Kinachogomba hapa siyo misaada tu bali hata watalii watapungua kutoka Nordic countries na hivyo kupunguza mapato ya nchi ambayo tunayahitaji sana kwa maendeleo yetu!Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea misaada au wewe unadhani china imefika pale kwa kulialia na kutegemea misaada.
Hapana bali kwa kutumia akili kujitegemea na kufanya kazi.
Na hapohapo wanakupa misaada then wao wanachukua mara tatu ya walichokupa. Africans bado hawana akili ya kusoma lakini hata kuona picha bado hawawezi.
Ni vizuri Stop misaada then upigike ili upate akili ya kujitegemea.
This world is full of idiot and they have been distrubited strategically so that you can met one every dayPoor country, with idiot leadership
Kwa nchi kama Denmark kuna uwezekano mkubwa wa watalii kutoka huko wakapungua.Hakuna jipya hata wakisepa,tuna nchi nyingi Sana Duniani tunaganya nao biashara nk lakini hata hazina balozi.
Kikubwa waliofunga ubalozi hawajasema wamesitisha mashirikiano ya kidiplomasia nk.
Wapungue tuu,kwani Waisrael wameanza kuja juzi nani kawaita? Wachina na Warusi je?Kwa nchi kama Denmark kuna uwezekano mkubwa wa watalii kutoka huko wakapungua.
Kama ingekuwa ni sababu ya kuitwa mabeberu na kujimwambafy...basi wangeondoka wakati Tz ilipokuwa na rais🤔! Kwa sasa hiyo siyo sababu...balozi Mulamula na wenzie watuambie tu kuwa wamepoteza mvuto😃😀😃!Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.
Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.
Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Unaropoka tu!Hakuna nchi iliyoendelea kwa kutegemea misaada au wewe unadhani china imefika pale kwa kulialia na kutegemea misaada.
Hapana bali kwa kutumia akili kujitegemea na kufanya kazi.
Na hapohapo wanakupa misaada then wao wanachukua mara tatu ya walichokupa. Africans bado hawana akili ya kusoma lakini hata kuona picha bado hawawezi.
Ni vizuri Stop misaada then upigike ili upate akili ya kujitegemea.
Nchi inamshinda mtu sasa.Taa ya tahadhari umekwisha washwa na Denmark kwa kuondoka nchini. Huu ni uamuzi mgumu sana kwa nchi ambayo imetufadhili tangu uhuru. Miradi mingi sana imejengwa kwa ufadhili wa Denmark. Kumbukeni walivyoisaidia nchi hii katika elimu ikiwa ni pamoja na elimu ya watu wazima, ujenzi wa shule na vyuo, kutoa mafunzo kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Pia angalia sekta ya kilimo, maji, utawala bora, ujenzi wa barabara vijijini, budget support nk.
Tanzania kama nchi tutaathirika sana na uamuzi huu. Kuna kila sababu serikali ikajiangalia upya wapi imejikwaa. Haiwezekani kila siku tunawatukana, tunawakemea kwa mambo yetu ya hovyo na kuwaita mabeberu wakaendelea kutuvumilia.
Tukumbuke Denmark haipo peke yake katika kutoa misaada hapa nchini. Pia nchi zote za Nordic zinashirikiana na kuratibu kwa pamoja misaada yote inayoletwa nchini. Nchi hizo ni Norway, Sweden na Finland. Nchi hizi zilifika hata hatua ya kuigawana nchi hii ili kuleta uwiano wa maendeleo kama ifuatavyo; Norway - Rukwa ikiwemo Katavi na Kigoma; Denmark - Mbeya, Iringa na Ruvuma; Finland- Lindi na Mtwara; Sweden- Morogoro na baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Maeneo ambayo tunatakiwa kufanya mabadiliko ni pamoja na demokrasia, utawala wa sheria na haki za binadamu. Tusijipe moyo kuwa tumeendelea na kwamba hatuhitaji misaada yao, hilo ni kosa la jinai! Tupunguze kijimwambafai na kutoa maneno ya matusi na kejeli. Wafadhili wetu wana moyo wa nyama wanaumizwa pia!
