Chonde Chonde: kama huna akili usianzishe vita

Chonde Chonde: kama huna akili usianzishe vita

Rozela

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
845
Reaction score
2,235
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
 
Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.

Russia kabanwa mbavu huko mwenyewe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.

Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.

Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.

Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.

HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.
 
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
Uharo mtupu
 
Iran Hawa hapa na baba enu shoga kuu

🇺🇸 🇮🇷 Congressman Jeff Van Drew: 'One month ago, Iran launched a mothership near the U.S. East Coast, from where Iranian military drones have been entering U.S. airspace, including New Jersey, to monitor residences of the President & American military movements. These drones should be shot down. The U.S. military is on full alert regarding this.'

Can be related to this
Fox News

🚩 @ResistanceTrench
 
Tuna mbashia shoga kuu

🇺🇸🇮🇷| US lawmaker claims Iranian drones flying over New Jersey

🔸A US congressman has claimed that the mysterious drones that are currently flying over the skies of New Jersey are Iranian and that they originated from a ship docked on the East Coast of the United States.

🔸“Jeff Van Drew”, a representative of the state of New Jersey in the US House of Representatives, said in an
Tunambashia babaenu

interview with Fox News, citing confidential sources: “These drones could very well belong to Iran.”

🔸He stated that the US military is fully aware of the flights of these drones and said: “These drones should be shot down.” Jeff Drew did not provide any explanation as to where he got these claims from, only saying: “These are from high-level sources and I do not speak like that.”

🔸US media have previously reported the sighting of drones in the skies of New Jersey and parts of the northeastern United States.

@NEWWORLDORDYR
 
Mashariki yakati haiwezi kutulia kwa maell
Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.

Russia kabanwa mbavu huko kanywe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.

Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.

Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.

Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.

HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.

Mashariki ya kati haiwezi kutulia kwa maelezo hayo, hapo zaidi naona machafuko yasisyo na kikomo kuenea kila mahala na ugaidi kushika kasi tena.
 
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
True say. Iran aliapa ataiangamiza Israel wakati anaapa na kuwekeza kwa kiasi chote aliwekeza hakujuwa mwenzake anafuwatilia kwa akili kubwa sana ndio maana jamaa walichokiamua nikumalizana naye hata Syria hakutegemea walipo muona anaondoka Lebanon wakadhani mwamba kachoka kwa sasa kumbe jamaa anaenda kumalizia mission Syria kiukqeli hii vita imefungua macho watu wengi sana kiasi hata mrusi amefadhaishwa sana na mchina anawaxa mara mia kuanza vita. Usa kwa sasa anatawala dunia na maadui zake hawana chakumfanya
 
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
Waarabu na mihemko uwaambii kitu..
Acha wajifunze!
 
Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.

Russia kabanwa mbavu huko kanywe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.

Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.

Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.

Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.

HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.
Israel ni balaa
 
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
Hapo ukobazini wapo kama hawapo. Sasa hivi ayatollah akisia mtetemo anahisi siku yake imewadia
 
True say. Iran aliapa ataiangamiza Israel wakati anaapa na kuwekeza kwa kiasi chote aliwekeza hakujuwa mwenzake anafuwatilia kwa akili kubwa sana ndio maana jamaa walichokiamua nikumalizana naye hata Syria hakutegemea walipo muona anaondoka Lebanon wakadhani mwamba kachoka kwa sasa kumbe jamaa anaenda kumalizia mission Syria kiukqeli hii vita imefungua macho watu wengi sana kiasi hata mrusi amefadhaishwa sana na mchina anawaxa mara mia kuanza vita. Usa kwa sasa anatawala dunia na maadui zake hawana chakumfanya
Mpaka sasa mrussi na mchina hawawezi leta ujuha kwa US, ISRAEL na watu wao hawa watu akili nyingi
 
🇮🇷⚡️ Iran: IRGC Commander Major General Hossein Salami:

🔴Syria was the only country that refused to normalize relations with the Zionist enemy and served as a refuge for resistance and liberation movements.

🔴We were aware of the movements of militants and extremists in Syria over the past few months.

🔴We managed to identify potential attack fronts and informed the relevant military and political authorities in Syria, but there was no will for change or war.

🔴Iran's power has not declined; if it had, we would not have carried out the "True Promise 1 and 2" operations.

🔴Some expect the IRGC to fight in the battle instead of the Syrian army, but is it logical for us to fight in another country while that country's army stands idle?

🔴The paths to support the Resistance front are open and are not limited to Syria, and circumstances in Syria may change.

🚩 @ResistanceTrench
 
Kazi ya Ayatollah
 

Attachments

  • IMG_20241211_075536_043.jpg
    IMG_20241211_075536_043.jpg
    58 KB · Views: 5
True say. Iran aliapa ataiangamiza Israel wakati anaapa na kuwekeza kwa kiasi chote aliwekeza hakujuwa mwenzake anafuwatilia kwa akili kubwa sana ndio maana jamaa walichokiamua nikumalizana naye hata Syria hakutegemea walipo muona anaondoka Lebanon wakadhani mwamba kachoka kwa sasa kumbe jamaa anaenda kumalizia mission Syria kiukqeli hii vita imefungua macho watu wengi sana kiasi hata mrusi amefadhaishwa sana na mchina anawaxa mara mia kuanza vita. Usa kwa sasa anatawala dunia na maadui zake hawana chakumfanya
Kwahio kazi ndio imeishia hapo? Hili ni draft jomba kula hapa mi ntakula kule au kula zote hizi, nikianza kula tunakutana kingi. Kwahio usipumbazwe na kinachoendelea game muda wowote 90 hazijaisha
 
True say. Iran aliapa ataiangamiza Israel wakati anaapa na kuwekeza kwa kiasi chote aliwekeza hakujuwa mwenzake anafuwatilia kwa akili kubwa sana ndio maana jamaa walichokiamua nikumalizana naye hata Syria hakutegemea walipo muona anaondoka Lebanon wakadhani mwamba kachoka kwa sasa kumbe jamaa anaenda kumalizia mission Syria kiukqeli hii vita imefungua macho watu wengi sana kiasi hata mrusi amefadhaishwa sana na mchina anawaxa mara mia kuanza vita. Usa kwa sasa anatawala dunia na maadui zake hawana chakumfanya
Hahahaa, kuna watu wanapata aibu wanatamani JF ife leo maana mtu kama Ritz aliamini Iran ina nguvu kuliko USA.
 
Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.

Russia kabanwa mbavu huko kanywe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.

Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.

Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.

Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.

HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.
Yani hadi wamevua makobazi hawaelewi.
 
Back
Top Bottom