chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
kama mnavofahamu hawa watu na vikundi vingine mwanazoni viliingia mijini kama dar na baada ya kushtukiwa naona wameamua kujikita mkoani kwa wasio na uelewa.
Hiki kikundi kinaingiza vijana kwa kuwadaganya kwa ada
ya laki sita na hakun kinachoeleweka na sasa imebaki vijana kutupiana lawama.
serikali na mkuu wa mkoa wa kahama na pamoja na jeshi la polisi fanyeni juu chini na wanatumia jengo la serikali na kukiwa na idara zote.
fanyeni uchunguzi kabla haya jawa mambo
Hiki kikundi kinaingiza vijana kwa kuwadaganya kwa ada
ya laki sita na hakun kinachoeleweka na sasa imebaki vijana kutupiana lawama.
serikali na mkuu wa mkoa wa kahama na pamoja na jeshi la polisi fanyeni juu chini na wanatumia jengo la serikali na kukiwa na idara zote.
fanyeni uchunguzi kabla haya jawa mambo