Hili kanisa ni LA kuomba misamaha tangu zama za Greek/ uyunani ya akina "Galilei Galileo",Kanisa Katoliki ni wauaji wakubwa from time immemorial
Kwa nini wakiongea kkkt ni vigeregere kwa bavicha na wakiongea rc ni full povu kw bavicha?
Pengo ni mpinga Kristo.Je umesikia maoni ya pengo leo.Anataka tuwaenzi Mussolini na Hitler.Kuwa pamoja na kuwa walifanya mamilioni ya raia wema eti pia wana mazuri yao.
Hapo cha uongo kipi? Kwamba kanisa la rc halikushirikiana na wauaji Rwanda? Mapadri wao hadi pale ICRT walihukumiwa vifungo. Makanisa yao yalikuwa mabucha ya kuchinjia watusi na wahutu wa msimamo wa wastani. Kina Pengo wasipoangaliwa bado wana hamu ya Rwanda yaje hapaKama muvi ya avatar vile. Yaani fantasy. Endelea kutunga stori.
KATOLIKI BABA LAO....wametoa tamko ufipa hapakaliki.
Ulikuwepo huko ukaona? Au umeambiwa na aljazeera?Hapo cha uongo kipi? Kwamba kanisa la rc halikushirikiana na wauaji Rwanda? Mapadri wao hadi pale ICRT walihukumiwa vifungo. Makanisa yao yalikuwa mabucha ya kuchinjia watusi na wahutu wa msimamo wa wastani. Kina Pengo wasipoangaliwa bado wana hamu ya Rwanda yaje hapa
Nimeona kwa macho yangu pale ICRT mapadri wakikiri kushirikiana na wauaji. Makumbusho ya ufedhuli wao yako pale Kisongo. Una swali lingine?Ulikuwepo huko ukaona? Au umeambiwa na aljazeera?
Rais wa TEC Askofu Nyaisonga amelinajisi Kanisa letu. Ameamua kuasi kiapo chake cha ukuhani cha kusimama katika haki kwaajili ya kulinda uswahiba binafsi na mtawala.
Kauli yake imelitia doa Kanisa Katoliki. Amemwumiza Kristo, ambaye fundisho lake kubwa ni UKWELI na UPENDO.
Tunaomba maaskofu wetu wote wa Kanisa Katoliki, kila jimbo, na wasaidizi wao (mapadre), watueleze waumini kama maneno ya Askofu Nyaisonga ndio msimamo wa Baraza la Maaskofu. Kama utakuwa ndiyo msimamo wa Kanisa, itatupatia nafasi waumini kutambua kuwa Ibilisi ameanza kutenda kazi yake kwa kupitia wenye mamlaka ndani ya Kanisa.
Siku zote katika vita, adui hujitahidi amteke Kamanda Mkuu maana ndiye mwenye siri za Jeshi zima.
Kwa hiyo huu ndio ushahidi unataka mimi niamini?Nimeona kwa macho yangu pale ICRT mapadri wakikiri kushirikiana na wauaji. Makumbusho ya ufedhuli wao yako pale Kisongo. Una swali lingine?
Rais wa TEC Askofu Nyaisonga amelinajisi Kanisa letu. Ameamua kuasi kiapo chake cha ukuhani cha kusimama katika haki kwaajili ya kulinda uswahiba binafsi na mtawala.
Kauli yake imelitia doa Kanisa Katoliki. Amemwumiza Kristo, ambaye fundisho lake kubwa ni UKWELI na UPENDO.
Tunaomba maaskofu wetu wote wa Kanisa Katoliki, kila jimbo, na wasaidizi wao (mapadre), watueleze waumini kama maneno ya Askofu Nyaisonga ndio msimamo wa Baraza la Maaskofu. Kama utakuwa ndiyo msimamo wa Kanisa, itatupatia nafasi waumini kutambua kuwa Ibilisi ameanza kutenda kazi yake kwa kupitia wenye mamlaka ndani ya Kanisa.
Siku zote katika vita, adui hujitahidi amteke Kamanda Mkuu maana ndiye mwenye siri za Jeshi zima.
Hapo cha uongo kipi? Kwamba kanisa la rc halikushirikiana na wauaji Rwanda? Mapadri wao hadi pale ICRT walihukumiwa vifungo. Makanisa yao yalikuwa mabucha ya kuchinjia watusi na wahutu wa msimamo wa wastani. Kina Pengo wasipoangaliwa bado wana hamu ya Rwanda yaje hapa
Ulikuwepo huko ukaona? Au umeambiwa na aljazeera?
Poor mentality.
Usipoamini shauri yako. Hiyo ni shida yako. Pope wako kaomba msamaha tayari. RC na mauaji ni chanda na pete. Rwanda, South Vietnam, Musolin iItaly etc.Kwa hiyo huu ndio ushahidi unataka mimi niamini?
Dah.
RC mapadri walifikishwa mahakamani pale ICRT. Nitajie mchungaji au sheikh aliyeshitakiwa kwa mauaji yabhalaiki Rwanda. Mapadri wenu na Maaskofu ni wafirani na wanyanyasaji wa watoto. Dunia nzima inajuawakati huo madhehebu mengine yalifanyaje?
Hata wachungaji wa makanisa mengine walishiriki.
RC imetajwa zaidi kutokana na ukubwa wake ila kila mmoja aliuawa....
Mapadri wangapi wa RC waliuawa?
Vita ilikuwa ya kikabila.na almost kila mtu alishiriki bila kujali dini.
Acheni ujinga wenu wa kuwadanganya watoto waliozaliwa juzi.
.....hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.......Usipoamini shauri yako. Hiyo ni shida yako. Pope wako kaomba msamaha tayari. RC na mauaji ni chanda na pete. Rwanda, South Vietnam, Musolin iItaly etc. RC inanuka damu
Ndio maana namshangaa huyu sheheee wa jiji la Bashite. ukute ni sheheee mchana, usiku yuko na chair fire taratibuuuuu!JK alihukumiwa kwa dini yake, wa sasa anakula good life kwa sababu ya dini yake
Huna sababu ya kuniamini. Subiri mpaka maaskofu au mapadri wako wakuingilie kinyume na maumbile ndiyo utaelewa. Maana ndiyo mchezo wao dunia nzima hadi kule Vatican.....hadithi njoo uongo njoo utamu kolea.......
Ningekuwa na tatizo kubwa kama ningekuamini.