Nimemskia akiwaambia waliokosa fursa ya bomba kupita kwao wamenuna na watanuna sana mane ambayo ni kama kuwanga waliokosa nimejiuliza kwa kiongozi wa nchi nisahihi kutoa lugha hiyo kwa afya ya ujirani mwema?
Sent using
Jamii Forums mobile app
USIONGEZE NENO lolote ambalo rais JPM HAKULIZUNGUMZIA.
Alizungumzia KIUJUMLA tu/ In GERERALITIES.Na HAKUTAJA NCHI, JINA, ama TAIFA lolote.
Ni vyema tuwe WAKWELI!
Kile Rais alichokisisitiza ni watu wa TANGA WAAMUKE na KUFAIDIKA kutokana na maendeleo yanayowajia ikiwa ni PAMOJA na UMUHIMU wa BOMBA la mafuta na KIWANDA kikubwa sana cha sementi ktk AFRIKA MASHARIKI NZIMA kitakapojengwa Tanga.
Huku AKITUMIA HEKIMA, alisema WENGI walitaka BOMBA lipitie kwao. HAKUTAJA NCHI wala JINA
KIWANDA kitakachoirudisha Tanga kama sehemu ya viwanda. Ikiwa ni pamoja na kujenga BARABARA ya LAMI toka TANGA mpaka Bagamoyo kama ilivyokubaliwa katika EAC.
Huku akiwapa RAI ya kuweka uwekezaji maana WAGENI wengine imebidi WALALE mbali hadi HANDENI maana Hotel za Tanga zilikuwa ZIMEJAA.
Jambo lingine ni la wale waliochukuwa ARDHI bila kuiendeleza/For speculation purposes,
ITACHUKULIWA baada ya kamati husika ya serikali kuwapa SIKU 90.
Nawale watakapopewa ARDHI WASIPOITUMIA WATANG'ANYWA pia. Hii ni kuwapa MOTISHA watu WASIWE WAVIVU na kutaka vya BURE bila kuvitumia.
MRADI wa barabara Tanga to Bagamoyo 170 Kms utafadhikiwa na WAFADHILI wa BENKI ya maendeleo ya AFRIKA.
Hayo mengine ni YAKO mwenyewe.
Sijui umeyapata wapi mkuu.