Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Sijazungumzia ukubwa WA sayari ya mars BALI mazingira yake NI magumu kuishi.
Hakuna hata Jani MOJA.
kwa hiyo udogo wa sayari ya mars unapima kwa hiyo picha?

so ulitegemea sayari yote ya mars ienee kwenye hiyo picha ndio uamini kuwa ni kubwa?
 
Walivyoenda mars walikuta hata JANI MOJA au mti mmoja!?.
Hivi unadhani Adam aliikuta dunia ikiwa jangwa?.
kuna maji chini ya surface ya mars ambayo yanaweza kushikilia oxygen ya kutosha kuweza kusaidia maisha kwa viumbe vilivyopo duniani.

Na mars sio kwamba hakuna oxygen kabisa bali ipo kwa kiwango kidogo kulinganisha na carbon dioxide iliyo tawala
 
Unaleta mzaha.
Hivi utaanza kubeba cement mifuko mingapi mpaka ukajenge nyumba mars?
huwa nakushangaa unapo criticize sayansi kwa kum refer mungu

kwani hayo material yaliyopo duniani hayawezi kuwa transfered somewhere else?

hiko kifaa kilicho land mars kimetumia vifaa kutoka sayari gani?

vile vile umesahau mars kuna vitu ambavyo duniani ambavyo havipo na ni worthily
 
BILA SHAKA.
ndo maana ni ngumu kukuta binadamu wengine katika sayari nyingine .
Mungu aliiumba dunia ikiwa na MATIRIO YOTE yanayotusaidia kuishi tofauti na sayari nyingine.
swali ni,
Are we alone?
Screenshot_20210226-184837.jpg
 
Sijazungumzia ukubwa WA sayari ya mars BALI mazingira yake NI magumu kuishi.
Hakuna hata Jani MOJA.
kumbuka kuna millions of galaxy katika hizo zilizotafitiwa ni mars pekee ambayo imeonekana kuwa na mfanano na dunia japo inakaupee flani wa kimazingira.

ishu ya mmea kuto kumea mars sio big issue katika ulimengu wa sayansi hii sio tatizo inawezekana hata kwa kufanya simulation udongo.
 
Walivyoenda mars walikuta hata JANI MOJA au mti mmoja!?.
Hivi unadhani Adam aliikuta dunia ikiwa jangwa?.
kwani adam alikuta marocket na highest roof?

adam alifanya sayansi gani ya kiteknolojia zaidi ya kudanga pale eden na mkewe?
 
Sababu dunia haitaendelea kuwepo milele na wala haitoweza kuwa inhabitable milele.

Wako wapi Dinosaurs?

Wanachofanya ni kugeuza human specie kuwa multi planetary.

Hivyo kama siku kukitokea threat ambapo itapelekea dunia kuwa uninhabitable. Means itabidi binadamu wafanye fast evacuation to another planet ili human specie kutobecome extinct kama dinosaurs.

Wao wanajaribu na kujitahidi kuona future kwa ajili ya future humans na sio kuwa selfish.

[emoji848][emoji848][emoji848] pahala panzur palipo andaliwa ni ap tulipo uko kwingine nikujifanya wanajuw zaid
 
Unaleta mzaha.
Hivi utaanza kubeba cement mifuko mingapi mpaka ukajenge nyumba mars?
cement ina tengenezwa kwa clay, limestone, sand and some rocks. kwa hiyo kama hivi vipo hakutakuwa na haja ya kubeba cement ya dangote kupeleka mars
 
Nilitaka kusema hivyo hivyo. hawa jamaa tangu waje na ile movie ya kumuua osama huku obama anaangalia live ndio mimechoka. wana msemo wao if you cannot make it fake it.

Apo nd utaelewa unatengenezewa movie [emoji23][emoji23][emoji23] hivi kwl kwa kawaida kwa usa kumua osama afu wasioneshe maiti yake kwa walivyo na sifa wale[emoji848][emoji848]
 
Sasa hizo siku zikifika Mimi hapa nilipo nafikaje huko kama tu hicho kifaa kimetumia Trillion 6 mimi mwenyew nafikaje na nitatumia kifaa gani[emoji27][emoji27] Maana kama Kupanda ndege ya 200k nimefeli hiyo Hela yao natolea wap[emoji27][emoji27][emoji27] Au kila mtu atakula urefu wa kamba yake[emoji27][emoji27]

Oya tutabaki zetu tanzania tyu[emoji23][emoji23]
 
Hakuna Evidence za uhakika unashabikia nn! endelea kushabikia Bro
Hawawajibiki kukupa "evidence" yoyote.

Who are you asking for evidence? Evidence?

Watu wako bize kuutawala ulimwengu from galaxy to galaxy, halafu unakuja mmatumbi mmoja weye unalilia upewe evidence?

Are you serious with your life? "BROOO"......
 
kumbuka kuna millions of galaxy katika hizo zilizotafitiwa ni mars pekee ambayo imeonekana kuwa na mfanano na dunia japo inakaupee flani wa kimazingira.

ishu ya mmea kuto kumea mars sio big issue katika ulimengu wa sayansi hii sio tatizo inawezekana hata kwa kufanya simulation udongo.
Huyo mnatumia nguvu nyingi sana kumjibu!

