyo kuuliza ?
Unapoingia katika mijadala kama hii, hutakiwi kukimbia maswali.
Kwa hiyo wewe akili zako Mbinguni ukishapita mawingu umefikaa???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Naona mmekutana pipa na mfuniko, sijui nani atamfunua mwenzie.
Ngoja niendelee kupigs al Qasus baada kukimbia maswali ninayo wauliza.
Hivi inakuwaje mnajadili mambo msiyoyajua mkihisi mnayajua na mnashindwa kuyajengea hoja na umakini wenu ukiwa mdogo ?Umeuliza swali gani.
Soma nilichokiandika, kisha kosoa siyo unaruka ruka kama bisi. Kisha uweke usahihi wa mambo na uweze kuutetea.Kwa hiyo wewe akili zako Mbinguni ukishapita mawingu umefikaa???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]