Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Ukishaingia inner space unahitaji mafuta ya nini tena, sana sana ni kuiboost mara chache ili kumaintain attitude. Kuna chombo cha mmarekani kwa jina Voyager 2, kimeenda tangu miaka ya 70 mwishoni na kinaelekea sayari ya neptune kama sijasahau. Ukishaingia huko unahitaji solarenergy kumaintain system na si mafuta
Vipo viwili Voyager 1 na Voyager 2. Vimeshavuka solar system. Unaweza kuvitrack live online hapa.
 
Huyo bwana elimu ya dini imemkaa sana, anatakiwa atafute na elimu dunia sana
Sasa kama elimu ya dunia ni uongo na kupoteza muda. Niendelee kupoteza muda ili iweje huoni nazidi kufanya utoto zaidi ?

Pili, huwa mnasema ya kuwa sina hoja mara mimi mbishi, muda huo huo mnashindwa kukosoa hoja zangu kielimu mnaishia kukimbia.

Tatu,akili mmepewa bure,mnatakiwa kuzitumia katika kuhoji na kutafuta ukweli.

Nne, kuna mwenzenu analeta habari za Kepler's,huku hajui ya kuwa wapo walio zikosoa laws hizo na kuona zina Errors kibao, sasa sijui ujasiri wa kupokea kila mnachokisikia na kukiona mnapata wapi ?

Tano, hakuna atakaye weza kuthibitisha ukweli wa Solar System, yaani kwamba kuna Solar Systen zaidi ya dhana tu zisizo na ushahidi wowote, hii ni ziada tu, kwamba Jua halitembei na Sayari nyingine zinalizunguka. Muda huo huo tunaona jua linachomoza toka Mashariki na linazama Magharibi.

Sita,kama nyinyi hamsomi mkaelewa, sisi tuliamua kuacha kazi tufanye kazi. Yaani tukisoma tunasoma hasa na tunahoji na tunakosoa sababu tuna marejeo.
 
Alafu maelezo na hoja zake zote ni nonsense yaani hazina mashiko na ni za kipuuzi na kitoto kweli.Mtu mwenye busara hata akipinga hoja anapinga kwa utayari wa kufundishwa na kukubali kuelewa jambo fulani na kukubali mawazo mapya asiyofahamu na sio kujifanya mjuaji wa kila jambo hali ya kuwa hakuna anachokifahamu.
Vijana huwa nawaona madebe tupu,sababu mnaishia kusema tu bila kukosoa ninachokiandika kielimu na kuweka usahihi. Sasa sijui hili la kunikosoa linawashinda nini, kama mnajua wekeni hoja zenu, acheni uoga.
 
Ukishaingia inner space unahitaji mafuta ya nini tena, sana sana ni kuiboost mara chache ili kumaintain attitude. Kuna chombo cha mmarekani kwa jina Voyager 2, kimeenda tangu miaka ya 70 mwishoni na kinaelekea sayari ya neptune kama sijasahau. Ukishaingia huko unahitaji solarenergy kumaintain system na si mafuta
Mkuu voyager ishaingia interstellar region kitambo sana. Meaning ishavuka our solar system sasa haipo kwenye solar system IPO mbali sana
 
Mkuu voyager ishaingia interstellar region kitambo sana. Meaning ishavuka our solar system sasa haipo kwenye solar system IPO mbali sana
nawaza tuu, kwanini mawasiliano ya vyombo hivyo hayawekwi ktk ndege?
 
Muda wa kununua hisa za Space X/ Blue Origin/ Virgin Galactic and stuff. If you know you know.
 
This is big achievement
IMG-20210220-WA0027.jpg
IMG-20210218-WA0011.jpg


Sent from my ACCESS55 Pro using JamiiForums mobile app
 
Naanzia hapa,suala la budget waesema lini au umejiaje kama budget ni kubwa ? Umbali wa kwenda Mars na Mwezini unatofautiana vipi na changamoto ni zipi ? Bajeti hiyo ni kiasi gani wanayo

Kuna swali nilikuuliza wewe unahihikisha vipi ya kuwa kweli wameenda Mwezini au Mars ? Marejeo yako wewe ni yapi ? Hili swali hujalijibu. Kwamba je kwa kuona picha au kusikia habari ?

Hapa naona unawachoresha Wanasayansi na kuwafanya tuwaone wamebweteka. Kisayansi walitakiwa mpaka sasa hivi wawe wameshaenda zaidi ya mara kumi sababu ni zaidi ya miongo mitatu tangu tuambiwe Nail alikwenda mwezini. Maana yake walitakiwa wawe wameshabuni vifaa vyenyw ufanisi mkubwa na kwa gharama nafuu. Labda watuambie ya kuwa gharama imekuwa kubwa zaidi ya kuandaa movie kama hiyo, au wameshajua ya kuwa watu wameshawaona wao mazwazwa kwa kuigiza tukio hilo pale Area 51.

Lakini suala la uzandiki juu ya tukio la mwezini mbona limeshabatilishwa tangu zamani na husemwa pia sababu ya kifo cha John F. Kenedy ni kufichua siri au kutaka kufichua mbinu hiyo. Kihistoria husemwa ya kuwa hiyo ilikuwa ni vita baina ya USSR na Marekani katika kuonyeshana umwamba maendeleo ya kisayansi.

Mimi siyo kwamba nadhani bali nina uhakika kabisa.

Watuambie kwanza umbali wa kutoka katika uso wa dunia mpaka mwezini ni kiasi gani ? Bila kuweka Assumtions yoyote ile, wakiweka tu Assumptions wameharibu.

Pili, walitumia vigezo gani kutengeneza kifaa ambacho walijua fika kitawapeleka na kuwafikisha mwezini ? Hapa inabidi watuambie. Maana yake kabla inabidi ufanya ufanue utafiti, na utembelee sehemu husika. Tafiti hii ilifanyika wapi na kwa kutumia nini ?

Sasa unapohoji haya mambo ndipo unapoona ya kuwa hili ni igizo na wengine walithibitisha hilo.

Tatu, kiimani jambo hili hali wezekani, sababu hakuna anaejua ya kuwa Mwezi uko umbali gani toka mbingu ya kwanza ila kwa macho ukiangalia vizuri unaona ya kuwa mwezi uko karibu sana na mbingu ya kwanza kuliko ardhini, yaani duniani. Tunaambiwa umbali wa mbingu ya kwanza na dunia na mbingu na mbingu ni mwendo wa miaka 500. Hii ni kwa mwendo kasi wa juu zaidi (Rejea jaya katika kitabu kiitwacho "Qamus al Bida'ah" ). Maana chini ya muda huo hizo zinabaki kuwa stori tu na kufurahisha nafsi.

Tatu, zipo sababu za kisayansi zinazo pinga igizo hilo. Unaweza kuzifatilia Google ukazipata. Ukisearch "Did we land on the moon". Utaona mambo mengi wapo wanao thibitisha ya kuwa tukio hilo ni kweli na wale wanao kadhibisha tukio hilo, ukipima katika mzani utaona ya luwa hawa wapili wana hoja zenye nguvu mno kuliko wengin, na hao wa kwanza wameanza kuja kuandika hayo hivi karibuni.

Narudi kuendelea hapa nilipoishia...
Wewe unachopinga ni nini? Au unataka kusema nini..??

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom