Chonde Kanisa Katoliki, historia inatuhukumu

.... na wanaolawitiwa misikitini madrasa hawakuhusu sio!, wewe bibi wacha kukurupuka.
Hilo swali nikuulize wewe uliyesema "watoto wenu". Na wewe jujitoa kuwa huna jukumu lolote watoto. Binafsi iwe mtoto wa kanisani au popote pale, huyo pia ni jukumu langu kumlinda.

Kijana napenda ufahamu tatizo lililokuwepo ndani ya kanisa katoliki ni kubwa mno kuliko unavyofikiria na unavyojaribu kuli "down play". Au kwako watoto na mapadri kulawitiana ni jambo doho tu? Umezowea?

Soma...

1) Kulawiti watoto.
Hii ni dunia nzima kanisa lilipo si sehemu moja au kuwa ni tatizo la mtu mmoja katika elfu. Au kuwa ni tatizo la mara moja kwa miaka 2 au 3. Hilo ndani ya kanisa ni tatizo sugu na endelevu, la kila siku.

Usikimbie maovu. Kwa kujaribu kupakaza matope kwa mwehu mmoja kwa miaka na pengine ni zao la hukohuko kanisani lililopandikizwa.

2) mapadri kulawitiwa.
Hilo nalo ni tatizo kubwa sana. Ukiongea na Wakristo wasiopenda huo ujinga wanakiri wazi kabisa kuwa katika mapadri wa kikatoliki 10 basi 7 au nane ni mashoga kama si wote.

Hayo yote yana ushahidi.
 
Duuh weee mleta uzi hebu njoo haba Regency Hotel ule bata maana umenikuna
 
Wanafiki sana wanajifanya hawaoi lakini wanawaka tamaa mpaka wanalawiti watoto na wakikosa wanageuzana wenyewe.
 
.... asante, naomba huo ushahidi kuwa kati ya mapadri 10, 7 ni mashoga, nipe hiyo research nione ilifanyika wapi, na mwaka gani, na kwanini ndio iwe kielelezo cha mapadri duniani kote,nitashukuru sana.

Halafu usijaribu kudhani ninakimbia tatizo, hapana, sababu ninaamini siku ya mwisho kila mtu atasimama mbele za Mungu peke yake kujibu maovu yake, mimi siwezi kuhukumiwa kwa makosa ya mwingine, kwanini nihofu?!

.....ninachojaribu kuonesha hapa ni kwamba, hili suala la hiyo kauli ya Askofu watu wamelishadadia sana, kwani yeye binafsi hatakiwi kutoa maoni yake, na kwanini hayo maoni yake yageuke kuwa kosa kubwa hivyo kila kona kelele!, tunasahau na sisi huwa tunakosea but tunatawaliwa na unafiki uliopitiliza!, na haya mambo ya mapadri kubaka na mengine hayakuwa yanahusiana na hii mada, ni mihemko iliyopitiliza ndio imeleta hayo.
 
.... wengi wa wanaolitukana kanisa katoliki hapa wanatokea kwenye makanisa ya mifukoni mwa watu, the likes of manabii, mitume, na wasanii wengine kama hao.
 
mkuu umeandika waraka mrefu sana ila umekosea kulishutumu kanisa KATOLIKI kama vile lilishiriki kuwaambia wapinzani wajitoe. Kanisa limesimama kwenye nafasi yake kuwahimiza watu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Hii inanikumbusha mwaka jana kipindi cha viongozi wa misikiti na makanisa walipotoa WARAKA kuinanga Serikali, mlishangilia sana, mkapongeza sana kisa tu ilionekana Serikali imekosolewa, Sasa nyie mmejitoa kwenye uchaguzi kwa matakwa yenu wenyewe mnatakaje Kanisa niungane na nyie kwenye uhuru na haki yenu ya kujitoa? Kanisa linakemea na kushauri kile kilicho bora kwa Taifa.
 
mkuu umeandika waraka mrefu sana ila umekosea kulishutumu kanisa KATOLIKI kama vile lilishiriki kuwaambia wapinzani wajitoe. Kanisa limesimama kwenye nafasi yake kuwahimiza watu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
.... bado ninakutafakari!
 
KAMA VIONGOZI WA DINI WANATAKIWA WAWASHAURI MAMBO MEMA WAFUASI WAO NA JAMBO LA KUPIGA KURA PIA NI MOJA YA JAMBO JEMA KWA WATU WOTE WALIOFIKIA UMRI WA UPIGAJI KURA NA PIA KUPIGA KURA NI HAKI YA KILA MTANZANIA, HIVYO NASI HAKUNA UBAYA KIONGOZI WA DINI KUSHAURI WAFUASI WAKE KWENDA KUPIGA KURA.
 
Viongozi wa dini wamekuwa wapiganie kampeni wa upande fulani!

Ova
 
mkuu umeandika waraka mrefu sana ila umekosea kulishutumu kanisa KATOLIKI kama vile lilishiriki kuwaambia wapinzani wajitoe. Kanisa limesimama kwenye nafasi yake kuwahimiza watu kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
....kama nimeanza kukuelewa, kwamba kanisa limetekeleza wajibu wake kuwashauri waumini waende kupiga kura kulingana na taratibu na sheria za nchi, na wale walioamua kujitoa walifanya hivyo kwa sababu zao binafsi, kanisa limejaribu kujitoa kwenye ushabiki wa kisiasa, na kuwaacha waumini waamue wenyewe kusuka au kunyoa, kupiga kura au kuacha.

kumbe kauli ya Askofu sio sheria!
 
kwani waliooa ndio hawatendi dhambi?
Mnaumizwa sana. a tamko la wanaume RC..

Subiri kanisa la wachaga KKKT litoe tamko ufarijike
Wanafiki sana wanajifanya hawaoi lakini wanawaka tamaa mpaka wanalawiti watoto na wakikosa wanageuzana wenyewe.
 
[emoji3][emoji3]wengi wao hawajuwi hata maana halisi ya kanisa... wanakimbizwa na akina Ngwaji
.... wengi wa wanaolitukana kanisa katoliki hapa wanatokea kwenye makanisa ya mifukoni mwa watu, the likes of manabii, mitume, na wasanii wengine kama hao.
 
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…