Chongolo Aonya "Uchawa" na Maslahi Binafsi UVCCM

Chongolo Aonya "Uchawa" na Maslahi Binafsi UVCCM

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ameuonya Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) dhidi ya kukubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache.

Chongolo alitoa onyo hilo lipohutubia wajumbe wa Baraza KUu la umoja huo, akisema CCM inategemea vijana hao kutumia nafasi zao kubeba agenda za chama zenye maslahi kwa taifa na watanzania. Aliwataka wasikubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache wenye ndoto zinazokinzana na misingi ya chama.

"Chama chetu kinawategemea Sana Jumuiya nil kukilinda na kukisemea na kufanya mambo yakayokifanya kiendelee kuwa chama tawala nchini na si vinginevyo, tusiache wajibu huo, tusiache kulinda viongozi wetu, tusibebe jukumu la kuwa viongozi wa watu, alionya.

Aliongeza hasara ya kuwa kiongozi wa mtu ni hasara unayojitengenezea kuwa daraja la kukuharibia kesho yako. Ukiwa kiongozi unayesimama na kuuitegemea, utaishi miaka yote ukiwa Unaendelea kufaidi fursa ya vongozi uliojitengenezea mwenyewe.

"Lakini Ukiamua kuwa kiongozi mfuasi wa mtu, yule mtu akiondo-ka, na wewe unakwenda na majl. Na mara nyingi watu tunao wafuasi ni ambao watu wenye ndoto. Kuna watu maisha yao ni ndoto na ni ndoto kwelikweli. Acheni na achaneni na ndoto za watu. Ishi na ndoto za Uhakika, ndoto za taasisi... ndoto za CCM. Simameni na viongozi halali na sahihi wa taasisi na sio viongozi wanaojiandaa kuwa viongozi bila kuandaliwa na taasisi. Viongozi wengi wanaojiandaa na kuwa na tamaa ya nafasi, kwenye chama hiki huwa hawapati nafasi.


"Niwaombeni sana mkasimamie vikao hivyo, viendelee na vifanyike. Kwa sababu kwenye vikao ndipo tunapotoka na maazimio yote ya pamoja, kauli ya pamoja na uelewa wa pamoja.

"Lakini sambamba na hilo, niwekee mkazo katika suala zima la ziara. Niwapongeze baadhi ya maeneo, nimekuwa nikiwafuatilieni kwa karibu. Mmekuwa mkifanya ziara katika maeneo yenu. Niwaombe Kwa wale bado. Ziara hizo zikaanze au zikaendelee. Na ziara hizo zikianza ama zikiendelea, basi zisiwe ziara za kupiga picha, ball ziwe ziara za kuleta tija katika chama chetu na kwa Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi," alisema.
 
Chongolo, ameuonya Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) dhidi ya kukubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache.
Anawaonea bure tu, huo ni utaratib ambao Uvccm washauishi hivyo wanasubir tu wapate mwanya wa kupiga madili cz wanaona wakubwa wao huko juu 🤣🤣! Pia kuhusu uchawa ni kama anatupanga tu, kama mkuu ameridhia kundi la chawa wa mama ambao wapo officially. Inashangaza mwingine anakemea uchawa while ni utaratib wamejijengea muda sasa!!
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ameuonya Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) dhidi ya kukubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache.

Chongolo alitoa onyo hilo lipohutubia wajumbe wa Baraza KUu la umoja huo, akisema CCM inategemea vijana hao kutumia nafasi zao kubeba agenda za chama zenye maslahi kwa taifa na watanzania. Aliwataka wasikubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache wenye ndoto zinazokinzana na misingi ya chama.

"Chama chetu kinawategemea Sana Jumuiya nil kukilinda na kukisemea na kufanya mambo yakayokifanya kiendelee kuwa chama tawala nchini na si vinginevyo, tusiache wajibu huo, tusiache kulinda viongozi wetu, tusibebe jukumu la kuwa viongozi wa watu, alionya.

