sasa wana la kujibu mpaka waitishe hiyo mikutano?Huu ni upuuzi,wanavyofanya hivi ndio kabisaa wanazidi kufanya hata wasio na interest na mambo hayo kuanza ku draw attention kwamba kulikoni.
Poor strategy,hii hii ya kufanya mikutano ilikuwa ni njia nzuri unajibu hoja za Wapinzani Sasa meseji tena? 🤣🤣🤣🤣🤣
Ndio wanalo mbona wanaendelea na mikutano huko? Hakuna sababu ya kutumia sms watoke front tuu simple like thatsasa wana la kujibu mpaka waitishe hiyo mikutano?
Hii sasa ni kulazimisha kitu kilichokataliwa. Mbona hakutuma wakati wanaenda kwa waarabu?Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
Leo ume-comment jibu vzr hiviSio chama chote ila walioleta huu Ushauri wa kijinga ndio wapuuzi
Kesi ya kupinga makubaliano aka mkataba wa bandari kama haitaingiliwa,itawafungua macho watanzania bila kujali itikadi au dini kwa sababu wapotoshaji wangefunguliwa mashitaka kwa upotoshaji badala yake wasio wapotoshaji ndiyo wamepelekwa mahakamaniNahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
Mi kitoto changu kikiniletea maji nikanywa,ukashukuru na kukapongeza.Huu ndiyo utamaduni wa mtanzania.Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
kulazimishana hakuna tofauti na kubakwa!Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312
Safi sana. Tunaunga mkono kwa nguvu zote. Bandarini lazima DP WORLD waje upesi iboreshwe. Hakuna namna yaani.Nahisi walikosea namba, message zimekuja kwangu. Hao walioshukuriwa hakuna hata mmoja ninaemjua.
Swali linalofikirisha, ni kwanini atoe shukrani kwa jambo ambalo lilipaswa kuwa halali??
Kushukuru ni kama vile kila mtetezi anafanya msaada.
View attachment 2697312