Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,569
Nje ya mdahalo wenuHyo akili ya kufanya hayo yote huyo binadamu kapewa na Nani?.
Yaani mungu aliyetengeneza akili na ubongo unamuona hafai.ila Yule aliyetengeza suruali na Shati akitumia akili aliyopewa na mungu ndo unamuona ana maana[emoji848][emoji848][emoji848]
Nikuulize Swali: Kuishi nje ya Dunia ni dhambi kiimani (endapo binadamu ataweza fanikisha)??