Aliongeza hasara ya kuwa kiongozi wa mtu ni hasara unayojitengenezea kuwa daraja la kukuharibia kesho yako. Ukiwa kiongozi unayesimama na kuuitegemea, utaishi miaka yote ukiwa Unaendelea kufaidi fursa ya vongozi uliojitengenezea mwenyewe.

"Lakini Ukiamua kuwa kiongozi mfuasi wa mtu, yule mtu akiondo-ka, na wewe unakwenda na majl. Na mara nyingi watu tunao wafuasi ni ambao watu wenye ndoto. Kuna watu maisha yao ni ndoto na ni ndoto kwelikweli. Acheni na achaneni na ndoto za watu. Ishi na ndoto za Uhakika, ndoto za taasisi... ndoto za CCM. Simameni na viongozi halali na sahihi wa taasisi na sio viongozi wanaojiandaa kuwa viongozi bila kuandaliwa na taasisi. Viongozi wengi wanaojiandaa na kuwa na tamaa ya nafasi, kwenye chama hiki huwa hawapati nafasi.


"Niwaombeni sana mkasimamie vikao hivyo, viendelee na vifanyike. Kwa sababu kwenye vikao ndipo tunapotoka na maazimio yote ya pamoja, kauli ya pamoja na uelewa wa pamoja.

"Lakini sambamba na hilo, niwekee mkazo katika suala zima la ziara. Niwapongeze baadhi ya maeneo, nimekuwa nikiwafuatilieni kwa karibu. Mmekuwa mkifanya ziara katika maeneo yenu. Niwaombe Kwa wale bado. Ziara hizo zikaanze au zikaendelee. Na ziara hizo zikianza ama zikiendelea, basi zisiwe ziara za kupiga picha, ball ziwe ziara za kuleta tija katika chama chetu na kwa Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi," alisema.
 

Attachments

  • Screenshot_20230629_140416_Instagram.jpg
    Screenshot_20230629_140416_Instagram.jpg
    221.7 KB · Views: 4
Huyu katibu hakuhusika kwenye kuchapisha mabango ya mama yaliyoenea nchi nzima? Na huo siyo uchawa?
 
Huyu nae kaja kwenye green wakati ngumu. Ni Bora onyo la uchawa likaanzia juu
 
Kwa nchi ilipofikia hasa kwa baadhi ya vijana wa uvccm kuacha uchawa ni ngumu sana
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ameuonya Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) dhidi ya kukubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache.

Chongolo alitoa onyo hilo lipohutubia wajumbe wa Baraza KUu la umoja huo, akisema CCM inategemea vijana hao kutumia nafasi zao kubeba agenda za chama zenye maslahi kwa taifa na watanzania. Aliwataka wasikubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache wenye ndoto zinazokinzana na misingi ya chama.

"Chama chetu kinawategemea Sana Jumuiya nil kukilinda na kukisemea na kufanya mambo yakayokifanya kiendelee kuwa chama tawala nchini na si vinginevyo, tusiache wajibu huo, tusiache kulinda viongozi wetu, tusibebe jukumu la kuwa viongozi wa watu, alionya.

Aliongeza hasara ya kuwa kiongozi wa mtu ni hasara unayojitengenezea kuwa daraja la kukuharibia kesho yako. Ukiwa kiongozi unayesimama na kuuitegemea, utaishi miaka yote ukiwa Unaendelea kufaidi fursa ya vongozi uliojitengenezea mwenyewe.

"Lakini Ukiamua kuwa kiongozi mfuasi wa mtu, yule mtu akiondo-ka, na wewe unakwenda na majl. Na mara nyingi watu tunao wafuasi ni ambao watu wenye ndoto. Kuna watu maisha yao ni ndoto na ni ndoto kwelikweli. Acheni na achaneni na ndoto za watu. Ishi na ndoto za Uhakika, ndoto za taasisi... ndoto za CCM. Simameni na viongozi halali na sahihi wa taasisi na sio viongozi wanaojiandaa kuwa viongozi bila kuandaliwa na taasisi. Viongozi wengi wanaojiandaa na kuwa na tamaa ya nafasi, kwenye chama hiki huwa hawapati nafasi.


