#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

Tatizo watu wanalifanya kila jambo ni mahubiri. Wewe unayehubiri endelea na kazi yako ilimradi huvunji sheria lakini ukitaka sote tufuate yako tutakwama. Wahubiri wengine hawataki kuongezewa damu ya mtu mwingine, sasa unataka sisi wote tufuate hilo? wengine hawataki dawa za hospitali, je, unataka wote tuamini hilo? wewe kama hutaki chanjo hakuna wa kukushurutisha lakini usitukatalie wengine kuchanjwa.
Kama unaamini katika chanjo, basi chanjwa! Lkn Kuna somo zuri pia huko Shelisheli!
IMG-20210518-WA0023.jpg
 
Jiwe alikuwa akisema na kukiri kwa kinywa chake kila alipozungumza kwamba sisi ni matajiri lakini hatujawahi kuacha kuomba misaada kipindi chake chote. Msaada mwingine alipewa na Wachina Chato.
 
Mama anafuata sayansi kuongoza nchi na ndicho kinachotakiwa. Kama tungekuwa tunahitaji askofu au imamu kuongoza nchi tungewapa madaraka hao.
Tuombeni Mungu,kuna maeneo mama anatetereka,hasa kwenye hili la Covid 19.
 
Ukiwaza tangu corona iingie nchini, na ukipita mtaa wa Congo pale kkoo, unajiuliza mengi sana,nilijiuliza baada ya report mama akisema ule msongamano uondoke nani atamuelewa labda atumie jeshi na mabomuya machozi.....MUNGU aendelee tu kutubariki
 
Tanzania, Tanzania. “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
Sio kila kitu wataalam mkubwa, basi mm mbobezi wa Saikolojia naomba unipe mkeo nikamshauri akupende zaidi, nie namba zake>
 
Tanzania, Tanzania. “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
Walokile banaaaa

Sometimes mnaboaa
 
Kweli aisee, eti serikali ikiri kuna Corona, sasa barakoa umevaa ya nini? Maana yake anataka wanataka kupanikishanwatu na kuipa nguvu chanjo yao, hawa madalali wa shetani watatumaliza jamani
 
Ngoja waiendekeza Corona, itarudi na itaua wengi zaidi, hivi ukitangaza takwimu kila siku ndio Corona inaondoka au kuleta taharuki tu ?
Ndio hapo sasa, kuna wakati huwa natamani hata kuwatukana matusi ya nguoni, lakini ndio viongozi wetu hao, siwezi fanya hivyo
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
Lini linaachiwa tujiandae
 
Ngoja waiendekeza Corona, itarudi na itaua wengi zaidi, hivi ukitangaza takwimu kila siku ndio Corona inaondoka au kuleta taharuki tu ?
Halafu ni mapendelezo ya maprofesa na madaktari! What a shame!! Hivi wa o wanaona tumeathirika kwa sa babu hatukuwa tunapima kila siku? Barakoa zenyewe wameanza kuzivaa siku ya kutoa taarifa yao. Barakoa zao hazikuwa zinafanya kazi ya kuwakinga na corona bali kuficha nyuso zao kwa kuona haya! Baada ya kukabidhi ripoti bila shaka na barakoa walivua!! Wataalamu wetu si riziki!
 
Tanzania, Tanzania. “Laiti ungelijua leo hii mambo yaletayo amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako. Maana siku zaja ambapo adui zako watakuzungushia maboma, watakuzingira na kukusonga pande zote. Watakupondaponda wewe pamoja na watoto wako ndani ya kuta zako; hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu hukuutambua wakati Mungu alipokujia kukuokoa.”
Mungu utusamehe! Maana tunakupokonya utukufu wako ulioufunua kwa kutuponya na corona na tunageukia miungu - barakoa na chanjo (barakoa na chanjo zikipewa kipaumbele mbele ya Mungu zinageuka kua miungu), ili baadaye waseme tuliokolewa na chanjo na barakoa!!
 
