Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Mimi nimeuliza swali inavyotakiwa na nilikua naelewa nacho kifanya ku twist kwako hoja yangu hakubatilishi target ya swali.

Pamoja na kwamba umebadilisha swali liwe katika mtindo ambao umeona itakupa urahisi kujibu lakini bado umeshindwa kulielewa swali.

Swali limeuliza ni umbali gani umefika kuielewa solar system kwa upana wake, halijasema umefika umbali gani kuikosoa solar system.
Sasa ni kiswahili gani kiwango za ujuzi kinapimwa kwa umbali ? Kijana swali lako halina mjengeko wa kimatamshi zaidi ya kubabatiza, na ndiyo maana nimelikosoa na nimejibu kama ulivyo uliza. Kama sijajibu kama ulivyo uliza onyesha ni wapi na kwanini ?

Aya ya mwisho inathibitisha wewe huna uwezo wa kujibu hoja zangu. Jibu langu ni sahihi, na sijakujibu kama ulivyo nukuu, bali nimekujibu nimefikia kiwango cha kuikosoa Solar System. Sasa soma vizuri ulichokiandika katika hiyo aya ya mwisho. Jibu nililo kupa ni sahihi kabisa.
 
Wewe huna hata idea na ndio maana huwezi kuhoji kwa facts maswala la kisayansi.
Tangu asubuhi mpaka muda huu hujaonyesha Usayansi unao uzungumzia hapa uko wapi ? Na maswali hujibu.
 
Basic tu ya form one inafafanua ni njia zipi zinazotumiwa kufanya obseravation kisayansi mpaka kufikia hitimisho.
Sasa kwanini umeshindwa kutumia njia hizo kukosoa hoja zangu na kutumia njia hizo hizo kuonyesha ukweli wa Solar System...?
 
Hili nimeshakujibu zaidi ya mara moja. Siyo kila jambo hasa lesamwalo la kisayansi kulikosoa linataka Sayansi, ni kuhoji na kutumia akili vizuri na kuangalia uhalisia, sababu msingi wa Sayansi ni DHANA.

Kijana shida yako unakimbia maswali na laiti kama ungekuwa unajibu maswali yangu, huu mjadala ungejuwa ushaisha.

Hakuna tafiti yoyote niliyo ifanya, wewe nitajie ni tafiti gani zimefanyika za kisayansi kuonyesha ya kuwa ni kweli kuna Solar System ?

Na uniambie ya kuwa kwanini unaamini ya kuwa Solar System ipo na ni kweli ?
umenionya kwa kuniambia wamepotosha, hujanionya kwa kunionesha sayansi imepotosha kwa kunipa research yako uliyoifanya mpaka ukajua kua wamepotosha.

kuonya kwa namna hiyo sio kazi hata mtoto au kichaa anaweza kupinga jambo kienyeji maana hakuhitaji taaluma wala ujuzi.

"Hakuna tafiti yoyote niliyo ifanya" kutokana na nukuu yako hiyo basi huja qualify hata kuijadili sayansi
 
Kwa kuhoji tu hilo swali kua ni njia gani walizotumia wanasayansi kufikia hitimisho kumeweza kukuonesha kwamba ni kiasi gani ni mweupe kichwani.
Nacheka,usichokijuaxni kuwa tatizo kubwa sana linalo ikumba Sayansi leo hii na litawasumbua sana tatizo hili, ni namna yao ya kufikia hitimisho juu ya jambo fulani, ndiyo maana leo wanasema hivi kesho wanasema vile ? Sasa mtu kama wewe mchanga juu ya mambo ya Sayansi hujaliona hili.
 
umenionya kwa kuniambia wamepotosha, hujanionya kwa kunionesha sayansi imepotosha kwa kunipa research yako uliyoifanya mpaka ukajua kua wamepotosha.

kuonya kwa namna hiyo sio kazi hata mtoto au kichaa anaweza kupinga jambo kienyeji maana hakuhitaji taaluma wala ujuzi.

"Hakuna tafiti yoyote niliyo ifanya" kutokana na nukuu yako hiyo basi huja qualify hata kuijadili sayansi
Nacheka sana, kijana hapa nasema hivi "Kama wewe ni upepo basi hapa umekutana na kimbunga".

Nimekuuliza hiv nitajie tafiti zilizofanyika kuthibitisha ya kuwa kuna Solar System, au jaribio la Kisayansi lolote linalo thibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Au naandika Kiarabu nini hapa ?

Sasa wewe umefanya tafiti gani mpaka unaamini ya kuwa kuna Solar System ? Je kila jambo linataka utafiti kujua ukweli wake ?

Hivi ushawahi kujiuliza kwanini tuna hoji ?

Unakumbuka niliwahi kukwambia ya kuwa mimi nina akili kumzidi Einstein, na nikakupa kazi ulete mambo matano ambayo ni ya kisayansi Einstein aliyoyafanya au kuyasema ambayo ni ya kweli, ukakimbia, sasa labda nitumie njia gani kukuonyesha ya kuwa huna uwezo wa kujibu hoja zangu ?
 
Mlikimbia shule mkaenda madrasa now mmeanza kutusumbua tuwafundishe kupitia jf kwenye ada ambayo baba yako aliona haina umuhimu.
Sasa mimi ambae nimeishia Madrasa nawakosoa mpaka wakubwa zako na maswali yangu hamuyajibu, nani bora ?

