Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuulize swali, Mbowe akisema hakuna cha uchaguzi wala rafiki yake na uchaguzi, Lisu atafanya niniFisiem mshajua lissu atampasua vibaya saana so mnaanza choko choko tena
Usimwamini mtu, Isipokuwa YESU tu! Lisu ni binadamu ana mapungufu mengi. Amewajaza upepo na kweli mkafutukaKwa haiba na kaliba ya Lisu, kamwe hawezi kumpiga mtu risasi. The most likely btn the two is Mbowe.
Hoja ya kitoto kabisa Chadema ni ya wanachama na si kampuni binafsi ya Mbowe. Mnamtukuza sana huyu Mbowe na mwisho wenu sasa umefika,unabana pua kabisa eti Mbowe akisema hakuna uchaguzi Lissu atafanya nini,seriously unaamini katika huu ujinga?Nikuulize swali, Mbowe akisema hakuna cha uchaguzi wala rafiki yake na uchaguzi, Lisu atafanya nini
Uadui unautangaza wewe lakini Mbowe na Lissu hawakukutana barabarani huu ni upepo wa uchaguzi tu,nyie chawa ndiyo mnaleta uadui,wacheni ushamba huo kuna maisha ndani ya Chadema baada ya uchaguzi.LISU AMESHAKUWA ADUI WA MBOWE, ADUI MKUBWA KUWAHI KUTOKEA, MSITHUBUTU KULETA MDAHALO KATI YAO. MBOWE USIKUBALI UJINGA HUU WA MDAHALO Erythrocyte
Sawa kisemeo cha m.kiti ila sisi wanachama ndio tunataka mdahalo.Kama hapo kwenu licha ya kuogopa mdahalo mnaogopa hata ushindani iweje uwafundishe Chademq nini wafanye nini wasifanye na kwa manufaa ya nani?Ni ushauri tu kwamba tusubiri Debe 21 January ila hayo mambo ya Mdahalo achaneni nayo kabisa
Mdahalo unaweza kuwa na afya kwenu Wagombea kama watu binafsi Lakini hauna Afya kabisa Kwa Chadema kama chama
Ahsanteni sana 😄
Athari za kuhodhi madaraka muda mrefu ndio hizo....unajiona wewe ndiye pekee mwenye uwezo wa kuongoza.Ukifanyika mdahalo huyo Fisadi wenu ataaibika sana maana madudu yake yote yatawekwa wazi na atashindwa namna ya kujibu. Aisee huyu mzee nimetokea kumchukia sana, anakubali vipi kukiua chama alichokijenga miaka 33?
Mbaya zaidi kuna chawa from within hiyo ndio mbaya zaidi.Uadui unautangaza wewe lakini Mbowe na Lissu hawakukutana barabarani huu ni upepo wa uchaguzi tu,nyie chawa ndiyo mnaleta uadui,wacheni ushamba huo kuna maisha ndani ya Chadema baada ya uchaguzi.
Kwani chama ni chagadema tu. Ana mwachia sultan na kikoba chake. Anaenda kwengine. Walitoka wengi pale kabla hatuja jua usultan wa mwamba ila now tumejua so akitoka mtu kama Lissu tuna kisahauNikuulize swali, Mbowe akisema hakuna cha uchaguzi wala rafiki yake na uchaguzi, Lisu atafanya nini
JENGA CHAKOUkifanyika mdahalo huyo Fisadi wenu ataaibika sana maana madudu yake yote yatawekwa wazi na atashindwa namna ya kujibu. Aisee huyu mzee nimetokea kumchukia sana, anakubali vipi kukiua chama alichokijenga miaka 33?
Kwani nani analipa kodi za ofisi, posho na gharama za mikutano huku mashinani zaidi ya sisi wabangaizaji? Au hujui chadema ni msingi ni 100% funded na wanachama maskini. Unadhani Mbowe anaweza kulipa kodi za ofisi zote nchini?JENGA CHAKO
Hajatoka!Kwani chama ni chagadema tu. Ana mwachia sultan na kikoba chake. Anaenda kwengine. Walitoka wengi pale kabla hatuja jua usultan wa mwamba ila now tumejua so akitoka mtu kama Lissu tuna kisahau
Ilikua kabla mkuuHajatoka!