"Niwaombeni sana mkasimamie vikao hivyo, viendelee na vifanyike. Kwa sababu kwenye vikao ndipo tunapotoka na maazimio yote ya pamoja, kauli ya pamoja na uelewa wa pamoja.

"Lakini sambamba na hilo, niwekee mkazo katika suala zima la ziara. Niwapongeze baadhi ya maeneo, nimekuwa nikiwafuatilieni kwa karibu. Mmekuwa mkifanya ziara katika maeneo yenu. Niwaombe Kwa wale bado. Ziara hizo zikaanze au zikaendelee. Na ziara hizo zikianza ama zikiendelea, basi zisiwe ziara za kupiga picha, ball ziwe ziara za kuleta tija katika chama chetu na kwa Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi," alisema.
UCHAWA NI SERA YA CCM HAUKWEPEKI ABADANI
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, ameuonya Umoja wa Vijana wa chama hicho (UVCCM) dhidi ya kukubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache.

Chongolo alitoa onyo hilo lipohutubia wajumbe wa Baraza KUu la umoja huo, akisema CCM inategemea vijana hao kutumia nafasi zao kubeba agenda za chama zenye maslahi kwa taifa na watanzania. Aliwataka wasikubali kuwa sehemu ya kubeba maslahi binafsi ya wat wachache wenye ndoto zinazokinzana na misingi ya chama.

"Chama chetu kinawategemea Sana Jumuiya nil kukilinda na kukisemea na kufanya mambo yakayokifanya kiendelee kuwa chama tawala nchini na si vinginevyo, tusiache wajibu huo, tusiache kulinda viongozi wetu, tusibebe jukumu la kuwa viongozi wa watu, alionya.

Aliongeza hasara ya kuwa kiongozi wa mtu ni hasara unayojitengenezea kuwa daraja la kukuharibia kesho yako. Ukiwa kiongozi unayesimama na kuuitegemea, utaishi miaka yote ukiwa Unaendelea kufaidi fursa ya vongozi uliojitengenezea mwenyewe.

"Lakini Ukiamua kuwa kiongozi mfuasi wa mtu, yule mtu akiondo-ka, na wewe unakwenda na majl. Na mara nyingi watu tunao wafuasi ni ambao watu wenye ndoto. Kuna watu maisha yao ni ndoto na ni ndoto kwelikweli. Acheni na achaneni na ndoto za watu. Ishi na ndoto za Uhakika, ndoto za taasisi... ndoto za CCM. Simameni na viongozi halali na sahihi wa taasisi na sio viongozi wanaojiandaa kuwa viongozi bila kuandaliwa na taasisi. Viongozi wengi wanaojiandaa na kuwa na tamaa ya nafasi, kwenye chama hiki huwa hawapati nafasi.


"Niwaombeni sana mkasimamie vikao hivyo, viendelee na vifanyike. Kwa sababu kwenye vikao ndipo tunapotoka na maazimio yote ya pamoja, kauli ya pamoja na uelewa wa pamoja.

"Lakini sambamba na hilo, niwekee mkazo katika suala zima la ziara. Niwapongeze baadhi ya maeneo, nimekuwa nikiwafuatilieni kwa karibu. Mmekuwa mkifanya ziara katika maeneo yenu. Niwaombe Kwa wale bado. Ziara hizo zikaanze au zikaendelee. Na ziara hizo zikianza ama zikiendelea, basi zisiwe ziara za kupiga picha, ball ziwe ziara za kuleta tija katika chama chetu na kwa Mwenyekiti wetu wa Chama Cha Mapinduzi," alisema.
Sasa wale Chawa wa Mama itakuwaje?
 
mambo mengine bwana, sasa anamuonya nani wakati yeye ni katibu mkuu huko CCM na tayari jambo hili linaigharimu nchi big time..
 
Back
Top Bottom