Ali Bananga aliamua kuhama chadema sasa sijui itakuwajeAlisema anajitoa JF kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ali Bananga aliamua kuhama chadema sasa sijui itakuwajeAlisema anajitoa JF kabisa
🤣🤣🤣Mdee DC Hai.
CCM inaangalia kwanza wenye akili japo kidogo hata kama ni wa TLP inachukua. Huko kwenu watamchagua nani?Katika makosa ambayo Hayati Magufuli aliyafanya kwa kujua au kutojua ni kutoa vyeo kwa wapinzani wanajiunga CCM kutokea upinzani. Ni ukweli usiosemwa lakini unawaumiza wanaCCM, watu walioshirika kupunguza kura leo wanafikiriwa zaidi.
Kuna wale wabunge 19 wa CHADEMA ambao maamuzi pengine yatatolewa ya kufukuzwa uanachana na ikatokea hivyo, Chondechonde wasifikiriwe kwa vyeo kwanza hata wakiamia CCM kwa Sababu
1. Wameonesha waziwazi kabisa wapo tayari kufanya usaliti kwa Sababu ya vyeo, ikiwa walijua ukweli hawana uhalali wa kuendelea wangejiondoa ubunge hata kama Kuna ugumu
2. Wametolewa na vyama vyao wakiwa ni wachafu hivyo CCM lisitumike kama dodoki la kusafishia uchafu wao, madhara ya kuwa dodoki yanagharimu Sana.
3. Mdee na wenzake hawajawahi kuikubali CCM hivyo ikitokea wamehamia CCM hasa kipindi hiki ni kujidanganya wenyewe.
4. Badala ya kupewa nafasi za uteuzi moja kwa moja waanze na nafasi za ugombea ili kupima kukubalika kwao kwa wananchi.
5. Wakijiunga na CCM wawe wanachama wa kawaida lakini ikiwapendeza wagombee nafasi zinapojitokeza na wapewe nafasi kuonesha utayari wao kukitumikia chama.
Ali Bananga na mke wake ni wanachama wa matumbo yao kwanza.Ali Bananga aliamua kuhama chadema sasa sijui itakuwaje
🤣🤣🤣Ali Bananga na mke wake ni wanachama wa matumbo yao kwanza.
britanicca tupo nae jukwaa la International Kule tunampiga mrusi hahahahahabritanicca bye bye Jamii Forum, Mungu akipenda tutaonana kitaa. Usirudi na ID nyingine.
Usihofu tuna Kinana kule ni kiongozi smart yule.Katika makosa ambayo Hayati Magufuli aliyafanya kwa kujua au kutojua ni kutoa vyeo kwa wapinzani wanajiunga CCM kutokea upinzani. Ni ukweli usiosemwa lakini unawaumiza wanaCCM, watu walioshirika kupunguza kura leo wanafikiriwa zaidi.
Kuna wale wabunge 19 wa CHADEMA ambao maamuzi pengine yatatolewa ya kufukuzwa uanachana na ikatokea hivyo, Chondechonde wasifikiriwe kwa vyeo kwanza hata wakiamia CCM kwa Sababu
1. Wameonesha waziwazi kabisa wapo tayari kufanya usaliti kwa Sababu ya vyeo, ikiwa walijua ukweli hawana uhalali wa kuendelea wangejiondoa ubunge hata kama Kuna ugumu
2. Wametolewa na vyama vyao wakiwa ni wachafu hivyo CCM lisitumike kama dodoki la kusafishia uchafu wao, madhara ya kuwa dodoki yanagharimu Sana.
3. Mdee na wenzake hawajawahi kuikubali CCM hivyo ikitokea wamehamia CCM hasa kipindi hiki ni kujidanganya wenyewe.
4. Badala ya kupewa nafasi za uteuzi moja kwa moja waanze na nafasi za ugombea ili kupima kukubalika kwao kwa wananchi.
5. Wakijiunga na CCM wawe wanachama wa kawaida lakini ikiwapendeza wagombee nafasi zinapojitokeza na wapewe nafasi kuonesha utayari wao kukitumikia chama.
yap hata mm nilifikiri hivyo awa wanakimbilia kwa zito kabwe na trust me 2025 wataukwaa ubunge karibia wote ACT wajipange vizuri kucheza karata hiiHawa wanaingia ACT na huko wataiua kabisa CHADEMA count my words.
Hanaga mshipa wa aibubritanicca bye bye Jamii Forum, Mungu akipenda tutaonana kitaa. Usirudi na ID nyingine.
😂😂😂😂Hanaga mshipa wa aibu
CCM inapenda kula Makombo ya cdm.Mdee DC Hai.
Roho ya uasi ni mbaya sana ikimshika haimuachi hadi atimize uasi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walikua na chance kubwa ya kupata ukimbizi wa kisiasa duniani na kuieleza dunia ubabe wa maliemu.Roho ya uasi ni mbaya sana ikimshika haimuachi hadi atimize uasi.
Nimemhurumia sana Mdee na Nusrat Hanje.
Mdee;
Amepitia magumu mengi chamani...
Amrumizwa na amepigania chama siku nyingi.
Hata Mbowe alipomwita gerezani na kumwambia...Halima acha ubunge ksma unataka kazi nitakutafutia hata nje ya nchi hakusikia maskini.
Hanje.
Amesota jela siku 153.
Bado akakubali ofa ya shetani maskini.
Ni binti amepitia maisha magum mno kifamilia..hana wazazi analea wadogo zake.
Lakini shetani akamtongoza.
Njaa ni mbaya;
Biblia yasema; atakayevumilia mpaka mwisho ndiye ataokoka.
Poleni dada zetu.
Umeandika kinyonge sanaMdee DC Hai.