Lini linaachiwa tujiandae
Ikitamkwa rasmi na Rais au taarifa rasmi ya ikulu kuwa Tanzania kuna corona hapo mlango utafunguka kwa corona kuingia na kupata nguvu!! Kwa sasa hata ikiwepo haina nguvu kwa sababu kuna kiongozi mkuu wa nchi alimwamini Mungu na kukiri uponyaji wa Mungu MPAKA PUMZI YAKE YA MWISHO!! Kwa UKIRI huo na maombi ya watakatifu Mungu aliturehemu!
 
Taa
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
Taaluma gani inamwongoza mtu kutokuvaa barakoa muda wote ila siku ya kutoa ripoti ndio wanafunika pua zao kwa barakoa, halafu baada ya hapo wanazitoa!! Si tunawafahamu kila siku! Hawavaagi barakoa wala familia zao!
 
Ninaomba nieleweke. Ushauri wa kwanza kabisa wa kamati ya corona ni kwamba SERIKALI ITANGAZE UWEPO WA CORONA. Kwa maneno mengine serikali IKIRI (kwa kinywa chake) uwepo wa corona! Anayeshauri hivyo tayari amevaa barakoa! Hivi tukimwuliza ni kwa nini amevaa barakoa atasemaje?

Kwa nini inatakiwa serikali ikiri kwa kinywa cha RAIS au kwa TAMKO rasmi la serikali kutoka IKULU kuwa Tanzania kuna corona? Ni kwa sababu kinywa cha Rais ni mlango wa kufungulia vitu au kuvifungia vitu katika ulimwengu wa roho visiingie au visiingie katika Taifa lolote lile. Acha yeyote yule aseme (kama ambavyo wameshasema sana) kuhusu corona nchini kwetu lakini bado maadamu Rais aliyepita alishaKIRI hadharani kuwa Mungu ametuponya na corona, tangu wakati huo roho ya mauti nyuma ya corona haina NGUVU kabisa ya kulivamia Taifa letu. Hiyo ndiyo SIRI kwa nini kama Taifa tuko salama sana.

Shetani na mawakala wake wanajua hivyo na wanatafuta kwa nguvu zote mlango wa kuingia Tanzania. Chonde chonde Mama USITAMKE HILO wala kutoa WARAKA RASMI wa KUKIRI UWEPO wa corona Tanzania. Acha wengine wote waseme (kama ambavyo wamesema sana), lakini wewe ENDELEA KUKIRI UPONYAJI NA ULINZI WA MUNGU kwa Taifa letu bila kuyumbishwa na hali yoyote inavyoonekana wala kuyumbishwa na maneno ya yeyote yule ndani na nje ya nchi.

Kwa kufanya hivyo utaiokoa Tanzania uliyopewa na MUNGU uiongoze. Anayetaka kujilinda na corona na afanye hivyo kwa namna yoyote atakayoona ni vema. Kinywa cha RAIS kiendelee KUKIRI uponyaji na ulinzi wa Ki-Mungu dhidi ya corona. Hapo corona HAITAKUWA NA NGUVU nchini mwetu KABISA. Pendekezo la kwanza LISITEKELEZWE. Kwa sababu siku likitekelezwa, nguvu za giza nyuma ya corona zitaivamia nchi yetu na kuwasha moto wa corona ambao HAUWEZI KUZIMWA kwa LOCKDOWN, BARAKOA wala CHANJO.

Hizo nchi zinazoteseka kwa corona zimefanya hayo yote yanayopendekezwa kwetu na hayajawasaidia! INDIA wanatengeneza barakoa na chanjo na wameweka lockdown ya nguvu lakini corona bado inawatesa. Tofauti ya Tanzania na mataifa mengine yote ni kwamba sisi TULIMTANGULIZA MUNGU MBELE na tahadhali zingine zikafuata nyuma. Wao walitanguliza tahadhali na Mungu hakupewa nafasi ya kwanza! Tanzania tukifanya makosa tutakuwa wageni wa nani? BIBLIA inasema KIFO na MAUTI ziko katika uwezo wa ulimi.

Watanzania tumwombee SANA Rais wetu, VITA vyake ni vikubwa mno. Tusipomwombea, tusije tukamlaumu, maana bila Mungu kumsaidia hataweza. Walio wa rohoni wamenielewa vizuri sana. Tuendelee kuiombea nchi yetu na kumwombea Rais wetu kwa moyo wote.
 
Back
Top Bottom