#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Natamani wakuelewe lakini yamefichwa usoni pao wasione
Tuendelee kumwomba Mungu wapate kufunguliwa
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Natamani wakuelewe lakini yamefichwa usoni pao wasione
Tuendelee kumwomba Mungu wapate kufunguliwa
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Tanzania, Tanzania. “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
 
Mama aache maisha yaendelee.
Akianza kumtekenya huyu kirusi hapatatosha humu.
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Wewe ndio mpumbavu na mjinga.unaandika halafu unajijibu mwenyewe.Nyie ndio wale ambao hamtaki Mama Samia afanikiwe.Wataalam washakwambia Corona ipo na Daima na milele MOLA YUPO.Kama ni mkristo mmshaambiwa kanisani na kama Mwislamu washaambiwa misikitini.HUJUI CHOCHOTE.kwa taarifa yako na ya wapuuzi kama wewe ugonjwa upo na tunateketea ila Hayati Magufuli alikuwa hataki watu mahospitalini waambiwe wana corona.Yakamgeukia mwenyewe,kwa kuwa kuna uhuru awamu hii ya 6 kamwulize Makamu wa Rais atakupa jibu.Sehemu zote takatifu za waislamu na wakristo zimeathirika na ugonjwa huu.Ina maana ukiumwa biblia inakuponya?Mjinga wee.
 
Mungu tunaomba uendelee kutulinda watz na nchi yetu Tanzania, amen🙏!
Tanzania, Tanzania. “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
Yet
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Mkuu hongera kuwa na akili ya mbinguni. Wasiokuwa rohoni hawatakuelewa kamwe!
 
Wewe ndio mpumbavu na mjinga.unaandika halafu unajijibu mwenyewe.Nyie ndio wale ambao hamtaki Mama Samia afanikiwe.Wataalam washakwambia Corona ipo na Daima na milele MOLA YUPO.Kama ni mkristo mmshaambiwa kanisani na kama Mwislamu washaambiwa misikitini.HUJUI CHOCHOTE.kwa taarifa yako na ya wapuuzi kama wewe ugonjwa upo na tunateketea ila Hayati Magufuli alikuwa hataki watu mahospitalini waambiwe wana corona.Yakamgeukia mwenyewe,kwa kuwa kuna uhuru awamu hii ya 6 kamwulize Makamu wa Rais atakupa jibu.Sehemu zote takatifu za waislamu na wakristo zimeathirika na ugonjwa huu.Ina maana ukiumwa biblia inakuponya?Mjinga wee.
Unaposikia Kwamba shetani naye ana watu wake usiwe mbishi wewe ni mmojawapo, kwanza Lugha uliyitumia, jinsi ulivyochangia na jisi Uzi ulivyo ni tofauti

Ila sikushangai Kwa kuwa na wewe upo ili utimize kusudi, endelea mkuu
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Kuwa rohoni, siyo kufukia kichwa kwenye mchanga kama mbuni! Corona haitakuwepo kwa sababu ya kutangazwa ipo, na wala haitaondoka kwa kusema haipo!
Kuwa mcha Mungu au kuwa na imani siyo kukataa uhalisia wa mambo! Hata waombaji, kama wanaomba kwa imani ya Biblia, wanapaswa kulijua tatizo kwa mapana na marefu yake, ndo maana kuna Mtu ameandika kwenye Biblia kwamba; ‘Nitaomba kwa roho, lakini nitaomba kwa akili pia’! Kwa hivyo basi; imani yako kuhusu corona na jinsi ya kui-handle, ni potofu!
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Sisi tuendelee kutimiza wajibu wetu na siyo kumhusisha au kumlinganisha Mungu na chochote. Dhambi ilishaingia duniani na mshahara wa dhambi ni mauti. Habari ya kusema Mungu atashughulika hata yale ya sisi kutumia akili alizotupatia ni kumjaribu Mungu. Yale yaliyo ndani ya akili na uwezo wetu tuyafanye na yale yaliyo juu ya uwezo wetu Mungu atafanya ila sharti tuwe wasafi kiroho na kimwili. Usafi wa kimwili ndio hizi barakoa, sanitizer, n.k. Usafi wa kiroho ndio kuacha dhambi. Unajuaje pengine chanjo ndio mlango wa kutokea kwenye tatizo? Mbona dawa za ukoma, polio, ndui, surua, n.k tunakunywa na kuchanjwa? Kama ni habari ya kifo hayo ni mambo mengine ambayo hutokea kwa kiumbe chochote kilicho hai.
 
Ngoja waiendekeza Corona, itarudi na itaua wengi zaidi, hivi ukitangaza takwimu kila siku ndio Corona inaondoka au kuleta taharuki tu ?
Utataharuki wewe? Bila takwimu tutashughulikiaje tatizo? kama corona ipo ipo tu hata ukificha ipo tu. Sasa hivi hakuna taharuki yoyote. Wagonjwa wa corona tunaishi nao na tunawatunza kama wagonjwa wengine wowote tu. La msingi ni kujikinga kisayansi na siyo ndumba za kisukuma.
 
Hii nchi ina mambo mengi jamani,hiyo korona tuipuuze tu kama alivyoipuuza yule shujaa yetu aliyekufa kwa matatizo ya umeme wakati gesi iko tele pale kinyerezi
 
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
Tatizo watu wanalifanya kila jambo ni mahubiri. Wewe unayehubiri endelea na kazi yako ilimradi huvunji sheria lakini ukitaka sote tufuate yako tutakwama. Wahubiri wengine hawataki kuongezewa damu ya mtu mwingine, sasa unataka sisi wote tufuate hilo? wengine hawataki dawa za hospitali, je, unataka wote tuamini hilo? wewe kama hutaki chanjo hakuna wa kukushurutisha lakini usitukatalie wengine kuchanjwa.
 
Back
Top Bottom