Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

JPM ndiyo chanzo cha matatizo yote
Chanzo cha matatizo gani acha upepe, JPM yupo?

Kiongozi wa nchi anatakiwa kuonesha mamlaka ipo inafanya kazi na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi hata kama kashauriwa vinginevyo kwa maslahi ya nchi.
 
Sisi ni dona kantriii..!
Tupo uchumi wa kati na tunaelekea uchumi wa juu mawinguni.
Alisikika TAGA mmoja akinena.
🤣🤣🤣
109_20210706_190119.jpg
 
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.

Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.

Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Sisi tulishajiambia ni matajiri, natulishakubaliana kutembea kifua mberee, sasa tunawataka tuliowaita mabeberu wa nini tena? Na pia situliambiana hao wawatutakii mema? Kama wenyewe wametambua hayo na kwa hiari wameamua kuondoka tunawasiwasi gani? Au tuliyo kuwatunasema wapo tiliokuwa tunawadanganya kwakuwa tulijua hawajitambui?
 
Ni aibu sana nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi kusaidia nchi kubwa kama Tanzania eti vi nchi kama mkoa ndo vinasaidia Tanzania sasa UHURU ulikuwa na maana gani.

Wenzetu walishatoka kwenye kuwaza basic needs.
Achana na nadharia hatukuwahi kuwa nao sawa huo ndio ukweli. Usidhani hayo ma GDP yanasaidia maendeleo ya nchi
 
Kwahyo hutaki tena misaada?
Uko serious kweli wewe na nchi hii, maana hata budget inahitaji wahisani, wahisani kupungua kutoa hela ndio unaona mikodi imeongezeka kila mahali hadi tozo luku mafuta, na mnalia lia humu na kumwona Rais hafai.
Sasa ngoja wahisani waondoke wote muanze kutembea makalio wazi ka enzi za nyerere
Your economic well-being is a function of both your income and wealth. What applies to you as an individual applies to a nation as well.

We have to improve our economic well-being by ulitilising our available resources and talents. We must never depend entirety on foreigners for our prosperity.

They extended a helping hand in our effort to provide basic wants eg, water, sanitation,education, modern agricultural technics, rural and feeder roads, etc.

We must now move with speed with or without them. From entire European Community we receive €60 m. Annually, what a help? the rest is loans or grants.
 
Katika kuondoa ubalozi kuna mambo mengi yanadhirika
-uwekezaji na biashara
-utalii na usafirishaji
-mahusiano na ushirikiano
-misaada na ufadhiri.
Sasa tujiulize kwanini wameamua kutaka kuondoa ubalozi ina maana hayo mambo yote yamekosa mvuto au msukumo? Hiyo ni wake up call!!!, Tutakuja kustuka tumebaki na ubalozi wa China tu maana hata hawa mabalozi waliojitambulisha karibu watano balozi zao ziko kenya
 
Chanzo cha matatizo gani acha upepe, JPM yupo?

Kiongozi wa nchi anatakiwa kuonesha mamlaka ipo inafanya kazi na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi hata kama kashauriwa vinginevyo kwa maslahi ya nchi.

JPM yupo? mkuu umesahau kama alikufa nini?
 
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.

Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.

Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Mwisho wa tawala kandamizi duniani kote ni kutengwa kimataifa kisha kuanguka kwake. Hii ni kanuni ya kihistoria,and we are not exceptional.

Tatizo lilianzia kwa Meko na sasa huyu mrithi kwa ujinga wake wa copy and paste anaendeleza, hakuna nchi makini inaweza kushirikiana na tawala kandamizi.
 
Tuendelee kula mchuzi wa mtori nyama tutazikuta chini.
 
Wenzetu wamejiongeza kupunguza gharama, haswa kipindi hiki ambacho teknolojia inasaidia kurahisisha kazi kwa kiasi kikubwa

Tukumbuke Uchumi wa dunia kwa ujumla umeporomoka sana na kupunguza gharama za uendeshaji sio kwa Tanzania au Africa pekee.
Watu wanasoma kama kusoma shule ya msingi....Read between the lines...Its a global reset, tunaondoka kwenye serikali za nchi tunaenda kwenye serikali ya duania...Get prepared guys...Acheni kupenda dezo, fanyeni kazi....Angalau mimi nauhakika nipo kuchelewesha hiyo global reset isije kwanza na ikishatimilika off I go sintokuwepo huku tena...
 
Watu wanasoma kama kusoma shule ya msingi....Read between the lines...Its a global reset, tunaondoka kwenye serikali za nchi tunaenda kwenye serikali ya duania...Get prepared guys...Acheni kupenda dezo, fanyeni kazi....Angalau mimi nauhakika nipo kuchelewesha hiyo global reset isije kwanza na ikishatimilika off I go sintokuwepo huku tena...

Hutokuwepo tena wapi Ame😳😳
 
Vile CCM wanajifanya kuupiga mwingi kupitia mgongo wa Polisi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi wakati wameshapitwa na wakati na pumzi ilishakata siku nyingi sana!😁😁😁
View attachment 1912204
AA3bhl.jpg
 
Back
Top Bottom