Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Sasa huyu Dr Faustine Ndugulile alivyokuwa anashupalia shingo kwamba makampuni ya simu yapunguze bei hadi sijui Tsh 9 ndio wamepunguza hapo? Ndio maana watu walisema serikali itapandisha bei kwa ajili ya watu wanatumia sana Whatsapp hivyo hawapigi simu za nje za kawaida na hivyo serkali inapoteza zaidi ya bilioni 20,haya ndio matokeo yake wameamua kuzirudisha kwa kuongeza gharama za MB.
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Ndugulile nadhani alifanya hayo wakati wa awamu ya 5,naona anataka kusaidiwa na tisiara ei yake
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Kibosho1 nimeona miss call ya mke wako amekupigia mara 2 lkn upokei
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Na bado..

Hello, to continue providing you with quality services, we shall review our bundles on 02/04/2021. Continue enjoy exciting offers from Super Network. T&C Apply.
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Screenshoot fanya ufute kuna namba ya shemeji hapo asije kusumbuliwa.
 
Mimi alichonishangaza ni kuweka bei elekezi ya chini wakati kwa mtazamo wangu hasa kwenye ushindani wa biashara Serikali ingestahili kuweka bei elekezi ya juu (Kikomo)
Ila Bei ya chini inayaachia mashirika yashindane...
Sasa kama yote yatakuwa na bei sawa na mtandao wa uhakika (simu na internet) ambapo ndio jukumu la msingi la mtoa huduma wa mawasiliano; kulikuwa na haja gani ya kusajili makampuni mengi ambayo hayashindani?
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Makabwela bana. Yani iyo mnaona nyingiiiii. Ndo hivyo tena mlipangiwa kuwa na hali ngumu pindi tu mlipozaliwa.
 
Huko tunapo elekea serikali itaingilia mpaka mahusiano yetu ya mapenzi. Si kwa kiherehere hichi cha kujihusisha na kila kitu, na hayajifunzi haya majitu wala hayapati akili.

Yaliingilia korosho yakaharibu soko, yakaingilia dengu na kunde na kwenyewe yakaharibu soko. Sasa yameingia kwenye mitandao ya simu.
 
Kwani watanzania tumeikosea Nini hii serikali? Kura wanaomba kwetu Ila wakishachaguliwa wanaeafaidisha MABEBERU. Ndugulile, VodaCom ndio mjumbe aliye kuchagua au ndie kakupigia Kura?
Tutaonana 2025
 
Back
Top Bottom