Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

Chonde Chonde wafuatao ni Finland, Norway na Sweden

Huku duniani wakati dunia itakapokuwa na serikali moja...Kwa sasa ni maandalizi yake tu na yupo akawizae

Tutakua tushanyakuliwa mawinguni😃😃😃😃😃🙌
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nchi ilojaa dhulma,ukandamizaji na uvunjifu wa katiba/sheria inafaa kutengwa na kila mpendahaki na Mungu ningumu kuiinua.
Mataifa yanaona na kukerwa naupuuzi mwingi unaoendelea baadhi yavitu vyakuudhi nikama :
1. Makamu chama cha upinzani anapigwa risasi na hakuna uchunguzi zaidi kunyimwa haki.
2. Mwenyekiti wake anatiwa ndani eti ni gaidi na mhujumu uchumi huku wamemuua kibiashara.
3. Mdude amewekwa ndani mudaa na hamna kesi ya maana badae wanamwachia tuu.
4. Wapo wapinzani wanaokimbia nchi kwakuogopa kuuwawa kisa wanamawazo tofauti.
5. Uchaguzi wakibabe wapinzani wooote nje ya uongozi kibabe!
6. Mabalozi wakiongea wanakatazwa na kutusiwa mabeberu.
7. Wawekezaji toka nchizao wamekimbilia nchi nyingine jirani
8. Wananchi hawana raha na viongozi hawajali wanawaambia wahame nchi.
9. Nchi kukosa dira inayoeleweka (mf kuachia katiba katikati) na taasisi imara hakuna.Nk. Nk.
 
Ni aibu sana nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi kusaidia nchi kubwa kama Tanzania eti vi nchi kama mkoa ndo vinasaidia Tanzania sasa UHURU ulikuwa na maana gani.

Wenzetu walishatoka kwenye kuwaza basic needs.
You have weak brains, tena mnawaruhusu weakest wawaogoze mtapelekeshwa hata na kichwa kimoja kinachofukiri vizuri.
 
Ushoga ushoga wala sio Genda yao kuu tujitafakari tu wabia wa maendeleo kukimbia sio kitu kizuri
 
Misaada wametoa sana haikusaidia Nchi kukwamuka kiuchumi, licha ya hali isiyoridhisha ya maisha Nchi inanunua mindege kibao keshi, eti ni aibu Nchi kama hii kutokuwa na ndege, hamna sababu yeyote zaidi ya matumizi mabaya, wacha waondoke, kwani wanaona kizunguzungu!
 
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.

Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.

Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Mkuu huwajui CCM wewe,kadri Donors wanavyotukataa ndivyo wananchi wanavyopewa Tozo kubwa kila kona.
Tuendako itakuja tozo ya ndoa, yaani wanakukadiria kwa mwaka mke wako huwa unamgonga bao ngapi,kama ni bao 60, wanafanya 60 X 500=30,000 Tega sikio utaona,CCM kinyesi kibichi cha mbwa Koko.
 
Si mlikuwa mnamsakama na kumpa majina mabaya JPM, kisha baada ya kuondoka mkaanza kufanya tafirija?

Kuna GIZA na UTELEZI usiomithirika utajidhihirisha siku sio nyingi ndipo mtafahamu ukweli na kutafuta namna ya kuomba msamaha kwa kusingizia wengine wenye wenye nia njema kwa nchi.
Wewe Boya kweli,kwa hiyo JPM ndo alikuwa mzuri,huyu Samia na JPM wote mavi tu ya mbwa
 
Pole yetu democrasia imetushinda ngoja watoke China yetu ipo na urusi
 
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.

Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.

Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Toka uhuru, tunafahamu kuwa Denmark, Norway, Sweden na Finland ziko pamoja.

Miaka hiyo mradi mkubwa wa kukumbukwa ni Kibaha Education Centre.
Mradi huu ulikuwa na mafanikio makubwa sana mpaka Centre hii sasa iegeuzwa kuwa makao makuu ya mkoa wa Pwani.

Kwa hiyo hawa wafadhili wenye utu, wakianza kujitoa Tanzania , alarm bells lazima zisikike.
Hawajawahi kututawala , hawajawahi kuingilia mambo ya ndani.

Ujumbe wao ni simple, endelea na ukiukaji wa haki za binadamu na utabaki na marafiki kma North Korea, sisi tunajitoa.
Ndege wafananao huruka pamoja.

Namshauri Mama Samia aamke kutoka uusingizi wa pono na kuendesha nchi badala ya kuwaachia masalia ya Mwenda zake.
 
Nordic countries wote wanafunga balozi - Sweden , Finland, Norway 🇳🇴 Denmark 🇩🇰

Hawa jamaa wanachangia makubwa sana kwenye bajeti yetu .

CCM inawakimbiza wafau wetu wa maendeleo tangu uhuru.
 
Kipindi kama hiki sasa ndio unapo miss uwepo wa watu kama Nyerere au Augustine Mahiga na wengine wachache sanaaaaa.Mbwa zilizobaki zimejaa serikal ya tanzania ni kichefu chefu hata kuzitaja majina.Mulamula sijamsoma hata kidogo.Ni wa hovyo kupindukia
Kwa Mulamula this is a failure in diplomacy.
Nchi zenye utu wakiikimbia nchi sasa kazi yake nini?
Kuwafuata Nairobi?
Pengine tumuulize Mula mula , lini anaenda Pyongyang, North Korea!
 
Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.

Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.

Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.

Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
kama wakiona sisi hatutakiwi kuwa marafiki zao, tusiwalazimishe, na sisi tutafute na kuimarisha marafiki wapya. waache waende isijeonekana tunajibembeleza sana kwao, hata hivyo, Denmark wamefanya kipi kwa miaka hii 5 iliyopita? na hata ahadi zao nyingi ni za uongo, wanaahidi halafu hawaleti. wakwendee zao, shain.
 
Mkuu huwajui CCM wewe,kadri Donors wanavyotukataa ndivyo wananchi wanavyopewa Tozo kubwa kila kona.
Tuendako itakuja tozo ya ndoa, yaani wanakukadiria kwa mwaka mke wako huwa unamgonga bao ngapi,kama ni bao 60, wanafanya 60 X 500=30,000 Tega sikio utaona,CCM kinyesi kibichi cha mbwa Koko.
Akili za hivi zitaongozaje nchi sasa🙄

Mungu akusamehe makosa yako, moyo umejaa uchungu na uasi
 
Wanataka turuhusu ndoa za jinsia moja na ushoga na usagaji Kama kwao ndio waseme tunaheshimu Haki za binadamu.Tumegoma Kama Nchi ndio wanabweka
nordic countries sio nchi za kishoga, nchi ya kishoga ni UK. hata hivyo, wacha tu waende, wana midomo sana, kama bata vile.
 
Back
Top Bottom