Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Ile ni bible ina tumika kutokana na mazingira. Mungu huwa anafindisha sometimez kutokana na tukio. Sasa kama walichapa maji ya bahari yakapoteana wangeshindwa kuvuka chap 2. 2rudi kweny topic huyu jmaa haelewi nini maan ya uchunguzi nd maan anachanganya mafile. Watu wamesema mars atleast kuna mazingira yanafanana na dunia wanafanya uchunguzi. Yeye kakazana sijui vitu gani sas kungekuwa sawa na dunia uchunguzi ungekuwa wa nn zaid ya kujikatia vitalo 2

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Wewe unaelewa maana ya uchunguzi?

Unaweza ukaleta uchunguzi wako hapa wenye kuonyesha watu walichapa maji yakapoteana?
 
Kwanini Pluto ilikuwa katika Sayari na sasa haipo ?

Uongo hakuna Solar System. Sababu jua linatembea, na kinachomoza Mashariki na linazama Magharibi.

Sayansi ya anga ni bahati nasibu.
Sas wewe hueleweki si ulishapewa sababu kwann pluto wanaitoa kama sayari. We jmaa elewa sayansi ni mchango wa binadamu mbali mbali sio kama Mungu anavocontrol dunia peke ake? Yeye aliruhusu binadamu tutegemeane na tuevolve. Wana sayansi wako open minded sio kam wewe nd maan hata chemistry ya olevel 2 ulikutana na dalton theory na morden theory ya atoms. Eti we unaita aibu. Aliekuambia sayansi iko kushindana na Mungu nani? Kwanza wenzio hata Mungu hawamuamini kabisa wengne wamefocus n michongo yao. Ko unadhani wote wanaofanya kazi NASA dini hawaijui kabisa?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Kauli yangu ya mwanzo.
Ni mwamba tuliikuta dunia ikiwa na MATIRIO YOTE yanayotusaidia kuishi tofauti na sayari nyingine.
Kwa Hali hyo ni ngumu kusema watakwenda kuishi mars.
Wangeikuta na MITI ,majani, oxygen.bahari na maji na mito ,maziwa, n.k wala nisingekuwa na Shaka
Kwani dubai ya leo yote iliumbwa na Mungu? Mungu unaemsema katuumba kwa mfano wake. Nn maan ya mfano wa ki2? Sifa kuu ya Mungu ni uumbaji. Je mfano hauwezi fanya jpo kidogo ya hayo. Mungu hajaumba ndege. Mungu hajaumba gari. Mungu hajaumba mbwa wa kisasa kuku wa kisasa miti ya kisasa soda internet. Ila kaamuumba mwanadamu kwa mfano wake aweze kuumba kwa nafasi yake. Nd wanchokifanya hao jmaa hapo wanafuata maagizo. Kuexplore sio dhambi maan hata akina mtume paulo walikuwa mamster wa kuexplore.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Screenshot_20210224-074852.jpg
 
Huyo mwandishi wa kitabu hajaonesha vivid proof ya madai kaishia kuweka claims bila testable evidence.
Lincoln Barnett amekuja karne ya 20, na kuhitimisha jambo hilo. Kauli yake iko sahihi sababu sababu huwezi kujua kama dunia inatembea wakati huihisi ukiwa maabara kama alivyofanya Leon Foucault, huu ujinga mnauamini nyinyi msio hoji. Lakini vile vile unachodai wewe ndiyo umekifanya hapa, unatuleletea habari za Foucault Pendulum bila kututhibitishia ukweli wa jambo hilo na vipi hiyo Pendulum inafanya kazi.

Mimi nakupa kazi wewe, ututhibitishie ya kuwa ni kweli Foucault Pendulum ina detects rotation ya Earth, na utuambie kwanini kuna Assumptions nyingi katika hiyo Pendulum, na utuambie kwanini kipimo hicho kisingefanywa katika "Space" hali ya kuwa hapa duniani hatu hisi mwendo wa dunia, hapa ndipo unatona ya kuwa hitimisho la Barnett ni sahihi kwamba hakuna jaribio lililo wahi kufanyika kuonyesha kweli dunia ina zunguka.
Anasema hakuna jaribio lilofanyika kuthibitisha dunia inazunguka, Haya madai nayaita ya uwongo kwasababu ukisoma Foucault pendulum inakueleza hadi namna ya kupima
Kweli hakuna na Foucault Pendulum si jaribio bali ni ukanjanja wa maabara kwenda kupima mwendo wa dunia, bora kidogo Albert Michelson alijaribu kufanya majaribio mwaka 1881 na mwaka 1887 kwa kutumia "Speed of two light beams against one another" akathibisha ya kuwa "The Earth wasn't moving". Kisha mjinga mmoja akaja na shabiki wa Corpenicus akakataa kwa ujinga na ushabiki.

