#COVID19 Chonde Chonde: Kwa jicho la kiroho unatafutwa mlango COVID-19 iingie na ipate nguvu

Hivi unadhani mswahili atasumbuliwa na mafua bana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜........kolona ipo ttoka kitambo na watu tinafanya mishe zetu๐Ÿบ๐Ÿป.......chanjo hio mipango ya kupiga pesa tu kama wwalivokatwa pesa za chakula wanafunzi wa vyuo mwaka jana๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Ž......wakileta chanjo iwe ya kulipia nyie waoga mtasubiri nyumbani waale wasoogopa wataenda!
Mimi naagiza๐Ÿป
 
Tanzania tuendelee kukuri uponyaji wa Mungu dhidi ya corona katika nchi yetu!! Aliyeko upande wetu (Mungu) ni mkuu kuliko aliyeko upande wa corona (Ibilisi).
Ibilisi na mawakala wake hawataiweza Tanzania!! Tulishamshukuru Mungu tayari kuwa alituponya na corona na ndivyo ilivuo. Kwa kipigwa kwake tumeponywa!!
 
Kuna tahadhari nyingine za muhimu, lakini ukijifanya kufukia kichwa kwenye mchanga, โ€œkwa imaniโ€, kama mbuni, utaenda mbinguni kwenu! Ambayo ni imani yako pia!
 
Unadhani India au Italia au Brazil hawana Mungu?
 
Tulitahadharisha mlango wa corona usifunguliwe kwa kukiri kuwa Tanzania kuna corona. K wa huzuni kubwa mwenye dhamana ya mlango wa nchi yetu kwa maana ya mkuu wa nchi aliitangazia dunia kuwa Tanzania kuna corona na kuwa Tanzania siyo kisiwa!! Kwa kukiri huko corona ilifunguliwa mlango kuingia tena Tanzania! Nj huzuni!! Nilisema jkiri huo ukifanyika ni suala la muda tu corona itashambjliwa na haitazuiwa kwa lockdown, barakoa wala chanjo! Wenye hivyo vitu havijawasaidia, na havitatusaidia sisi!!
Tutapona tu kama tutabatilisha ukiri wetu! Mkuu wa nchi aitishe maombi ya toba ya kitaifa, atubu kuwa alikosea kukiri uwepo wa corona maana Mungu alikuwa ametuponya! Tumwombe tena Mungu atuponye na corona. Kisha tukiri kuwa Mungu ametusamehe na tumshukuru kwa kutuponya tena na corona! Kisha tuitangazie dunia kuwa corona haipo Tanzania maana Mungu ametuponya tena! Tukifanya hivyo ni suala la muda tu kila mtu atashangaa corona imetowekea wapi! Vinginevyo kamaTaifa tutakuwa tumeshindwa vita ya corona, Itabaki kila mtu kupigana binafsi kutegemea na jinsi anavyomwamini Mungu!! Wengine watashinda kibinasfi na wengine wengi sana watashindwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