Chonde chonde wanasiasa msiigeuze mechi ya Taifa Stars vs Uganda kuwa uwanja wa kupromoti sera zenu

Hahahaa...... Hata siku ya kutangaza matokea nilikuona pale mnara wa saa na mawe yako mkonono....hahahaa nyie wadimi mlikuwa wakorofi sana!
Mimi siyo mdimi na sikuwa miongoni mwa wabeba mawe wala vidumu vya Petroli. Mwalimu Kibasa alituangusha sana wanafunzi wake na watu wa Iringa na inawezekana yeye akawa ndiye Mbunge wa viwango vya chini sana kuliko wengine wote waliowahi kuwa wabunge wetu.
 
mungu ibariki UGANDA the crains. itufunge zaidi ya magoli 3-0 hili ni taifa lililo laaniwa
 
Unaotaka kuwaambia unawaogopa? Ila wakivaa mashati yao ya kisamvu tunatinga zambarau, kama mbwai iwe mbwai!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa...... Kibasa mwalimu wangu wa Chemistry yule katika ile shule iliyokuwa na walimu maTX nadhani unaijua!
 
Wa tz nani katuroga? Mechi ya taifa stars vs uganda na siasa wapi na wapi, tuwen wazalendo basi. Ndio maana hatuendelei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaambie wana ccm wajinga wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kawaambie wana ccm wajinga wenzako

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbwiga bwashee hapo Ufipa pamejaa CCM watupu wala usijidanganye.
Mbowe kijana wa Lowassa.......... CCM
Mashinji kijana wa Lowassa............ CCM
JJ Mnyika kijana wa Malecela............ CCM
Mwalimu kijana wa RA.................CCM

Naomba niishie hapo maana nikiendelea mbege itakutiririka!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…