The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Mambo yameanza kunoga.
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu
a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua.
Bila shaka tuendako kutanoga zaidi.👇
========
"Hatupo kwenye wakati wa kusubiri malalamiko ya watu waliopewa dhamana, Tupo kwenye wakati wa kutenda." Daniel Chongolo, Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Taifa.
Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu
a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua.
Bila shaka tuendako kutanoga zaidi.👇
========
"Hatupo kwenye wakati wa kusubiri malalamiko ya watu waliopewa dhamana, Tupo kwenye wakati wa kutenda." Daniel Chongolo, Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Taifa.