Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo ametoa onto Kwa viongozi wote Waliopewa Dhamana za Kutatu
a Changamoto za Watu kuacha kulalamika Bali wachukue hatua.
Bila shaka tuendako kutanoga zaidi.👇
======== "Hatupo kwenye wakati wa kusubiri malalamiko ya watu waliopewa dhamana, Tupo kwenye wakati wa kutenda." Daniel Chongolo, Katibu Mkuu Chama Cha Mapinduzi Taifa.