Choo cha Kisasa cha Kukalia na Karaha /Adha zake kwa Jamii ya Kitanzania.

Hahaha hahah
 
Mimi nikiingia toilet nikakutanana aina hii haja huwa inakata kabisa, labda nikojoe tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Raha yake kiwe kisafi
Cha watumiaji wachache
Pawe na maji
Pawe na tissue
Pawe na seat sanitizer

kwa umma bora cha kuchuchumaa kwa kweli
Ni rahisi kusafisha pia

ukikikuta hiki public ni mtihani..mara chache sana ni kisafi
huwa najisaidia km ng'ombe siwezi kukaa
 
Choo cha kiboya sana hicho hasa kwa extended family Afrika ama public!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa na wasiwasi kwamba makalio yaliyonitangulia yalikuwa na vidonda? Majipu? Halafu ukifyatua mzigo maji ya chooni yanaruka juu mpaka kwenye kifyatulio. Mi huwa nasimama juu kwenye round na kuchuchumaa ili kukwepa mauzauza.
Ukisimama ndo mruko wa maji unaingia mpaka kwenye div
 
Tandika tissue kwenye kingo Zake then kaa, kwa me mkojo huruka paspositahili.

Hivi vyoo havifai kwenye public.

Kujisafisha ndio mtihani .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui raha ya choo cha kukaa. Me nikiingiaga chooni natamani nisitoke hasa pale wakati wa kunawa yale maji yanayotoka kwa kile kibomba cha kujisafisha yanakuwa kama yanatekenya mpk raha unatamani usitoke 😂 mimi ndio maana nikiingia chooni sitoki haraka. Hata kama nikiwa Sina choo nakaa tu halafu nafungulia maji 😂
 
Unapiga punyeto
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…