Kwani NASA wametuma matangazo tbc?Mtu mweusi ni rahisi sana kumteka akili, kama wewe Paula Paul ...huwa mkisikia tu mzungu kafanya kitu flani mnapigwa butwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani NASA wametuma matangazo tbc?Mtu mweusi ni rahisi sana kumteka akili, kama wewe Paula Paul ...huwa mkisikia tu mzungu kafanya kitu flani mnapigwa butwaa
Camera inayofungwa juu ya uwanja wa mpira inashikwa na nani? Au nyuma y magoli anashika nani?Bado nauliza, camera iliyopiga picha ya hiko vhombo wakati kinatua nayo ilirushwa kabla ya chombo au sambamba na chombo. Tuzingatie angle yake.
Sensor inafungwa kwenye camera nyngne kwenye chombo pia au sehemu nyingne yyte ndani ya chombo kutokan na uhitaji. Sas kinachofanyika sensor ina uwezo wa kubadlisha badliko la kitabia kuwa umeme. Sas ko wanaweza sema labda wafunge sensor ya joto ina maan ikifika sehem ikatokea badliko la joto sensor itatoa taarifa kwa umeme. Ko kuna action itafuata ya kiumeme nd kama switching ya camera. Pia wanaeza funga sensor ya umbali it means wanaset umbali fulani ukifikiwa basi sensor itatoa taarifa ya kiumeme kuruhusu action fulani ambayo kwa case yetu ni switching ya camera on.sawa mtaalam, kwamaana hiyo hizo sensors ndio zimepiga hiyo picha, how? Tunaoeana elimu tuu. Enhe sensors hiyo ikitangulia au ilikua na chombo au haipo hata eneo la tukio? Msaada tafadhari ewe mtaalamu wa masuala ya upigwaji wa picha.
View attachment 1712057Aliekufahamisha kwamba kuna sayari nyingine japo hazisupport maisha si ndo yupo kutafuta lead ya kupata maisha huko sas unampinga nn? 2litarajia utakuwa unaitafuta hata anga sahv kwenda kuthibitisha.
Poa.Sas wewe hata nauli ya kufika 2 nasa huna unatak sisi tukusaidiaje? Wenzio wanaend wanashuhudia chombo inaondoka CNN wanarusha live we sijui unakuwaga wapi hapo. Hufanyi effort yyte ya tafiti.
Poa.Duu mwezi uliopo juu tu hapo ukaribie mbinguni? Na jua je? Sas wenzio waliogundua nuclear bombs hospitals wakatufundisha jinsi ya kuishi wakatoka kwao wakafanikiwa kufika kwetu wakafanikisha nasisi tuweze kwenda kwao wanasema wameenda mars. Je tukuamini wewe kwa lipi ulilofanya hapo. Mbona hata hesabu za kurusha ndege ni za makadirio lakini ndege imeruka kweli. Meli je density ya maji sio makadirio? Matumizi ya umeme sio makadirio mpaka kukawa na power factor? Ko we makadirio ya mars 2 ndo yanakutoa roho!?
Poa.Ile ni ozone layer wewe huna uwezo wa kuona umbali mrefu kiasi hicho. Ile ozone layer ni reflection 2 ya mwanga there is nothing. Ungekuwa umewahi tumia telescope nadhani ungeshuhudia.
Poa.Kumbe ndo kilichokuponza wewe unashinda na watu hawajui mambo. Sasa kuna mtu anaejua field ya sayansi vizuri hajui einstein alichokifanya kweli? We umefanya nn ambacho hata kimetatua changamoto za bongo?
Poa.Usichanganye mafile braza. Mbingu na dunia wapi na wapi? Ko unatak kunambia jua ambalo liko umbali mkubwa zaid kuliko mwezi Mungu na malaika wanaliota?
Poa.Yani wewe ungezaliwa kipindi kile cha malaika waliozaa na binadamu huenda ungewaabudu wale. We unataka binadamu wenzio wajifanye Miungu kila ki2 wajue kinachofuata nd shida hyo.
Bro siyo kila mada lazima uchangie vitu km huvijii kausha ujifunze. mwaswali uliyouliza yanaonyesha una ufahamu mdogo kihasi gani juu ya Haya mamboNaanzia hapa,suala la budget waesema lini au umejiaje kama budget ni kubwa ? Umbali wa kwenda Mars na Mwezini unatofautiana vipi na changamoto ni zipi ? Bajeti hiyo ni kiasi gani wanayo
Kuna swali nilikuuliza wewe unahihikisha vipi ya kuwa kweli wameenda Mwezini au Mars ? Marejeo yako wewe ni yapi ? Hili swali hujalijibu. Kwamba je kwa kuona picha au kusikia habari ?
Hapa naona unawachoresha Wanasayansi na kuwafanya tuwaone wamebweteka. Kisayansi walitakiwa mpaka sasa hivi wawe wameshaenda zaidi ya mara kumi sababu ni zaidi ya miongo mitatu tangu tuambiwe Nail alikwenda mwezini. Maana yake walitakiwa wawe wameshabuni vifaa vyenyw ufanisi mkubwa na kwa gharama nafuu. Labda watuambie ya kuwa gharama imekuwa kubwa zaidi ya kuandaa movie kama hiyo, au wameshajua ya kuwa watu wameshawaona wao mazwazwa kwa kuigiza tukio hilo pale Area 51.