Kwa faida sababu nimeona wewe huna unachojua wala hufatilii na uhoji, soma makala ya Paul E. Wylie aliyoipa jina la "The paradox of Foucault Pendulum" uone ukanjanja wa Leon Foucault. Huu ujinga hata mtoto wa kidato cha pili kama atahoji kwa umakini ataona hizi ni cjai tu.
The most direct observational evidence for Earth's orbital motion is the apparent shift of nearby stars after six months, as the Earth moves from one side of its orbit to the other. Because of the large distance to even the nearest start, this parallax shift is too small to been seen without a telescope.
Hizi pia ni dhana nyingine,ambazo zinahitaji ithibati.
Najua uliko okoteza hivi vi conspiracy ni kwenye site za kiislam ambazo zinataka kuipinga sayansi kwa kutaka kuinyanyua kuran ni wajinga pekee ndio watakubali huu uzushi
Hii pia si hoja bali na malalamiko na madai yasiyo kuwa na shaka ndani yake, nitakuuliza swali je Barnett hajasema hivyo au kitabu cha Barnett hakipo ?

Pili, Qur'aan habari nyingine, hii ikisema jambo ujue ni kweli wala halihitaji jaribio.
 
Kama hakuna vigezo nakuwekea tena hapa
Fanya observation, Form hypothesis or testable explanation, Make a prediction based on the hypothesis, Test the prediction, Iterate: use the results to make new hypotheses or predictions.

Swali lako lolote litalokuwa nje ya hivyo vigezo litaenda kwenye list ya maswali ambayo yanapuuzwa kutokana na ukosefu wa scientific factual hivyo yanapuuzwa tu
Hapa nakuona wewe huelewi unachokijadili, sasa kwanini ulishindwa kutukia hivi vigezo kama vina nguvu kukosoa hoja zangu, lakini pia hivi umeshindwa kutumia vigezo hivi kujua Foucault Pendulum ni mzaha na kujifurahisha ?
 
Sas wewe hueleweki si ulishapewa sababu kwann pluto wanaitoa kama sayari. We jmaa elewa sayansi ni mchango wa binadamu mbali mbali sio kama Mungu anavocontrol dunia peke ake? Yeye aliruhusu binadamu tutegemeane na tuevolve. Wana sayansi wako open minded sio kam wewe nd maan hata chemistry ya olevel 2 ulikutana na dalton theory na morden theory ya atoms. Eti we unaita aibu. Aliekuambia sayansi iko kushindana na Mungu nani? Kwanza wenzio hata Mungu hawamuamini kabisa wengne wamefocus n michongo yao. Ko unadhani wote wanaofanya kazi NASA dini hawaijui kabisa?

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Hili nimelijibu, uwe unasoma nachokiandika.
 
Sasa mkuu unaleta quaran Na hadithi Ku argue kama watu wamefika mars au laa??


Una argue kama mtoto ( sijui umri wako)

Jamaa Scars amekuwa mstaarabu sana kuenda nawewe Ila naona anapoyeza mda wake tu.

Wewe hufundishiki aidha una akili ndogo sana au unajitoa akili makusudj ili ukere Na kuwapotezea watu muda wao.


Jamaa amekwambia toa your scientific arguments kwanza wewe umebaki Na porojo tu huna hujualo lakini unalazimisha kama una utalaamu vile?
Nimemashangaa sana huyu Scars anapambana kuandika maelezo kibaoo kumuelekeza mtu ambaye amegemeza hoja zake kwenye ngano za Kidini.

Watu wanaongelea scientific facts yeye anatupigia stori za mambo ya kusadikika.
 
Hapa nakuona wewe huelewi unachokijadili, sasa kwanini ulishindwa kutukia hivi vigezo kama vina nguvu kukosoa hoja zangu, lakini pia hivi umeshindwa kutumia vigezo hivi kujua Foucault Pendulum ni mzaha na kujifurahisha ?
ili uweze kukosolewa kwa kupatiwa majibu lazima hoja yako iwe ime qualify kwa kufata misingi hiyo.

