Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

Chonde chonde Mh. Faustine Ndugulile tunaomba uturudishe Misri tu,sio kwa kipigo hiki kwenye vifurushi

HAKUNA ANAYE KUJALI.
panbana na Hali YAKO.
Binafsi naona POA TU .
Bei za vifurushi ni kichomi haswa.
Kama bei elekezi wamepangiwa na Faustine kwa kushirikiana na tisiaraei basi wanaumiza watu wa hali ya chini
 
View attachment 1740314

Kama unafuu tuliotangaziwa ni huu bora niendelee kuibiwa tu.

Kabla ya mabadiliko nilikua nanunua kwa halotel tsh.3000 napata GB3, sms 3000 na dk 30 mitandao yote kwa sasa bei mpya ni hizii. Tuliotangaziwa kuwa bei ya gharama za simu zintapungua kwanzia Aprili yan MB 1 utanunu kwa sh 2 kutoka 264 bei ya awali.

Je hii ndio nafuu au ndio ghali?
Bora hata nyie wa halotel huku voda ni kisanga, hiyo elfu 3 huku ni mb 600 tena hapo natumia laini ya chuo!!!!!!
 
Huyu waziri ana maamuzi ya kiboya sijui kwanini kaachwa kwenye baraza
 
Hichi ni kimbunga kilichoachwa na jeypiem[emoji849][emoji849]hakika namba tunaisoma kama ilivyo
 
Mimi siwalaum serikali bali nailaumu mijitu iliyowarudisha hawa jamaa madarakani kwa mapenzi ya kuzaliwa na kuikuta kijani madarakani. bila kutafakari hali ya maisha na kutambua maana ya demokrasia,kupanga ni kuchagua wacha tuchapike wote pumbafu thana, walidhani wanatutetea wazee wa bando kumbe kile kikao cha muda mrefu ulikuwa ni mpango wa kuja kutukomoa,bora ya jana
 
Back
Top Bottom