herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,143
- 4,724
Sasa kama unampenda si umwambie kuwa unampenda ili akufikirie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eventually, it remains the useless thread ever!as you are a useless creature
Hapo ni sawa ndio maana tunasema mambo ya wataalamu wawaachie wataalamu wenyewe wayaseme.Wakuu,
Niko hapa nafuatilia pia, alichosema CEO wa TOTAL kuwa hili bomba ni world longest electrically heated oil pipeline, na sio bomba refu kuliko yote... key word hapo ni "electrically heated"
hili nalo linahusiana na bomba la mafuta au?MTIFUANO wa ruge na makonda wahitimishwa rasmi,watakiwa mambo yawe watakiwa kuyamaliza. Jana kwenye tukio la kukabidhiwa vitanda hospitali ya Amana kulikuwa na kundi kubwa la waandishi wa habari na waliliripoti kikamilifu tukio hilo la mkuu wa mkoa wa dar.Hao jamaa waliweka azimio la kususia kuandika matukio ya makonda.Sasa msuso huo umeisha na mambo yanaendelea vizuri kama kawaida. RUGE na MAKONDA hakuna 'bifu'
ni mjadala ndani ya mjadalahili nalo linahusiana na bomba la mafuta au?
Tunaposhindwa kujua mijadala hii midogo ya makinikia tutaiweza kweli?
ours is the word's longest heated crude oil pipeline for your information"The world's longest crude oil pipeline is the Interprovincial Pipe Line Inc. installation, which spans the North American continent from Edmonton, Alberta, Canada through Chicago to Montreal: a distance of 3787.2km 2353 miles. How long is this Hoima to Chongoleani oil pipeline??
Sent using Jamii Forums mobile app
Where is it located?ours is the word's longest heated crude oil pipeline for your information
Sent using Jamii Forums mobile app
Process mbona inaendelea mkuu. Negotiation is on.Wakuu hili bomba vipi ujenzi wake? Au mabeberu wameshafanya yao?
Wakuu hili bomba vipi ujenzi wake? Au mabeberu wameshafanya yao?
Uganda-TzWhere is it located?
Process mbona inaendelea mkuu. Negotiation is on.
Ni kweli, lakini wakati hilo bomba linazinduliwa leo hii lilipaswa liwe limevuka nusu ya miradi, sasa kama bado kuna negotiations huoni kuna utata hapo?
Umewahi kuona hata mm moja ya hiyo pipe ikiwa imejengwa?Uganda-Tz
Kwanini?
Yaani umbali mkubwa unajengwa Tz..? Tutafaidi mengi hasa wakati wa ujenzi..
Hata mimi nilikuwa najiuliza nini kinaendelea maana kulitolewa ahadi ya ajira 10,000 je watu wameshaajiriwa?Wakuu hili bomba vipi ujenzi wake? Au mabeberu wameshafanya yao?
Na waliahidi litakamilika 2020🤣🤣Hata mimi nilikuwa najiuliza nini kinaendelea maana kulitolewa ahadi ya ajira 10,000 je watu wameshaajiriwa?