#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

Kama unaamini katika chanjo, basi chanjwa! Lkn Kuna somo zuri pia huko Shelisheli!
 
Jiwe alikuwa akisema na kukiri kwa kinywa chake kila alipozungumza kwamba sisi ni matajiri lakini hatujawahi kuacha kuomba misaada kipindi chake chote. Msaada mwingine alipewa na Wachina Chato.
 
Mama anafuata sayansi kuongoza nchi na ndicho kinachotakiwa. Kama tungekuwa tunahitaji askofu au imamu kuongoza nchi tungewapa madaraka hao.
Tuombeni Mungu,kuna maeneo mama anatetereka,hasa kwenye hili la Covid 19.
 
Ukiwaza tangu corona iingie nchini, na ukipita mtaa wa Congo pale kkoo, unajiuliza mengi sana,nilijiuliza baada ya report mama akisema ule msongamano uondoke nani atamuelewa labda atumie jeshi na mabomuya machozi.....MUNGU aendelee tu kutubariki
 
Sio kila kitu wataalam mkubwa, basi mm mbobezi wa Saikolojia naomba unipe mkeo nikamshauri akupende zaidi, nie namba zake>
 
Walokile banaaaa

Sometimes mnaboaa
 
Kweli aisee, eti serikali ikiri kuna Corona, sasa barakoa umevaa ya nini? Maana yake anataka wanataka kupanikishanwatu na kuipa nguvu chanjo yao, hawa madalali wa shetani watatumaliza jamani
 
Ngoja waiendekeza Corona, itarudi na itaua wengi zaidi, hivi ukitangaza takwimu kila siku ndio Corona inaondoka au kuleta taharuki tu ?
Ndio hapo sasa, kuna wakati huwa natamani hata kuwatukana matusi ya nguoni, lakini ndio viongozi wetu hao, siwezi fanya hivyo
 
Lini linaachiwa tujiandae
 
Ngoja waiendekeza Corona, itarudi na itaua wengi zaidi, hivi ukitangaza takwimu kila siku ndio Corona inaondoka au kuleta taharuki tu ?
Halafu ni mapendelezo ya maprofesa na madaktari! What a shame!! Hivi wa o wanaona tumeathirika kwa sa babu hatukuwa tunapima kila siku? Barakoa zenyewe wameanza kuzivaa siku ya kutoa taarifa yao. Barakoa zao hazikuwa zinafanya kazi ya kuwakinga na corona bali kuficha nyuso zao kwa kuona haya! Baada ya kukabidhi ripoti bila shaka na barakoa walivua!! Wataalamu wetu si riziki!
 
Mungu utusamehe! Maana tunakupokonya utukufu wako ulioufunua kwa kutuponya na corona na tunageukia miungu - barakoa na chanjo (barakoa na chanjo zikipewa kipaumbele mbele ya Mungu zinageuka kua miungu), ili baadaye waseme tuliokolewa na chanjo na barakoa!!
 
Lini linaachiwa tujiandae
Ikitamkwa rasmi na Rais au taarifa rasmi ya ikulu kuwa Tanzania kuna corona hapo mlango utafunguka kwa corona kuingia na kupata nguvu!! Kwa sasa hata ikiwepo haina nguvu kwa sababu kuna kiongozi mkuu wa nchi alimwamini Mungu na kukiri uponyaji wa Mungu MPAKA PUMZI YAKE YA MWISHO!! Kwa UKIRI huo na maombi ya watakatifu Mungu aliturehemu!
 
Taa
Mkuu maneno yako mbona yako kitheori zaidi haliyakuwa uhalisia hauko hivi ni bora ukae kimya uwaachie wenye taaluma yao wafanye kazi ww kama ni mhubiri endelee na kazi yako hiyo
Taaluma gani inamwongoza mtu kutokuvaa barakoa muda wote ila siku ya kutoa ripoti ndio wanafunika pua zao kwa barakoa, halafu baada ya hapo wanazitoa!! Si tunawafahamu kila siku! Hawavaagi barakoa wala familia zao!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…