Sisi mbona tunawafundisha elimu ambazo hata wazazi wenu wasingeweza kuwalipia ada yake ila tunawapa bure tu.
 
Solar System ni nadharia inayosema ya kuwa jua lipo katikati na sayari nyingine zote zinalizunguka jua hilo.

Sasa wewe unae amini kama hiyo ni Sayansi ndiyo unithibitishie ya kuwa Solar System ni Sayansi.

Mpaka muda huu hujajibu swali langu hata moja.
Kama ni nadharia inayosema jua lipo katikati ya sayari na zinalizunguka jua hapo uwongo uko wapi?

Unaelewa ilitumika mechanism gani ku discover hiyo solar system? Nawe saizi unetumia scientific method gani kubaini uwongo?

Ni uwongo hakuna sayari zingine?

Jibu la swali lako lipo kwenye post ambayo umei quote nusu.
 
Kuuliza kama unajua ni tofauti na kuuliza ukiwa unajua. Unaweza ukauliza kama mtu unayejua lakini usijue, unaweza ukawa unauliza tu kwasababu ulisikia mtu fulani anauliza lakini ukawa mweupe kabisa na hicho kitu

Husomi kwa kuelewa kwamba point ya hoja yangu ilikua ni madhanio kwa kile ulichokiandika baada ya mimi kupata doubts kulingana na maoni yako nikataka kujihakikishia kama kweli unayaelewa haya maswala kwa kukuuliza swali kuhusu hayo madai ambayo umeyauliza as if unayajua.

Na kweli kwa kupitia swali langu nimeweza kujua kwamba hujui kitu. Leo hii mtu ambaye ana concept ya sayansi hata kidogo asingeweza kuhoji njia zinazotumika kutafiti vitu kisayansi mpaka kufikia hitimisho


Kwa mfano unaweza ukawa unaonesha kuijua solar system kwa kuisikia tu watu wakiijadili

Mtu wa kwanza nani?

Kaielezeaje hiyo solar system?
Maana yake unaijua Solar System kuliko muanzilishi wa nadharia hii ?

Kijana unajua kwanini hujibu maswali yangu ? Jibu sababu hujui.
 
Unaelewa ilitumika mechanism gani ku discover hiyo solar system? Nawe saizi unetumia scientific method gani kubaini uwongo
Hili unalo niuliza mimi nilikuuliza kitambo sana, kwamba uniambie ni njia gani ya Kisayansi au jaribio gani la kisayansi likifanyika kuthibitisha uwepo wa Solar System, lakini ona ulivyo muoga, umezunguka wee lakini umerudi pale nilipo simama mimi, sasa jihi swali.

Pia, siku nyingine tutakuja kuongelea tamko "Discover". Hapo ndipo utakapo jua ya kuwa Sayansi haipo kwa ajili ya kuvumbua wala kumpa mtu ukweli.
 
Ni uwongo hakuna sayari zingine?
Kwanini Pluto ilikuwa katika Sayari na sasa haipo ?

Uongo hakuna Solar System. Sababu jua linatembea, na kinachomoza Mashariki na linazama Magharibi.

Sayansi ya anga ni bahati nasibu.
 
Kama ni nadharia inayosema jua lipo katikati ya sayari na zinalizunguka jua hapo uwongo uko wapi?
Kwanza unakubali nilichokisema ni Solar System au siyo ? Kama unakubali kwanini unanipotezea muda kwa kukimbia maswali yangu ?
 
Nacheka sana, kijana hapa nasema hivi "Kama wewe ni upepo basi hapa umekutana na kimbunga".

Nimekuuliza hiv nitajie tafiti zilizofanyika kuthibitisha ya kuwa kuna Solar System, au jaribio la Kisayansi lolote linalo thibitisha ya kuwa Dunia inazunguka ? Au naandika Kiarabu nini hapa ?

Sasa wewe umefanya tafiti gani mpaka unaamini ya kuwa kuna Solar System ? Je kila jambo linataka utafiti kujua ukweli wake ?

Hivi ushawahi kujiuliza kwanini tuna hoji ?

Unakumbuka niliwahi kukwambia ya kuwa mimi nina akili kumzidi Einstein, na nikakupa kazi ulete mambo matano ambayo ni ya kisayansi Einstein aliyoyafanya au kuyasema ambayo ni ya kweli, ukakimbia, sasa labda nitumie njia gani kukuonyesha ya kuwa huna uwezo wa kujibu hoja zangu ?
Umeandika garbage sana labda tu nikuulize unakifahamu kifaa kinaitwa telescope?

Unaelewa matumizi yake?
 
Kwenye Solar System ukweli uko wapi ?
Solar system umeishia kuisoma definition pekee na ndio maana mambo mengi huyajui.

Unahoji ukweli wa solar system na kuipinga kwa ku refer definition yake what a joke?
 
Unaniuliza tena badala ya kusoma nilichokiandika ? Vijana mnakwama wapi ?
Ungekuwa mzee mwenye akili na busara zake usingeuliza hayo maswali.
Mjukuu akikuuliza mama yake alijuaje jina lake unamjibu aliambiwa na kunguru, halafu unamuuliza unamfahamu kunguru? Ndicho nilichokifanya kwako.
 
Back
Top Bottom