Chonde Chonde: kama huna akili usianzishe vita

Chonde Chonde: kama huna akili usianzishe vita

Mashariki yakati haiwezi kutulia kwa maell

Mashariki ya kati haiwezi kutulia kwa maelezo hayo, hapo zaidi naona machafuko yasisyo na kikomo kuenea kila mahala na ugaidi kushika kasi tena.
Hahaha Ugaidi ulikuwa unafadhiliwa na Iran na Russia, hao wakiacha kufadholi hakuna gaidi utalisikia.
Wasipotulia niite.

Sasa hivi wanapigwa wametulia tulii, pesa imekata, mfadhili kapatwa njaa ghafla.
 
Pamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.

Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.

Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.

WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
Post inakera iyo. Inahitaji moyo kuisoma
 
Hizi nyuzi zenu na uchambuzi wenu ni zero kabisa. Mlitaka Russia na Iran wapeleke majeshi yao kulinda Syria?

Kama jeshi la Assad halikuwa na molare kupigana na waasi wewe mgeni utafanya nini?

By the way waasi wameikabidhi Syria kwa Marekani, Israel na Uturuki

Mnafikiri waasi watakuwa watawala bora kuliko Assad?
 
Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.

Russia kabanwa mbavu huko mwenyewe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.

Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.

Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.

Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.

HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.
Kwa mbumbumbu asiyejua hizbullah ilianzishwaje basi ataongea hivo Nasrallah sio kiongozi wa kwanza mkuu alifia madarakani akiiongoza hizbullah kumbuka ni uvamivi wa mwaka 1982 wa israel ndani ya Lebanon wakafika hadi Beirut ndio ilianzisha Hizbullah sasa matukio kama ya syria yanauwezo mkubwa wa kuzalisha na kutengeneza kundi kubwa na lenye nguvu zaidi ya hizbullah mazingira na hali ya kijiografia na pia hali ya kisiasa inashawishi hivyo ni mara mia Assad statesman kuliko kuwekewa another hizbullah ndani ya syria kumbuka simba mwenda pole ndio mla nyama hata kwa serikali mpya ya syria ni lazima watawaconsult wairan lna warussi la sivyo hawatakuwa na muda mrefu sana madarakani.
 
Jawlan umewauza wasyria Kwa matamanio ya Dunia Yako. Watakutumia na utabaki fala TU siku watakutupa
Quran
2:120 - Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
 
Kwa mbumbumbu asiyejua hizbullah ilianzishwaje basi ataongea hivo Nasrallah sio kiongozi wa kwanza mkuu alifia madarakani akiiongoza hizbullah kumbuka ni uvamivi wa mwaka 1982 wa israel ndani ya Lebanon wakafika hadi Beirut ndio ilianzisha Hizbullah sasa matukio kama ya syria yanauwezo mkubwa wa kuzalisha na kutengeneza kundi kubwa na lenye nguvu zaidi ya hizbullah mazingira na hali ya kijiografia na pia hali ya kisiasa inashawishi hivyo ni mara mia Assad statesman kuliko kuwekewa another hizbullah ndani ya syria kumbuka simba mwenda pole ndio mla nyama hata kwa serikali mpya ya syria ni lazima watawaconsult wairan lna warussi la sivyo hawatakuwa na muda mrefu sana madarakani.
Hahaha kama wanadhani wenzao huko ahera wanafaidi waache waunde vikundi vya kigaidi washughulikiwe, mimi sijali maana ni maamuzi yao. Na itakuwa maamuzi ya Israel kujilinda mpaka waache ujinga.

Iran hana ushawishi tena Syria, labda ungesema Russia.

Iran kesha tepeta han uwezo kuleta fujo tena, mara hii watamkata miguu yote akijitoa akili.

Kiburi alikuwa anakipata toka Russia, na Russia naye huko anaanza kukosa pumzi, hawezi kumsaidia Iran mpaka naye akae sawa, ama aondoke Ukraine au aendelee kuchoka.
 
Makobaz huwa hawana akili, bado watajiponza tu.
Yaani Kaafir awe na akili kuwazidi Watu wa Tauhidi?
Kwani ukisikia mwenye akili unaelewaje?

Maana hata MUUMBA kuna watu amewaita wenye akili,( Wenye Kufikiri) anawajua ni watu gani hao?
 
Hahaha kama wanadhani wenzao huko ahera wanafaidi waache waunde vikundi vya kigaidi washughulikiwe, mimi sijali maana ni maamuzi yao. Na itakuwa maamuzi ya Israel kujilinda mpaka waache ujinga.

Iran hana ushawishi tena Syria, labda ungesema Russia.

Iran kesha tepeta han uwezo kuleta fujo tena, mara hii watamkata miguu yote akijitoa akili.

Kiburi alikuwa anakipata toka Russia, na Russia naye huko anaanza kukosa pumzi, hawezi kumsaidia Iran mpaka naye akae sawa, ama aondoke Ukraine au aendelee kuchoka.
Hahaha geostrategic decision. Remember usa invaded iraq na kumuangusha Saddam ,remember israel invaded Lebanon 1982 mpaka Beirut ila leo hii hali ikoje .
 
Hahaha geostrategic decision. Remember usa invaded iraq na kumuangusha Saddam ,remember israel invaded Lebanon 1982 mpaka Beirut ila leo hii hali ikoje .
Tuwaache msije tu kusema, wanauwa wanawake na watoto. Kumbuka UVCC na UWT wote ni CCM.
 
Back
Top Bottom