Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,414
- 2,181
Na habari za Africa, media ipi inaziremba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine wana uhalifu gani? Hivi wafia dini mbona mnapendavkulalamikaKila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu
Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana
Wanainanga Russia, Parestina, Libya, North Korea nk
Lakini katu wanawasifu wahalifu kama Ukraine, Rwanda, Israel nk
Kwa Sasa angalau kidogo DW
Ukraine walihalifu nini?Kila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu
Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana
Wanainanga Russia, Parestina, Libya, North Korea nk
Lakini katu wanawasifu wahalifu kama Ukraine, Rwanda, Israel nk
Kwa Sasa angalau kidogo DW
Wafia dini kwa unafiki bwana mnapenda media ziisifie urusi kwa kuivamia ukraine mnapenda media ziwasifie hamas kwa kuua, kuwabaka, kuwateka wayahudi october 7 na media zilaani na kuiponda israel inapojitetea dhidi ya magaidi wenu wanatumia mwamvuli wa kidiniKila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu
Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana
Wanainanga Russia, Parestina, Libya, North Korea nk
Lakini katu wanawasifu wahalifu kama Ukraine, Rwanda, Israel nk
Kwa Sasa angalau kidogo DW
Ukraine wanauhalifu gani?
Hata watoto ni Hamas?Wewe mkuu una lako jambo, unataka Urusi asifiwe kwa kuvamia? Palestine hakuna anayehangaika nayo wanaotafutwa ni Hamas ni kama kule Afghanistan waliokuwa wanaotafutwa ni Al qaida.
Urusi alichokozwa wapi wakati yeye ndio mchokozi aliyeanza kuwasaidia waasi kujitenga ukraine baadaye kaivamia ukraine anawaua waukraine pasipo hatia mnapata faida gani kutetea unafiki wa putin?Yan Russia akichokozwa akatoa kichapo ni dhambi
Ila hao Nyoro Nyoro Ukraine wakivamia Russia ni Mashujaa
Tuwe serious kidogo
RTKila nikisikiliza media kubwa zilizoaminika kwasasa ni kama TBC tu
Iwe BBC Swahili, VOA, CNN au Al Jazeera zote ni ovyo tu zinatoka habari za kuendelea na za uongo na uzushi sana
Wanainanga Russia, Parestina, Libya, North Korea nk
Lakini katu wanawasifu wahalifu kama Ukraine, Rwanda, Israel nk
Kwa Sasa angalau kidogo DW
Kwaiyo hao Maadui zake wamagharibi kutumia NATO kuweka pale Ukraine Mpakani sio uchoko, akae kimya aishije?Urusi alichokozwa wapi wakati yeye ndio mchokozi aliyeanza kuwasaidia waasi kujitenga ukraine baadaye kaivamia ukraine anawaua waukraine pasipo hatia mnapata faida gani kutetea unafiki wa putin?
Tupo serious.Yan Russia akichokozwa akatoa kichapo ni dhambi
Ila hao Nyoro Nyoro Ukraine wakivamia Russia ni Mashujaa
Tuwe serious kidogo