Chongolo: Wakati wa waliopewa dhamana ya kutatua changamoto za watu kulalamika imekwisha

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Mambo yameanza kunoga.

Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu
a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua.

Bila shaka tuendako kutanoga zaidi.👇

========
"Hatupo kwenye wakati wa kusubiri malalamiko ya watu waliopewa dhamana, Tupo kwenye wakati wa kutenda." Daniel Chongolo, Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Taifa.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…