Wakosoaji wa apollo hawakusema moon landing was fake bila kua na data, walikua na hoja zilizopitia hiyo misingi ( though hawakua sahihi) na ndio maana hoja zao zilikua zinaushawishi

mfano waving of american flag on the moon mpaka hapa wakosoaji walikua na data za mwezini na maarifa ya kisayansi kua mwezini hakuna upepo hivyo picha ya NASA iliyoonesha bendera kupepea ni tukio la kutungwa. Na ndio maana NASA walijitokeza kuijibu hoja hii kwasababu ina mashiko kwa kila mtu ambaye anaijua sayansi anaweza kushawishika

Critics wangesema tu tukio la watu kwenda mwezini ni la kutungwa bila kua na facts NASA wasingehangaika na watu hao, na mimi siwezi nikaangaika na wewe
 
Kwanini Pluto ilikuwa katika Sayari na sasa haipo ?

Uongo hakuna Solar System. Sababu jua linatembea, na kinachomoza Mashariki na linazama Magharibi.

Sayansi ya anga ni bahati nasibu.
haipo au ipo Ila imekosa sifa ya kuendelea kuitwa sayari!?
 
Sababu dunia haitaendelea kuwepo milele na wala haitoweza kuwa inhabitable milele.

Wako wapi Dinosaurs?

Wanachofanya ni kugeuza human specie kuwa multi planetary.

Hivyo kama siku kukitokea threat ambapo itapelekea dunia kuwa uninhabitable. Means itabidi binadamu wafanye fast evacuation to another planet ili human specie kutobecome extinct kama dinosaurs.

Wao wanajaribu na kujitahidi kuona future kwa ajili ya future humans na sio kuwa selfish.
Umenena vizuri

Mingine huku vijijini inaloga usiku + mchana
 
Lincoln Barnett amekuja karne ya 20, na kuhitimisha jambo hilo. Kauli yake iko sahihi sababu sababu huwezi kujua kama dunia inatembea wakati huihisi ukiwa maabara kama alivyofanya Leon Foucault, huu ujinga mnauamini nyinyi msio hoji. Lakini vile vile unachodai wewe ndiyo umekifanya hapa, unatuleletea habari za Foucault Pendulum bila kututhibitishia ukweli wa jambo hilo na vipi hiyo Pendulum inafanya kazi.

Mimi nakupa kazi wewe, ututhibitishie ya kuwa ni kweli Foucault Pendulum ina detects rotation ya Earth, na utuambie kwanini kuna Assumptions nyingi katika hiyo Pendulum, na utuambie kwanini kipimo hicho kisingefanywa katika "Space" hali ya kuwa hapa duniani hatu hisi mwendo wa dunia, hapa ndipo unatona ya kuwa hitimisho la Barnett ni sahihi kwamba hakuna jaribio lililo wahi kufanyika kuonyesha kweli dunia ina zunguka.

Kweli hakuna na Foucault Pendulum si jaribio bali ni ukanjanja wa maabara kwenda kupima mwendo wa dunia, bora kidogo Albert Michelson alijaribu kufanya majaribio mwaka 1881 na mwaka 1887 kwa kutumia "Speed of two light beams against one another" akathibisha ya kuwa "The Earth wasn't moving". Kisha mjinga mmoja akaja na shabiki wa Corpenicus akakataa kwa ujinga na ushabiki.

Kwa faida sababu nimeona wewe huna unachojua wala hufatilii na uhoji, soma makala ya Paul E. Wylie aliyoipa jina la "The paradox of Foucault Pendulum" uone ukanjanja wa Leon Foucault. Huu ujinga hata mtoto wa kidato cha pili kama atahoji kwa umakini ataona hizi ni cjai tu.

Hizi pia ni dhana nyingine,ambazo zinahitaji ithibati.

Hii pia si hoja bali na malalamiko na madai yasiyo kuwa na shaka ndani yake, nitakuuliza swali je Barnett hajasema hivyo au kitabu cha Barnett hakipo ?

Pili, Qur'aan habari nyingine, hii ikisema jambo ujue ni kweli wala halihitaji jaribio.
hapo mwishoni umeharibu, Quraan ndio imesema mwanaume ukienda peponi unapewa wanawake bikra 12 na wewe unaamini!!!?
 