Ubalozi hauondolewi kwa sababu tumeingia uchumi wa kati. Uingereza, ujerumani nk.k wasingeluwa na sababu za kuwa na balozi zao US. Hivyo jiongeza uache kufikiri kama kkUchumi wa kati usitegemee sana misaada ya masharti, wao wamechuma wameshiba na kuvimbelea...wakalie nini tena
Wote ni washenzi tu!Kama ingekuwa ni sababu ya kuitwa mabeberu na kujimwambafy...basi wangeondoka wakati Tz ilipokuwa na rais🤔! Kwa sasa hiyo siyo sababu...balozi Mulamula na wenzie watuambie tu kuwa wamepoteza mvuto😃😀😃!
Halafu tuache unafiki, kikiwa kitu kizuri harakaharaka mnampa sifa huyu mama wakati kikiwa kibaya harakaharaka mnamtupia baba mfyuuuuuu, mkome Mara1 😡!
Inaelekea hujawahi kutoka hata nje ya mkoa unaoishi!Wapungue tuu,kwani Waisrael wameanza kuja juzi nani kawaita? Wachina na Warusi je?
Ni hivi utalii na hayo mambo havihusiani,kwamba mtalii aache kuja kula maisha kwa kuwa serikali yake haina ubalozi? Kenya kuna ubalozi utaratibu hizo shughuli zao Bongo.
Maovu mengi yaliyofanywa na utawala wa marehemu Magufuli, matokeo yake yataanza kuonekana wakati wa awamu ya 6.Si mlikuwa mnamsakama na kumpa majina mabaya JPM, kisha baada ya kuondoka mkaanza kufanya tafirija?
Kuna GIZA na UTELEZI usiomithirika utajidhihirisha siku sio nyingi ndipo mtafahamu ukweli na kutafuta namna ya kuomba msamaha kwa kusingizia wengine wenye wenye nia njema kwa nchi.
Mulamuka, kwa ujinga mkubwa, alisema eti anawaonya mabalozi kama vile hao mabalozi ni watoto wake. Hajui kuwa mabalozi wanawajiwabika kwa nchi zao na siyo kwake. Kama kuna malalamiko ya msingi alitakiwa kuyapeleka kwenye mataifa yao.Yaani kuwapiga mkwara Maafsaa wa Balozi zao wasiende kusikiliza Kesi ya Kubambika ya Mbowe
Majibu yanaanza kupatikana... Kata mwanangu kata kata misaada usiogope kata.. kibwagizo kizuri
Tutabaki na wapuuzi wenzetu.Tunavyoenda, kuna siku tutabakia na ubalozi wa Burundi, Msumbiji, Zimbabwe na Somalia.
nordic countries walikuwa na interest na gas yetu kwa kampuni ya orphil (kama sikosei), kama wamechukua si ukute serikali imewapiga chini....hahaha, tupa mbali huko takataka hao.Ulitaka wafanye nini wakati dikteta Magufuli anatembea na mfuko wa hazina kama fedha zake binafsi na kujenga Chato!
ifike kipindi tujitegemee, hata ikiwa kwa kurudisha kodi ya kichwa. hatutakiwi kulamba watu makalio milele.Soma budget speech zote za hiyo miaka uona namna mawaziri wote wa fedha walivyosaidia budget yetu!
Matusi na karaha hata siku moja havijawahi kuwa vifaa vya kuboreshea mawaidha ya mtu au ku-validate mawazo ya mtu. Huo ni udhaifu wa kwanza kuonyesha unataka kutumia mabavu kueleweka. Mwingine amejichanganya kuonyesha hatuhitaji uhusiano nao lakini anakiri kuwa watalii watapungua na itaathiri uchumi wa nchi. Hili ni tatizo tulilo nalo na in fact ni la kimfumo, Diplomasia na Unafiki havipikiki. Hao unaowaona leo hatuwezi kujilinganisha nao ie China, hawakufika hapo kwa kukataa, au kukatisha tamaa Balozi za nchi nyingine, waliishi nao wakibadilishana nao mawazo kimkakati mpaka wakafika hapo walipo sasa hata kuwazidi baadhi yao.We nawe bwege, unalinganishaje Tanzania na hizo nchi ulizozitaja
Mimi nimeandika facts.Unaropoka tu!
Jpm alikuwa hopeless huenda na huyu naye ni hopeless zaidi hakuna mtu na akili timamu anaweza mkumbuka jpmSi mlikuwa mnamsakama na kumpa majina mabaya JPM, kisha baada ya kuondoka mkaanza kufanya tafirija?
Kuna GIZA na UTELEZI usiomithirika utajidhihirisha siku sio nyingi ndipo mtafahamu ukweli na kutafuta namna ya kuomba msamaha kwa kusingizia wengine wenye wenye nia njema kwa nchi.