Intelligence Justice
JF-Expert Member
- Oct 23, 2020
- 3,443
- 4,006
Chanzo cha matatizo gani acha upepe, JPM yupo?JPM ndiyo chanzo cha matatizo yote
🤣🤣🤣Sisi ni dona kantriii..!
Tupo uchumi wa kati na tunaelekea uchumi wa juu mawinguni.
Alisikika TAGA mmoja akinena.
Sisi tulishajiambia ni matajiri, natulishakubaliana kutembea kifua mberee, sasa tunawataka tuliowaita mabeberu wa nini tena? Na pia situliambiana hao wawatutakii mema? Kama wenyewe wametambua hayo na kwa hiari wameamua kuondoka tunawasiwasi gani? Au tuliyo kuwatunasema wapo tiliokuwa tunawadanganya kwakuwa tulijua hawajitambui?Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.
Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.
Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Achana na nadharia hatukuwahi kuwa nao sawa huo ndio ukweli. Usidhani hayo ma GDP yanasaidia maendeleo ya nchiNi aibu sana nchi tulizokuwa nazo sawa kiuchumi kusaidia nchi kubwa kama Tanzania eti vi nchi kama mkoa ndo vinasaidia Tanzania sasa UHURU ulikuwa na maana gani.
Wenzetu walishatoka kwenye kuwaza basic needs.
Your economic well-being is a function of both your income and wealth. What applies to you as an individual applies to a nation as well.Kwahyo hutaki tena misaada?
Uko serious kweli wewe na nchi hii, maana hata budget inahitaji wahisani, wahisani kupungua kutoa hela ndio unaona mikodi imeongezeka kila mahali hadi tozo luku mafuta, na mnalia lia humu na kumwona Rais hafai.
Sasa ngoja wahisani waondoke wote muanze kutembea makalio wazi ka enzi za nyerere
Chanzo cha matatizo gani acha upepe, JPM yupo?
Kiongozi wa nchi anatakiwa kuonesha mamlaka ipo inafanya kazi na mwenye uwezo wa kufanya maamuzi hata kama kashauriwa vinginevyo kwa maslahi ya nchi.
Mwisho wa tawala kandamizi duniani kote ni kutengwa kimataifa kisha kuanguka kwake. Hii ni kanuni ya kihistoria,and we are not exceptional.Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.
Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.
Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Huyu mzee hata aibu huwa hana ??[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1912648
Soma sentensi vizuri ina alama gani mwishoni sio kukurupuka kujibuJPM yupo? mkuu umesahau kama alikufa nini?
Kwani ukitegemea Hamza angefanya kile alichokifanya?Tegemea lolote kutoka kwa Wana CCM.dhuu sikutegemea kama unaweza kuandika upuuzi kiasi hiki
Kwani ukitegemea Hamza angefanya kile alichokifanya?Tegemea lolote kutoka kwa Wana CCM.
Watu wanasoma kama kusoma shule ya msingi....Read between the lines...Its a global reset, tunaondoka kwenye serikali za nchi tunaenda kwenye serikali ya duania...Get prepared guys...Acheni kupenda dezo, fanyeni kazi....Angalau mimi nauhakika nipo kuchelewesha hiyo global reset isije kwanza na ikishatimilika off I go sintokuwepo huku tena...Wenzetu wamejiongeza kupunguza gharama, haswa kipindi hiki ambacho teknolojia inasaidia kurahisisha kazi kwa kiasi kikubwa
Tukumbuke Uchumi wa dunia kwa ujumla umeporomoka sana na kupunguza gharama za uendeshaji sio kwa Tanzania au Africa pekee.
Watu wanasoma kama kusoma shule ya msingi....Read between the lines...Its a global reset, tunaondoka kwenye serikali za nchi tunaenda kwenye serikali ya duania...Get prepared guys...Acheni kupenda dezo, fanyeni kazi....Angalau mimi nauhakika nipo kuchelewesha hiyo global reset isije kwanza na ikishatimilika off I go sintokuwepo huku tena...
Huku duniani wakati dunia itakapokuwa na serikali moja...Kwa sasa ni maandalizi yake tu na yupo akawizaeHutokuwepo tena wapi Ame😳😳
kila kitu
Ndio wazishtukie hizo khanga na Tisheti na Kofia wa Uprise.Dah hii si yakufurahia wanyonge watalimia meno haswa na huduma kudorora na serikali itaongeza Kodi hadi za oksigen kufidia hilo gap