Huu mgogoro unaoendelea ni miaka 17 hadi sasa Kambenga hana hati yoyote ya kumiliki ekari 1000 badala yake anatishia wanakijiji kwa hukumu za michongo.
Jana askari wawili pamoja na familia ya hiyo walienda mashambani na kunyang'anya mbegu wananchi wakitaka kupanda mashamba yao.
Tafrani ilitokea na wanakijiji wakajitokeza kwa wingi licha ya askari hao kupiga risasi ovyo wakazidiwa nguvu wakakimbia.
Sasa wananchi hao wamemwandikia barua waziri wa mambo ya ndani kuomba kibali cha kuwashtaki askari hao
Jana askari wawili pamoja na familia ya hiyo walienda mashambani na kunyang'anya mbegu wananchi wakitaka kupanda mashamba yao.
Tafrani ilitokea na wanakijiji wakajitokeza kwa wingi licha ya askari hao kupiga risasi ovyo wakazidiwa nguvu wakakimbia.
Sasa wananchi hao wamemwandikia barua waziri wa mambo ya ndani kuomba kibali cha kuwashtaki askari hao