Lakini suala la uzandiki juu ya tukio la mwezini mbona limeshabatilishwa tangu zamani na husemwa pia sababu ya kifo cha John F. Kenedy ni kufichua siri au kutaka kufichua mbinu hiyo. Kihistoria husemwa ya kuwa hiyo ilikuwa ni vita baina ya USSR na Marekani katika kuonyeshana umwamba maendeleo ya kisayansi.
Mimi siyo kwamba nadhani bali nina uhakika kabisa.
Watuambie kwanza umbali wa kutoka katika uso wa dunia mpaka mwezini ni kiasi gani ? Bila kuweka Assumtions yoyote ile, wakiweka tu Assumptions wameharibu.
Pili, walitumia vigezo gani kutengeneza kifaa ambacho walijua fika kitawapeleka na kuwafikisha mwezini ? Hapa inabidi watuambie. Maana yake kabla inabidi ufanya ufanue utafiti, na utembelee sehemu husika. Tafiti hii ilifanyika wapi na kwa kutumia nini ?
Sasa unapohoji haya mambo ndipo unapoona ya kuwa hili ni igizo na wengine walithibitisha hilo.
Tatu, kiimani jambo hili hali wezekani, sababu hakuna anaejua ya kuwa Mwezi uko umbali gani toka mbingu ya kwanza ila kwa macho ukiangalia vizuri unaona ya kuwa mwezi uko karibu sana na mbingu ya kwanza kuliko ardhini, yaani duniani. Tunaambiwa umbali wa mbingu ya kwanza na dunia na mbingu na mbingu ni mwendo wa miaka 500. Hii ni kwa mwendo kasi wa juu zaidi (Rejea jaya katika kitabu kiitwacho "Qamus al Bida'ah" ). Maana chini ya muda huo hizo zinabaki kuwa stori tu na kufurahisha nafsi.
Tatu, zipo sababu za kisayansi zinazo pinga igizo hilo. Unaweza kuzifatilia Google ukazipata. Ukisearch "Did we land on the moon". Utaona mambo mengi wapo wanao thibitisha ya kuwa tukio hilo ni kweli na wale wanao kadhibisha tukio hilo, ukipima katika mzani utaona ya luwa hawa wapili wana hoja zenye nguvu mno kuliko wengin, na hao wa kwanza wameanza kuja kuandika hayo hivi karibuni.
Narudi kuendelea hapa nilipoishia...
Sasa maswali niliyo yauliza unatakiwa uyajibu na unikosoe, siyo unapayuka, kupayuka kila mtu anaweza, shida inakuja kuthibitisha ukweli wa mnachokidai.Bro siyo kila mada lazima uchangie vitu km huvijii kausha ujifunze. mwaswali uliyouliza yanaonyesha una ufahamu mdogo kihasi gani juu ya Haya mambo
Kwa mtu anayefkiria kwa AKIRI wala sio nyiiiingi kawaida tu, sio wale mashabiki hata wasioelewa wanacho kishabikia, ataona hizi ni POLOJO muve kbs! Et na picha kabisa zinaonyesha chombo kiki take place ardh ya mars, kweli KILAHIS hivi!! kwanza hivi nani aliepiga picha? nazipigwe kwa umbali kidogo,ajabu! kuna mengi yakuhoji ntajichosha tu NADHALIA za kijinga kbs!
Hakuna Evidence za uhakika unashabikia nn! endelea kushabikia BroWewe hata kuandika hujui, halafu unataka kujitia hojaji wa uhalali wa hizi sayansi?
wether kuna uhai or not. is why wamekwenda kufanya majaribio.Huyo aliyeniambia kuwa kuna sayari nyingine huko.
SIO ALIEYEZITENGENEZA.
angalia udongo wa mars utasema kuna UHAI HUKO?View attachment 1712057View attachment 1712058
wether kuna uhai or not. is why wamekwenda kufanya majaribio.
science ni about research and proof.
kwenye somo la probability kaa wale waliosoma hesabu,if you toss a coin, kuna 50% itadondokea kichwa au mkia.Sijakataa.ila kuanzisha maisha mars NI KAMARI ambayo lazma waliwe.
Kwa hiyo unaona sio fair kwa NASA ambayo ni chombo cha serikali ya Marekani, kutokuzungumza kuwa Taifa (serikali) la Urusi ndio wa kwanza kufika Mars? Kichekesho.Mkuu watu wanacho sahau ni kwamba Taifa la Urusi ndio lilikuwa la kwanza kutuma chombo kwenye sayari ya MARS mwaka 1976 kikafanikiwa kutua na kutuma picha za rangi Duniani, hilo NASA hawalisemi kabisa - hawasemi chochote kuhusu mananikio ya chombo cha Urusi aina ya VENERA.
Miaka 45 baadae ndio wanajifanya ni mapioneer! Kweli Duniani kuna mambo.
Una TV nyumbani ?Swali la msingi mkuu, naona watakuwa wanarudia usanii wao wa ku-animate project nzima - yanarudia yale yale ya kutua mwezini!! Hollywood GURUS bado wapo sana.
kwenye somo la probability kaa wale waliosoma hesabu,if you toss a coin, kuna 50% itadondokea kichwa au mkia.
for now bado wako kwenye research somewhere.. peonability is wanaweza wafanikiwe au wasifanikiwe ,its down to how hizo tafitinzitatoa majibu gani.
sasa ww unakuja na conclusion moja kwa moja ,wkr hujawahi kufanya tafiti yoyote.