Ambivert88
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 3,609
- 6,388
Hakuna anaepanda mlima kwa kuutazama tu.Makobazi ni lazima siku zote azidiwe akili na wazungu, kwa mfano Iran...hata hiyo Teknelojia kdg anayojivunia leo ya kijeshi yote kapewa na hao hao wazungu!.
Huwezi kuvuka bahari kwa kutazama tu maji.Yani hadi wamevua makobazi hawaelewi.
Hahaha Ugaidi ulikuwa unafadhiliwa na Iran na Russia, hao wakiacha kufadholi hakuna gaidi utalisikia.Mashariki yakati haiwezi kutulia kwa maell
Mashariki ya kati haiwezi kutulia kwa maelezo hayo, hapo zaidi naona machafuko yasisyo na kikomo kuenea kila mahala na ugaidi kushika kasi tena.
Wasipo tulia Ayatolla atakuwa jirani wa Asad huko Russia soon.Mashariki yakati haiwezi kutulia kwa maell
Mashariki ya kati haiwezi kutulia kwa maelezo hayo, hapo zaidi naona machafuko yasisyo na kikomo kuenea kila mahala na ugaidi kushika kasi tena.
Post inakera iyo. Inahitaji moyo kuisomaPamoja na mifumo ya ulinzi waliyokuwa wanaitegemea Iran kupigwa na Askari WAKIKE wa Israel na kuharibiwa mpaka Iran wameogopa kujibu shambulizi, haikuieshia hapo.
Njia aliyokuwa anaitegemea Iran ya kupitisha silaha kuingiza nchini kwake imesha fungwa na mashambulizi yanayoendelezwa na Israel pale Syria si ya bahati mbaya.
Akiwa anahutubia kiongozi wa Iran leo ameonekana mnyonge sana, kwa wana saikolojia ukimwangalia anaonesha ana wasiwasi na hajiamini wala kujua mustakabali wake pale ukobazini.
WITO: USIMCHOKOZE ALIYE KUZIDI AKILI NA MAARIFA. UTAKUFA KIFO KIBAYA. ONA SASA JAMAA AMESHAANZA KUPATA STIMU ZA KUZIMU ILA HAJAJUA WATAMLIPUA KWA UKUNGU KAMA RAIS WAO AU ATAPIGWA KOMBORA KAMA WENGINE.
Ayatollah Anamihemiko na jazba, kitendo cha kufadhili makundi ya ugaidiHapo ukobazini wapo kama hawapo. Sasa hivi ayatollah akisia mtetemo anahisi siku yake imewadia
Dawa yake inachemkaAyatollah Anamihemiko na jazba, kitendo cha kufadhili makundi ya ugaidi
Kwa mbumbumbu asiyejua hizbullah ilianzishwaje basi ataongea hivo Nasrallah sio kiongozi wa kwanza mkuu alifia madarakani akiiongoza hizbullah kumbuka ni uvamivi wa mwaka 1982 wa israel ndani ya Lebanon wakafika hadi Beirut ndio ilianzisha Hizbullah sasa matukio kama ya syria yanauwezo mkubwa wa kuzalisha na kutengeneza kundi kubwa na lenye nguvu zaidi ya hizbullah mazingira na hali ya kijiografia na pia hali ya kisiasa inashawishi hivyo ni mara mia Assad statesman kuliko kuwekewa another hizbullah ndani ya syria kumbuka simba mwenda pole ndio mla nyama hata kwa serikali mpya ya syria ni lazima watawaconsult wairan lna warussi la sivyo hawatakuwa na muda mrefu sana madarakani.Hahahah zile propaganda zao hata wenyewe hawaziamini tena.
Russia kabanwa mbavu huko mwenyewe alikuwa anawapa kiburi Syria na Iran, Sasa hivi hutowasikia IRAN kwa muda mrefu sana, wameona kilichotokea Syria, licha ya Russia kuweka kambi Syria lakini Israel kawachanganyia hesabu wakajichanganya sasa Syria imerudi kwa wananchi.
Hayatolla sasa hivi hata ndani mwake hapaamini, analala uvunguni mwa kitanda, kawa mpoole.
Sasa KURDISH watalianzisha Uturuki mpaka Endorgan naye aache kiburi chake, kisha Middle East pata tulia.
Osama alikufa na Al Qaeda yake, nadhani Nasralla naye atachukua Hezbollah yake.
HAMAS wamekuwa mdebwedo kweli siku hizi hata bunduki hazi watii tena, wanafyatua risasi hazitoki.
Yani nimecheka sana hapa eti ukobazinimustakabali wake pale ukobazini.
Maajabu! Yaani Ayatollah kumiliki makundi ni jazba ila USA, Israel kuwa na makundi ndio ustaarabAyatollah Anamihemiko na jazba, kitendo cha kufadhili makundi ya ugaidi
Allah jitu la mguu mmoja sio wa kumwamini. Yeye anayeahidi watu mito ya ulevi, na mabikra 72 huko ahera ni upuuzi mtupu.Watafanywa vibaya sana, bora wakubali tu kuwa allah si chochote.
Hahaha kama wanadhani wenzao huko ahera wanafaidi waache waunde vikundi vya kigaidi washughulikiwe, mimi sijali maana ni maamuzi yao. Na itakuwa maamuzi ya Israel kujilinda mpaka waache ujinga.Kwa mbumbumbu asiyejua hizbullah ilianzishwaje basi ataongea hivo Nasrallah sio kiongozi wa kwanza mkuu alifia madarakani akiiongoza hizbullah kumbuka ni uvamivi wa mwaka 1982 wa israel ndani ya Lebanon wakafika hadi Beirut ndio ilianzisha Hizbullah sasa matukio kama ya syria yanauwezo mkubwa wa kuzalisha na kutengeneza kundi kubwa na lenye nguvu zaidi ya hizbullah mazingira na hali ya kijiografia na pia hali ya kisiasa inashawishi hivyo ni mara mia Assad statesman kuliko kuwekewa another hizbullah ndani ya syria kumbuka simba mwenda pole ndio mla nyama hata kwa serikali mpya ya syria ni lazima watawaconsult wairan lna warussi la sivyo hawatakuwa na muda mrefu sana madarakani.
Yaani Kaafir awe na akili kuwazidi Watu wa Tauhidi?Makobaz huwa hawana akili, bado watajiponza tu.
Hahaha geostrategic decision. Remember usa invaded iraq na kumuangusha Saddam ,remember israel invaded Lebanon 1982 mpaka Beirut ila leo hii hali ikoje .Hahaha kama wanadhani wenzao huko ahera wanafaidi waache waunde vikundi vya kigaidi washughulikiwe, mimi sijali maana ni maamuzi yao. Na itakuwa maamuzi ya Israel kujilinda mpaka waache ujinga.
Iran hana ushawishi tena Syria, labda ungesema Russia.
Iran kesha tepeta han uwezo kuleta fujo tena, mara hii watamkata miguu yote akijitoa akili.
Kiburi alikuwa anakipata toka Russia, na Russia naye huko anaanza kukosa pumzi, hawezi kumsaidia Iran mpaka naye akae sawa, ama aondoke Ukraine au aendelee kuchoka.
Tuwaache msije tu kusema, wanauwa wanawake na watoto. Kumbuka UVCC na UWT wote ni CCM.Hahaha geostrategic decision. Remember usa invaded iraq na kumuangusha Saddam ,remember israel invaded Lebanon 1982 mpaka Beirut ila leo hii hali ikoje .