Lincoln Barnett amekuja karne ya 20, na kuhitimisha jambo hilo.
kahitimishaje?

unaelewa mpaka unafika hitimisho unatakiwa stage gani uwe umezipita?
Kauli yake iko sahihi
kwa evidence gani?
sababu sababu huwezi kujua kama dunia inatembea wakati huihisi ukiwa maabara kama alivyofanya Leon Foucault
how can you feel the motion while you on the same constant speed with it?
huu ujinga mnauamini nyinyi msio hoji. Lakini vile vile unachodai wewe ndiyo umekifanya hapa, unatuleletea habari za Foucault Pendulum bila kututhibitishia ukweli wa jambo hilo na vipi hiyo Pendulum inafanya kazi.
nimekuletea Foucault Pendulum uisome ndani yake kuna maelezo yanayokueleza namna inavyo fanya kazi
Mimi nakupa kazi wewe, ututhibitishie ya kuwa ni kweli Foucault Pendulum ina detects rotation ya Earth
kwanza umeisoma Foucault Pendulum vizuri na kuielewa?
na utuambie kwanini kuna Assumptions nyingi katika hiyo Pendulum, na utuambie kwanini kipimo hicho kisingefanywa katika "Space" hali ya kuwa hapa duniani hatu hisi mwendo wa dunia, hapa ndipo unatona ya kuwa hitimisho la Barnett ni sahihi kwamba hakuna jaribio lililo wahi kufanyika kuonyesha kweli dunia ina zunguka.
ukiona unajadiliana na mtu anaye shangaa kuona assumptions kwenye scientific research sometimes unakuta unakosa hata stimu ya kujadiliana naye
Kweli hakuna na Foucault Pendulum si jaribio bali ni ukanjanja wa maabara kwenda kupima mwendo wa dunia
unao uthibitisho wa haya madai au umelopoka nikupuuze?
bora kidogo Albert Michelson alijaribu kufanya majaribio mwaka 1881 na mwaka 1887 kwa kutumia "Speed of two light beams against one another" akathibisha ya kuwa "The Earth wasn't moving". Kisha mjinga mmoja akaja na shabiki wa Corpenicus akakataa kwa ujinga na ushabiki.
Kwa faida sababu nimeona wewe huna unachojua wala hufatilii na uhoji, soma makala ya Paul E. Wylie aliyoipa jina la "The paradox of Foucault Pendulum" uone ukanjanja wa Leon Foucault. Huu ujinga hata mtoto wa kidato cha pili kama atahoji kwa umakini ataona hizi ni cjai tu.
flat earth society mko na tabu sana na conspiracy zenu, nipe ukanjanja wenye testable evidence unao disprove foucault pendolum. Hivi vi hoja unavyo okoteza kwenye sites za kiislamu kwa ajili ya ku battle na sayansi vitakuvueni nguo wewe pamoja na hao mashekh wako.
Hizi pia ni dhana nyingine,ambazo zinahitaji ithibati.
what the criteria of that shit called "ithibati"

how do you know ithibati was not included?
Hii pia si hoja bali na malalamiko na madai yasiyo kuwa na shaka ndani yake,
I can argue with vivid evidence on this. Hizo info ume copy kwenye blogs/pages za kiislamu bisha nikuumbue?
nitakuuliza swali je Barnett hajasema hivyo au kitabu cha Barnett hakipo ?
barnett kusema kwake haku disprove fact.

kwani wapi nimepinga kuhusu uwepo wa kitabu?

zinaangaliwa facts sio kitabu ambacho hata wewe kwa mihemko yako unaweza ukaandika



Pili, Qur'aan habari nyingine, hii ikisema jambo ujue ni kweli wala halihitaji jaribio.
garbage
 
Hiki chombo Perseverance Rover ndo kimepelekwa kikapige picha na kutuma duniani, sasa nani alikipiga picha wakati kinatua?
 
ili uweze kukosolewa kwa kupatiwa majibu lazima hoja yako iwe ime qualify kwa kufata misingi hiyo.

Wakosoaji wa apollo hawakusema moon landing was fake bila kua na data, walikua na hoja zilizopitia hiyo misingi ( though hawakua sahihi) na ndio maana hoja zao zilikua zinaushawishi

mfano waving of american flag on the moon mpaka hapa wakosoaji walikua na data za mwezini na maarifa ya kisayansi kua mwezini hakuna upepo hivyo picha ya NASA iliyoonesha bendera kupepea ni tukio la kutungwa. Na ndio maana NASA walijitokeza kuijibu hoja hii kwasababu ina mashiko kwa kila mtu ambaye anaijua sayansi anaweza kushawishika

Critics wangesema tu tukio la watu kwenda mwezini ni la kutungwa bila kua na facts NASA wasingehangaika na watu hao, na mimi siwezi nikaangaika na wewe
Hiki sasa nalirudia itakuwa mara ya nne sasa, nikikwambia hivi hututumii kosa kukosoa kosa. Bali tunatumia uhalisia kukosoa makosa na usahihi. Mtume hakuwa Mwanasayansi ila Qur'aan imesema na kuonyesha yakuwa dunia haizunguki na jua kinatembea, lei hii Wanasayansi wamekiri hilo, sasa unatakiwa ujiulize lipi la kufata na kipi la uhakika.


