Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huyo Sizonje hata moja ya hizo hana.Kuwa mkuu wa nchi kunahitaji busara, hekima, weledi, staha, uvumilivu, ungwana, ustaraabu, heshima, utu na werevu.
Angalau Kiongozi apate nusu tu ya sifa hizo maana si malaika.
Kukosa zote hizo ni disaster!
Wadanganye wasio pajua Kenya huko.Mmebakia mipasho tu...nchi yenu elimu duni, uchumi duni, akili duni, afya duni, hamna muelekeo mna kazi ya kuongozwa na matamko tu...
Mmmmh!!Magufuli ni rais mjinga kabisa aliyewahi kutokea Tanzania.
Anaweza kusababisha vita ya kijinga sana. Kwa kauli zake za ovyo ovyo tu.
Sent from my Kimulimuli
MmhhhhMagufuli ni rais mjinga kabisa aliyewahi kutokea Tanzania.
Anaweza kusababisha vita ya kijinga sana. Kwa kauli zake za ovyo ovyo tu.
Sent from my Kimulimuli
Nimemskia akiwaambia waliokosa fursa ya bomba kupita kwao wamenuna na watanuna sana mane ambayo ni kama kuwanga waliokosa nimejiuliza kwa kiongozi wa nchi nisahihi kutoa lugha hiyo kwa afya ya ujirani mwema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupata. . na kama kweli wako serious na majizi ,,,,, wengi wangetiwa korokoroni,,,,,ila kwa huyu , kama vile kuna jambo silielewi......the is something behind the curtain....... Iam telling u,,,,,,,hakuna jizi kama CHENGE lakini liko mtaani linapeta.Kila mtu kuwa mwizi siyo ufahari wala haihalalishi wizi kwamba ni jambo jema. Za mwizi 40!
Nimemskia akiwaambia waliokosa fursa ya bomba kupita kwao wamenuna na watanuna sana mane ambayo ni kama kuwanga waliokosa nimejiuliza kwa kiongozi wa nchi nisahihi kutoa lugha hiyo kwa afya ya ujirani mwema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Tanzania ndiyo inayojenga hilo bomba?Miaka 20 ijayo ikitokea rais wa Uganda wa wakati huo akatamka kwamba walikosea mahesabu ya kiuchumi kulipitidhia hbomba hili huko Tanzania, basi mtakaokuwepo wakati huo msilalamike maana ukweli unabaki kuwa ukweli hata kama kuna haupendwi na kikundi kilichoko Ufipa, Lumumba, Butiama, Chato, Bagamoyo.
Economy ya inrfastructure inaangalia distance. Zambia walijifanya wakati fulani kututumia baadaye mizigo yao kutokea badanri yetu D'Salaam, taratibu wakaachana na siasa zilizopelekea hivyo wakatumia bandari ya Beira na sasa wanatumia hata bandari za South Africa.
Tena kuna wakati hata Samora Machel alitaka kutumia baadhi ya mambo na makaburu akabembelezwa sana na na akina JN na Kaunda.
Siasa na uchumi haviendani hata siku moja kwani siku moja ni majuto. Subirini mtakaokuwepo miaka iyajo. Huwezi kusifia akili ya kupitisha bomba kwenye nchi linakotumia urefu wa 1445km ukaacha kupitisha kwenye linakotumia urefu wa 900km tu!
Hukumsikia?Watu kwa kukoti maneno ili iwe hoja hamjambo alafu mnatak mwende ikulu mkafanye nn kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nabiiMiaka 20 ijayo ikitokea rais wa Uganda wa wakati huo akatamka kwamba walikosea mahesabu ya kiuchumi kulipitidhia hbomba hili huko Tanzania, basi mtakaokuwepo wakati huo msilalamike maana ukweli unabaki kuwa ukweli hata kama kuna haupendwi na kikundi kilichoko Ufipa, Lumumba, Butiama, Chato, Bagamoyo.
Economy ya inrfastructure inaangalia distance. Zambia walijifanya wakati fulani kututumia baadaye mizigo yao kutokea badanri yetu D'Salaam, taratibu wakaachana na siasa zilizopelekea hivyo wakatumia bandari ya Beira na sasa wanatumia hata bandari za South Africa.
Tena kuna wakati hata Samora Machel alitaka kutumia baadhi ya mambo na makaburu akabembelezwa sana na na akina JN na Kaunda.
Siasa na uchumi haviendani hata siku moja kwani siku moja ni majuto. Subirini mtakaokuwepo miaka iyajo. Huwezi kusifia akili ya kupitisha bomba kwenye nchi linakotumia urefu wa 1445km ukaacha kupitisha kwenye linakotumia urefu wa 900km tu!
Kenyata alitunanga aliposema sisi ni ombaombaNimemskia akiwaambia waliokosa fursa ya bomba kupita kwao wamenuna na watanuna sana mane ambayo ni kama kuwanga waliokosa nimejiuliza kwa kiongozi wa nchi nisahihi kutoa lugha hiyo kwa afya ya ujirani mwema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Tanzania ndiyo inayojenga hilo bomba?
Sent from my Kimulimuli
Miaka 20 ijayo ikitokea rais wa Uganda wa wakati huo akatamka kwamba walikosea mahesabu ya kiuchumi kulipitidhia hbomba hili huko Tanzania, basi mtakaokuwepo wakati huo msilalamike maana ukweli unabaki kuwa ukweli hata kama kuna haupendwi na kikundi kilichoko Ufipa, Lumumba, Butiama, Chato, Bagamoyo.
Economy ya inrfastructure inaangalia distance. Zambia walijifanya wakati fulani kututumia baadaye mizigo yao kutokea badanri yetu D'Salaam, taratibu wakaachana na siasa zilizopelekea hivyo wakatumia bandari ya Beira na sasa wanatumia hata bandari za South Africa.
Tena kuna wakati hata Samora Machel alitaka kutumia baadhi ya mambo na makaburu akabembelezwa sana na na akina JN na Kaunda.
Siasa na uchumi haviendani hata siku moja kwani siku moja ni majuto. Subirini mtakaokuwepo miaka iyajo. Huwezi kusifia akili ya kupitisha bomba kwenye nchi linakotumia urefu wa 1445km ukaacha kupitisha kwenye linakotumia urefu wa 900km tu!
Anaongelea wana Sudan na Egypt[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nimemskia akiwaambia waliokosa fursa ya bomba kupita kwao wamenuna na watanuna sana mane ambayo ni kama kuwanga waliokosa nimejiuliza kwa kiongozi wa nchi nisahihi kutoa lugha hiyo kwa afya ya ujirani mwema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Na Yeye Akubali Kusemwa.Mitandao ya Kenya iliyosema Mseven haji hiyo ni sahihi, ila magufuli kusema wanune tu ni kosa, kwani nyie mnafikiri Kenya ni nani hapa duniani? USA or china or EU ambao hawasemwi, hamuwezi kuwa na ujirani mwema wa pande moja tu kusema pande nyingine, nasupport kauli ya Rais 100%. Huu sio muda wa kubembelezana, Tanzania tumetoka katika dhama hizo tumewaachia wao.