Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahic kesho aseeNaona Airtel kwenye ofa maalum bado hawajabadilisha,sijui mpaka kesho
Hii haijabadilika naona
Sasa huyu Dr Faustine Ndugulile alivyokuwa anashupalia shingo kwamba makampuni ya simu yapunguze bei hadi sijui Tsh 9 ndio wamepunguza hapo? Ndio maana watu walisema serikali itapandisha bei kwa ajili ya watu wanatumia sana Whatsapp hivyo hawapigi simu za nje za kawaida na hivyo serkali inapoteza zaidi ya bilioni 20,haya ndio matokeo yake wameamua kuzirudisha kwa kuongeza gharama za MB.View attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Ndugulile nadhani alifanya hayo wakati wa awamu ya 5,naona anataka kusaidiwa na tisiara ei yakeView attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Kibosho1 nimeona miss call ya mke wako amekupigia mara 2 lkn upokeiView attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Nina bando langu la mwezi, ila nikichungulia kwenye menu duuh naanza kujiona mwanauchumi wa bando la Internet ghaflaBila shaka anataka kusaidiwa hii wizara inamshinda sasa
Na bado..View attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Screenshoot fanya ufute kuna namba ya shemeji hapo asije kusumbuliwa.View attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Karibuni freebasics, huku kuna:
1. BBC
2. JAMII FORUMS
3. DW
N.K
Makabwela bana. Yani iyo mnaona nyingiiiii. Ndo hivyo tena mlipangiwa kuwa na hali ngumu pindi tu mlipozaliwa.View attachment 1740314
Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.
Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.
Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Dah mdau kaiweka namba hadharaniii...Mods mmsaidie kuifuta hiyo picha Ndugu yetuScreenshoot fanya ufute kuna namba ya shemeji hapo asije kusumbuliwa.
Katika Waziri wa kwanza kuvuruga ni huyu jamaa. Kwa kichwa chake chenye upara, hapa ndio kaweka unafuu kwa wananchi wanyonge.
Wewe unadhani nani anaweza kufanya uhuni kama huuKama ndie alieratibu huu mpango basi anapaswa kupewa za uso mapema sana, hili la kuingilia mitandao sio swala dogo