Sasa njia za Sayansi zinashida katika kufikia hitimisho na ndio maana leo wanasema hivi kesho wanasema vile ila Qur'aan na Hadithi ziko vile vile, hii ni kwa sababu zimetoka kwa muumbaji mwenye kujua kila kitu.

Kwahiyo sihitaji kutumia njia dhaifu kuukosoa udhaifu, bali natumia elimu sahihi na kuhoji kubatilisha Sayansi.

Sasa hili sitarajii tena kama utauliza au kurudia tena, nakukumbusha unatakiwa kujibu maswali nikiyo kuuliza.
 
haipo au ipo Ila imekosa sifa ya kuendelea kuitwa sayari!?
Msingi wa hoja yangu hapo niliwaonyesha ya kuwa Sayansi ni kubahatisha kulingana na mtazamo wa mtu husika anapoliendea jambo hilo, ndio maana katika njia za kisayansi kutafuta majibu ni kutengeneza wazo au tatizo. Maana yake wanayumba.
 
hapo mwishoni umeharibu, Quraan ndio imesema mwanaume ukienda peponi unapewa wanawake bikra 12 na wewe unaamini!!!?
Sahihisha kwanza hii idadi na haya marejeo ni aya gani ? Yaani ukiandika jambo hakikisha una uhakika nalo, nataka ujihukumu mwenyewe. Kisha nakuja nikujibu.

Pili, mpaka unakufa hakuna anae weza kuikosoa Qur'aan, wala hakunacakiyewahi kuweza.
 
Mission za Kwenye sayari ya Mars zimekuwa nyingi , lakini je ? Wanatuma vyombo kwenye Mars kwa sababu Mars inaweza kuwa na maisha au ni kwa sababu tu Mars ndio Sayari pekee inayofikika?

--- Tafiti zao wenyewe zinaonyeza Mars ina Atmosphere ndogo sana, takriban futi moja hivi ya Atmosphere.

--Hali ya hewa(Jotoridi na upepo) ya Mars sio ya kuSupport life.

--- Pressure katika Mars ni ndogo mno haisupport life.

--- Mionzi hatari katika Mars ndio nyumbani kwani hakuna Tabaka kama la Ozone la kuzuia mionzi.

Hawa NASA wanapambana kwenda huko sio kwasababu wameona potential ya Life, ni kwa vile tu Mars ndio Sayari ambayo Angalau inafikika kuliko sayari zingine, huko kwingine wanakusikia tu kwenye Telescopes.
 
  • Thanks
Reactions: Tlg
kahitimishaje?

unaelewa mpaka unafika hitimisho unatakiwa stage gani uwe umezipita?
Naona umeishiwa hoja unauliza ujinga. Kile ulichodai kwamba ni dai la Barnett bila ithibati, ni nini ? Usiwe unapoteza muda.

Ina maana hujui hata unacho nukuu kwenye hoja na kujidai umejibu hoja ?
kwa evidence gani?
Kwa ushahidi wa uhalisia ambao tunaona kabisa hatu feel kuzunguka kwa dunia hata ukiwa katika space. Bali tunaona kila siku jua linatembea, au wewe huoni kama jua linachomoza Mashariki na kuzama Magharibi ?

Kadhalika, naweza kutumia ushahidi wa Albert Michelson ambaye alikuja kuthibitisha hilo baadae sana baada ya Leon aliyekuwa anaruka ruka maabara mwaka 1851 na Pendulum yake.
how can you feel the motion while you on the same constant speed with it?
Ukiwa katika gari yenye constant speed una feel motion hu feel ? Kijana nitakupiga makofi.

Pili mfano na swali lako haliingii katika rotation ya Earth sababu kwanza unatakiwa ututhibitishie pasi na shaka juu mwendo wa dunia na wewe mwendo wako ulipo na usawa wake.

Kijana labda nikuulize kuna assumptions kibao katika Foucault Pendulum ? Kwanini pendulum lazima uirelease na kuicha imove clockwise ? Au reference lazima iwe ni North pole ?
 
Back
Top Bottom