You are being over-intellectual unnecessarily.

Mtu mwenyewe anaitwa "mjinga-mimi", just to begin with!

Hastahili hata kujibiwa.

Watu wa sampuli hii unapaswa kwenda nao sambamba kijinga jinga hivyo hivyo!

Akiweka pumba, unatia mashudu yenye tindikali.
 
sasa hayo MATIRIO yapo huko?.
na labda unasahau kuwa cement inatengenezwa na MITAMBO
cement ina tengenezwa kwa clay, limestone, sand and some rocks. kwa hiyo kama hivi vipo hakutakuwa na haja ya kubeba cement ya dangote kupeleka mars
 
Point yangu ni kwamba.adam aliikuta dunia ikiwa tayari
Ikiwa na wanyama,mmea,bahari n.k
kwani adam alikuta marocket na highest roof?

adam alifanya sayansi gani ya kiteknolojia zaidi ya kudanga pale eden na mkewe?
 
Hawawajibiki kukupa "evidence" yoyote.

Who are you asking for evidence? Evidence?

Watu wako bize kuutawala ulimwengu from galaxy to galaxy, halafu unakuja mmatumbi mmoja weye unalilia upewe evidence?

Are you serious with your life? "BROOO"......

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mmatumbi anataka NASA wampe evidence kama kweli chombo chao kimefika MARS. Nimecheka mpaka mbavu zimeuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Akina Stephen Hawking wameonya sana kuwa binadamu inabidi akazane kutafuta na kutawala safari zingine ili siku kikinuka hapa duniani kwa kulengwa na li Asteroid likubwa, ma super volcano kuripuka au hata mwenyewe kujiangamiza kwa masilaha yake ya Nyuklia aliyojirundikia; awe na mahali pa kukimbilia ili asipotee kabisa. Angalau wenzetu wanahangaika. Sisi sasa! Ndo kwanza tunaomba evidence utafikiri tuna mchango wo wote katika tafiti zao. Tunaogopa kudanganywa [emoji1787][emoji1787]
 
sasa hayo MATIRIO yapo huko?.
na labda unasahau kuwa cement inatengenezwa na MITAMBO
hii mitambo unayoiona hapa kwani ilikuja na dunia watu waliikuta tayari imewekwa?

mars kuna madini ya chuma, magnesium, aluminum, calcium, and potassium nk. haya yote yanaweza kutumika kama uzazi ku produce vifaa vingine.

wana anga wamejikita kufanya utafiti kwenye vitu ambavyo vinapatikana katika sayari yetu

so far kuna vitu viko vingi ambavyo huku havipo ambavyo vikifanyiwa utafiti vinaweza vikawa na impact kubwa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Mmatumbi anataka NASA wampe evidence kama kweli chombo chao kimefika MARS. Nimecheka mpaka mbavu zimeuma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Akina Stephen Hawking wameonya sana kuwa binadamu inabidi akazane kutafuta na kutawala safari zingine ili siku kikinuka hapa duniani kwa kulengwa na li Asteroid likubwa, ma super volcano kuripuka au hata mwenyewe kujiangamiza kwa masilaha yake ya Nyuklia aliyojirundikia; awe na mahali pa kukimbilia ili asipotee kabisa. Angalau wenzetu wanahangaika. Sisi sasa! Ndo kwanza tunaomba evidence utafikiri tuna mchango wo wote katika tafiti zao. Tunaogopa kudanganywa [emoji1787][emoji1787]
Ameshavimbiwa mihogo yake ya jero, roho yake kwatu. Anafikiri mwisho wa dunia ni chato.

Leo hii nani angeweza kuamini kuwa lidege kubwa linaweza kuelea hewani kutoka Dar mpaka Los Angeles?

Ni ndoto. It is unthinkable — wengine walisema ni uchawi, mara sijui freemason.

Sayansi, maarifa. Hii ndio maana halisi ya KUUTIISHA na kuutawala ulimwengu.

Sasa hawa waswahili wasiojua hata kuandika, wanapata wapi ujasiri wa kuuthubutu kuhoji lolote?

Hawapaswi kuuliza chochote hawa.
 
Kuna vitu mi nashindwa kuviamini hasa inapotokea nguvu kubwa yakutaka niamini... sasa hiyo picha kaipiga nani aliyekua katangulia huko chombo kinapotua?
Kuna setelaiti na vyombo vilivyotangulia
 
Point yangu ni kwamba.adam aliikuta dunia ikiwa tayari
Ikiwa na wanyama,mmea,bahari n.k
katika hivyo vitu alivyovikuta adam ilikua ni pamoja na ma flyovers, rockets, nuclear?

watu tunaongelea ulimwengu wenye watu wabunifu ambao wanasafiri million miles kwa vyombo vya kisasa kufanya investigation katika sayari za mbali we unaleta upuuzi wa watu wa zamani waliokuwa wazembe kuzimaliza KM 600 kutoka misri kwenda israel iliwachukua miaka 40
 
MUNGU alishaweka kanuni ya uumbaji.

Mtaishi duniani na mtafukiwa ardhini.

Sayari ambayo haina maji wala MITI ni ngumu kwenda kuishi
Usi sahau tuliachwa tukiwa uchi mapangoni swala la muda kama mengine tu mkuu
 
Back
Top Bottom