Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
😂 kuna binaadam hawapo sirias kabisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe no yake nimtumie ye mwenyew kwenye cm yake maan we umesema hata hela ya wese ya gari unakosa nahofia nawez kukutumia wew ukaibana, wanaume tuna upendo sana ebu tuma izo no chapu.Katika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
Aliemwambia azaliwe January nan?Katika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
Ni ufala kuomba msaada kwaajil ya besidei kwenye mtandao kama jamii forum we waombe marafiki zako wa karibu uluonao hujaona msizwa alivyofanya kwaajil ya harusi yake na esma? Hebu jiongoze uza hata gar umfurahishe mwanamke wakoKatika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Huna kazi ila unafanya birthday ya 500k + huna kazi una gari .Katika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
Katafute vibarua vya kupalilia Hukwo mashambaniKatika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
Kwani yeye shemeji keshakuchangia shilingi ngapi?Katika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
[emoji16][emoji16][emoji23] kuna binaadam hawapo sirias kabisa...
Huoni ni ufala zaidi mpaka kuelekea kwenye u... Kumpangia mtu maisha? Mwache aishi maisha yake. Kupanga ni kuchaguaNi ufala kuomba msaada kwaajil ya besidei kwenye mtandao kama jamii forum we waombe marafiki zako wa karibu uluonao hujaona msizwa alivyofanya kwaajil ya harusi yake na esma? Hebu jiongoze uza hata gar umfurahishe mwanamke wako
Mzeebaba zio lazima umtoe out banaa....we that day mpige show tuu ya kibabe kama commemoration ya siku yake ya kuzaliwa....yaani siku nzima wewe kuwa romantic sanaa kwa mama..achana na mambo za kuja kutuchangisha hapa....au kama vp weka gari rehani hiyo kama una ugwadu sana na mtonyo.Amka weweee.Katika shemeji zenu wavumilivu huyu ni mvumilivu sana. Mpaka naogopa na kumwonea huruma sababu ni mwanamke mzuri anayejielewa ila kanipenda mimi mtu wa hovyo kabisa.nisiyemfaa,mjinga,bwege na fala.
Hili jambo limenitesa sana moyo wangu.mdada ameshawahi nifumania mara 2 akanisamehe na kunambia nakosa nini kwake.nijitahidi kuachana na tabia mbaya ambazo hazitanisaidia kitu.
Sasa sina kazi muda flani. She is the one anayeniwekea mafuta kwenye gari na kuhakikisha tunasimamisha shughuli za kiuchumi.
Jumamosi shemeji yenu ana birthday. Mwenzenu sina hata 1000 mfukoni. Chonde chonde ndugu zanguni mnichangie nimtoe out shemeji yenu. Au hata nimnunulie zawadi.
Nawaombeni sana wana JF mnipige tough ktk hili sisi wanaume huwa tunabebana kuokoa jahazi.jahazi langu linazama. Nahuzunika birthday yangu she did a lot. Alitumia almost tsh 550,000 for me. Mimi nahitaj hata 100,000 tu.
Naahidi kuwa baada ya sherehe ntamwambia yote nliyoyafanya ni kwa hisani ya watu wa JF. Afahamu undugu si kufanana.ni kufaana nanyi mkinifaa kwa jua nami ntawafaa kwa mvua.
Maisha gan sasa ya kuomba omba?Huoni ni ufala zaidi mpaka kuelekea kwenye u... Kumpangia mtu maisha? Mwache aishi maisha yake. Kupanga ni kuchagua