johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimelazimika kutoa chonde chonde hii baada ya kuwasikia kwa masikio yangu baadhi ya wanasiasa wakihamasishana kuvaa sare za chama siku ya mechi.
Ni vema kama sote tukavaa kitaifa zaidi kwani kama tunaweza kuuweka pembeni usimba na uyanga wetu kinatushinda nini kuweka itikadi za vyama pembeni?
Wafuasi wale wa ACT wazalendo waliokuwa wanahamasishana naamini watanisoma na kuachana na mpango wao.
Maendeleo hayana vyama!
Ni vema kama sote tukavaa kitaifa zaidi kwani kama tunaweza kuuweka pembeni usimba na uyanga wetu kinatushinda nini kuweka itikadi za vyama pembeni?
Wafuasi wale wa ACT wazalendo waliokuwa wanahamasishana naamini watanisoma na kuachana na mpango wao.
Maendeleo hayana vyama!